Tuesday, March 31, 2020
Watoa huduma kwa jamii hatarini kueneza Covid-19
Afisa Afya wa Mkoa wa Kilimanjaro Jonas Mcharo
Watoa huduma katika taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za kiserikali wapo hatarini kueneza maambukizi ya virusi vya Covid-19 endapo hawatazingatia tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona.
Hayo yalibainishwa na...
Ndugu wa Aliyefariki kwa Corona Mloganzila azungumza

Ndugu wa mtanzania aliyekufa kwa ugonjwa wa Corona amesema mdogo wake, Iddy amefariki kwa
ugonjwa wa corona leo alfajiri ya Machi 31, 2020 katika kituo cha matibabu ya
wanaougua ugonjwa huo kilichopo Hospitali ya Mloganzila, Dar es Salaam.
Ameeleza hayo leo...
MAKTABA YA JAIZMELA: Jesse Owens ni nani?

Machi 31, 1980 alifariki dunia mwanariadha wa
kimataifa raia wa Marekani Jesse Owens. Jina lake halisi ni James Cleveland.
Alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 66 huko Tucson
Arizona kwa ugonjwa wa saratani ya mapafu. Jesse Owens alianza uvutaji wa
sigara akiwa na...
Bunge la Bajeti ya mwisho kwa Serikali ya Awamu ya Tano kuanza Machi 31

Mkutano wa 19 wa Bunge
la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unatarajia kuanza leo Machi 31 jijini Dodoma
huku Spika wa Bunge Job Ndugai akitoa utaratibu maalum utakaotumika tofauti na
ilivyozoeleka ili kujikinga na virusi vya ugonjwa wa Corona.
Moja ya hatua...
Monday, March 30, 2020
Kilimanjaro Boxing Club mbioni kuandaa mapambano
Bondia Rodi Josephat wa Moshi, Kilimanjaro
Klabu ya Ndondi ya
Mkoa wa Kilimanjaro imesema kifungo kilichokuwa kikiwazuia kuandaa mapambano
mkoani hapa kinakaribia kufika mwisho baada kukamilisha usajili wa klabu hiyo.
Akizungumza na JAIZMELA
mwanamasumbwi Rodi Josephat...
MAKTABA YA JAIZMELA: Mama wa Malkia Elizabeth II ni nani?

Machi 30, 2002; Alifariki dunia Mama wa Malkia
Elizabeth II. Jina lake halisi ni Elizabeth Angela Marguerite Bowes-Lyon.
Huyu alikuwa ni mke wa mfalme George VI ambaye ni mama
wa Malkia Elizabeth II na Princess Margaret wa Countess ya Snowdon.
Huyu
alikuwa...
Sunday, March 29, 2020
Bomoa bomoa Siha kwa wasiozingatia sheria

Wananchi
wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuzingatia Sheria
wakati wa ujenzi wa makazi yao ili kuepuka kujenga kwenye maeneo yasiyoruhusiwa
jambo linalosababisha bomoa bomoa isiyo ya lazima.
Kauli hiyo imetolewa na
Makamu mwenyekiti wa Halmashauri...
Saturday, March 28, 2020
Bob Andy afariki dunia akiwa na umri wa miaka 75

Mwanamuziki
wa reggae Keith Anderson maarufu Bob Andy amefariki dunia akiwa na umri wa
miaka 75 kutokana na kuugua kwa maradhi ya kansa.
Nyota
huyo amefariki dunia nyumbani kwake Stony Hill, St. Andrew jijini Kingston huko
Jamaica baada ya kupambana na Saratani kwa...
Mwanamuziki wa Reggae Delroy Washington afariki dunia kwa Covid-19

LONDON, ENGLAND
Mwanamuziki
mahiri wa Reggae Delroy Washington amefariki dunia jijini London, Uingereza.
Nyota huyo wa muziki ambaye jina lake halisi ni Delroy Washington amefariki
dunia wakati ambao fani ya muziki huo ikiwa na uhitaji naye.
Mwanamuziki huyo
amefariki...
Albert 'Apple Gabriel' Craig is no more

Mwanzilishi na mwanachama wa zamani wa kundi maarufu la muziki wa reggae Ulimwenguni la Israel Vibration Albert 'Apple Gabriel' Craig amefariki dunia Jumatatu ya Machi 23, 2020. Tarehe rasmi ya kuzikwa bado haijawekwa bayana.
Imeelezwa chanzo cha kifo chake ni...
Unaikumbuka siku Manchester United ilipoweka rekodi sawa na ya Arsenal baada ya miaka 67?

Machi 28, 2001 England iliizabua Albania katika mchezo wa kuania kufuzu kucheza Kombe la Dunia kwa mabao 3-1.
Kinachostaajabisha katika mchezo huo ni kwamba nusu ya kikosi kilichoitwa katika mchezo huo kilikuwa na wachezaji kutoka klabu ya Manchester United.
Katika...