Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, June 30, 2020

Nyumba isiyokalika katika 'Bwawa la Damu' kwa Mangi Horombo

Baadhi ya wasomi wamezigawanya ndoto katika katika makundi makuu matatu, kundi la kwanza wanasema ni zile ndoto zinazotokana na Mungu, kundi la pili ni zile zinazotokana na shetani na kundi la tatu ni ndoto zinazotokana na mtu mwenyewe. Kundi hili la tatu linatafsiriwa kuwa...

MAKTABA YA JAIZMELA: Kaisari Nepotianus ni nani?

Juni 30, 350 alifariki dunia mtawala wa Rumi mwite Kaisari Nepotianus. Kaisari huyu alifariki dunia kwa kuuawa baada ya kukalia kiti cha kuliongoza taifa hilo kwa siku 28 tu. Jina lake halisi ni Flavius Julius Popilius Nepotianus Constantinus. Nepotianus alikuwa ni wa ukoo...

EU yasema ipo tayari kwa uangalizi uchaguzi mkuu Tanzania 2020 ikipewa mwaliko

Umoja wa Ulaya (EU) umesema upo tayari kuwa mwangalizi wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020 nchini Tanzania, endapo watapata ridhaa kutoka katika mamlaka husika. Balozi wa Umoja wa Ulaya kwa nchi za Afrika Mashariki Manfredo Fanti alisema hadi sasa hakuna...

Monday, June 29, 2020

MAKTABA YA JAIZMELA: Moise Tshombe ni nani?

Juni 29, 1969 alifariki dunia mwanasiasa wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), Moise Tshombe. Mwanasiasa huyo alikuwa Rais wa kwanza wa jimbo lililotaka kujitenga Lenye utajiri wa madini ya shaba la Katanga huko DRC. Pia alikuja kuwa Waziri Mkuu wa DRC. Alifariki...

Lazarus Chakwera: Rais wa kwanza Mlokole nchini Malawi

Nchini Malawi kumeshuhudiwa Kiongozi wa chama cha upinzani cha Malawi Congress (MCP) Lazarus Chakwera, akiapishwa jana (Juni 28, 2020) kama rais mpya wa nchi hiyo baada ya kuibuka mshindi kwa asilimia 58.7 za kura. Katika sherehe hiyo ya kuapishwa katika mji mkuu wa Lilongwe,...

Ifahamu historia ya Mji wa Moshi

Historia ni somo kuhusu maisha ya binadamu na utamaduni wao wakati uliopita. Mara nyingi neno historia pia lina maana ya maarifa yoyote kuhusu wakati uliopita, yawe au yasiwe maarifa ya watu (kwa mfano "historia ya ulimwengu"). Wanahistoria wanapata maarifa yao kutoka maandishi...

Sunday, June 28, 2020

MAKTABA YA JAIZMELA: James Madison Jr. ni nani?

Juni 28, 1836 alifariki dunia mwanasiasa, mwanadiplomasia, mwanafalsafa na mwanzilishi wa taifa la Marekani James Madison Jr. Huyu alikuwa Rais wa nne Marekani kutoka mwaka 1809 hadi 1817. Anachukuliwa kuwa mtu muhimu sana katika uandishi wa katiba ya Marekani. Madison...

Zifahamu mbinu za kupunguza Kitambi

Kitambi ni mafuta ya ziada yanayojikusanya katika sehemu ya tumbo. Hii inatokana na kula chakula kingi na kisicho na ubora, pia kuishi maisha ya kibwanyenye yanayokunyima fursa ya kufanya mazoezi. Mafuta yanayofanya kitambi huweza kujengeka chini ya ngozi, au ndani kabisa ya...

Black Death: Janga kubwa kuitesa Ulaya

Black Death ni janga la pili kubwa kulikumba bara la Ulaya katika kipindi cha kati, janga la kwanza ilikuwa ni njaa. Black Death ilitokea kati ya mwaka 1346 hadi 1353. Inakadiriwa kuwa ugonjwa huo uliua asilimia 30 hadi 60 ya watu barani Ulaya. Kwa ujumla ugonjwa huo wa tauni...

Saturday, June 27, 2020

MAKTABA YA JAIZMELA: Joe Jackson ni nani?

Juni 27, 2018 alifariki meneja mwenye kipaji na mwangalizi wa familia ya Jackson ambayo ilikuwa na watoto vipaji katika muziki kama Michael na Janet raia wa Marekani Joe Jackson.  Juni 22, 2018 iliripotiwa na mtandao wa TMZ kuwa Jackson amelazwa katika hospitali moja mjini...

Friday, June 26, 2020

Mfahamu Zolile Hector Pietersen katika Mauaji ya Soweto 1976

Picha maarufu ya Mauaji wa Soweto ilipigwa na mwandishi wa habari Sam Nzima ambaye kwa sasa hatunaye ulimwenguni alifariki dunia mnamo Mei 12, 2018 katika Hospitali ya Rob Ferreira, Nelspruit, nchini Afrika Kusini akiwa na miaka 84. Picha hiyo imekuwa ikifahamika kwa jina la...

MAKTABA YA JAIZMELA: Nasir al-Din al-Tusi ni nani?

Juni 26, 1274 alifariki dunia msomi na mwanazuoni wa Kiajemi Nasir al-Din Al-Tusi. Jina lake halisi ni Khawaja Muhammad ibn Muhammad ibn Hasan Tūsī. Amekuwa akichukuliwa kuwa ni msanifu, mwanafalsafa, mwanafizikia, mwanasayansi na mwanatheolojia wa Kiajemi. Nasir al-Din...

Thursday, June 25, 2020

Chanzo cha Sera za Ubaguzi wa Rangi (Apartheid) Afrika Kusini

Chanzo cha Afrika Kusini kama nchi ni Rasi iliyoundwa na Waholanzi katika eneo la Cape Town. Huko kabila jipya la Makaburu lilijitokeza kati ya walowezi Wazungu kutoka Uholanzi, Ufaransa na Ujerumani. Lugha yao ilikuwa Kiholanzi iliyoanza kuchukua maneno ya Kifaransa, Kiafrika...

MAKTABA YA JAIZMELA: Michael Jackson ni nani?

Juni 25, 2009 alifariki mfalme wa Pop raia wa Marekani Michael Jackson. Jackson alifariki dunia mwaka 2009 akiwa na miaka 50 kutokana na kuzidisha madawa. Alizikwa huko Forest Lawn Memorial Park, Glendale jimboni California. Michael Jackson alizaliwa Agosti 29, 1958, huko...