Tuesday, June 30, 2020
Nyumba isiyokalika katika 'Bwawa la Damu' kwa Mangi Horombo
Baadhi ya wasomi wamezigawanya ndoto katika katika
makundi makuu matatu, kundi la kwanza wanasema ni zile ndoto zinazotokana na
Mungu, kundi la pili ni zile zinazotokana na shetani na kundi la tatu ni ndoto
zinazotokana na mtu mwenyewe.
Kundi hili la tatu linatafsiriwa kuwa...
MAKTABA YA JAIZMELA: Kaisari Nepotianus ni nani?

Juni 30, 350 alifariki dunia mtawala wa Rumi mwite
Kaisari Nepotianus. Kaisari huyu alifariki dunia kwa kuuawa baada ya kukalia
kiti cha kuliongoza taifa hilo kwa siku 28 tu.
Jina lake halisi ni Flavius Julius Popilius Nepotianus
Constantinus. Nepotianus alikuwa ni wa ukoo...
EU yasema ipo tayari kwa uangalizi uchaguzi mkuu Tanzania 2020 ikipewa mwaliko

Umoja wa Ulaya (EU) umesema upo tayari kuwa mwangalizi wa
uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020 nchini Tanzania, endapo
watapata ridhaa kutoka katika mamlaka husika.
Balozi wa Umoja wa Ulaya kwa nchi za Afrika Mashariki
Manfredo Fanti alisema hadi sasa hakuna...
Monday, June 29, 2020
MAKTABA YA JAIZMELA: Moise Tshombe ni nani?

Juni 29, 1969 alifariki dunia mwanasiasa wa Jamhuri ya
Kidemokrasi ya Kongo (DRC), Moise Tshombe. Mwanasiasa huyo alikuwa Rais wa
kwanza wa jimbo lililotaka kujitenga Lenye utajiri wa madini ya shaba la
Katanga huko DRC. Pia alikuja kuwa Waziri Mkuu wa DRC.
Alifariki...
Lazarus Chakwera: Rais wa kwanza Mlokole nchini Malawi

Nchini Malawi kumeshuhudiwa Kiongozi wa chama
cha upinzani cha Malawi Congress (MCP) Lazarus Chakwera, akiapishwa jana (Juni
28, 2020) kama rais mpya wa nchi hiyo baada ya kuibuka mshindi kwa asilimia
58.7 za kura.
Katika sherehe hiyo ya kuapishwa katika mji mkuu wa
Lilongwe,...
Ifahamu historia ya Mji wa Moshi

Historia ni somo kuhusu maisha ya binadamu na
utamaduni wao wakati uliopita. Mara nyingi neno historia pia lina maana ya
maarifa yoyote kuhusu wakati uliopita, yawe au yasiwe maarifa ya watu (kwa
mfano "historia ya ulimwengu").
Wanahistoria wanapata maarifa yao kutoka maandishi...
Sunday, June 28, 2020
MAKTABA YA JAIZMELA: James Madison Jr. ni nani?

Juni 28, 1836 alifariki dunia mwanasiasa, mwanadiplomasia, mwanafalsafa
na mwanzilishi wa taifa la Marekani James Madison Jr. Huyu alikuwa Rais wa nne Marekani
kutoka mwaka 1809 hadi 1817. Anachukuliwa kuwa mtu muhimu sana katika uandishi
wa katiba ya Marekani.
Madison...
Zifahamu mbinu za kupunguza Kitambi

Kitambi ni mafuta ya ziada yanayojikusanya katika sehemu ya tumbo. Hii
inatokana na kula chakula kingi na kisicho na ubora, pia kuishi maisha ya kibwanyenye
yanayokunyima fursa ya kufanya mazoezi. Mafuta yanayofanya kitambi huweza
kujengeka chini ya ngozi, au ndani kabisa ya...
Black Death: Janga kubwa kuitesa Ulaya

Black Death ni janga la pili kubwa kulikumba bara la Ulaya
katika kipindi cha kati, janga la kwanza ilikuwa ni njaa. Black Death ilitokea
kati ya mwaka 1346 hadi 1353.
Inakadiriwa kuwa ugonjwa huo uliua asilimia 30 hadi 60 ya
watu barani Ulaya. Kwa ujumla ugonjwa huo wa tauni...
Saturday, June 27, 2020
MAKTABA YA JAIZMELA: Joe Jackson ni nani?

Juni 27, 2018 alifariki meneja mwenye kipaji na mwangalizi wa
familia ya Jackson ambayo ilikuwa na watoto vipaji katika muziki kama Michael
na Janet raia wa Marekani Joe Jackson.
Juni 22, 2018 iliripotiwa na mtandao wa TMZ kuwa Jackson
amelazwa katika hospitali moja mjini...
Friday, June 26, 2020
Mfahamu Zolile Hector Pietersen katika Mauaji ya Soweto 1976

Picha maarufu ya Mauaji wa Soweto ilipigwa na
mwandishi wa habari Sam Nzima ambaye kwa sasa hatunaye ulimwenguni alifariki
dunia mnamo Mei 12, 2018 katika Hospitali ya Rob Ferreira, Nelspruit, nchini
Afrika Kusini akiwa na miaka 84. Picha hiyo imekuwa ikifahamika kwa jina la...
MAKTABA YA JAIZMELA: Nasir al-Din al-Tusi ni nani?

Juni 26, 1274 alifariki dunia msomi na mwanazuoni wa
Kiajemi Nasir al-Din Al-Tusi. Jina lake halisi ni Khawaja Muhammad ibn Muhammad
ibn Hasan Tūsī.
Amekuwa akichukuliwa kuwa ni msanifu, mwanafalsafa,
mwanafizikia, mwanasayansi na mwanatheolojia wa Kiajemi.
Nasir al-Din...
Thursday, June 25, 2020
Chanzo cha Sera za Ubaguzi wa Rangi (Apartheid) Afrika Kusini

Chanzo cha Afrika Kusini kama nchi ni Rasi iliyoundwa
na Waholanzi katika eneo la Cape Town. Huko kabila jipya la Makaburu
lilijitokeza kati ya walowezi Wazungu kutoka Uholanzi, Ufaransa na Ujerumani.
Lugha yao ilikuwa Kiholanzi iliyoanza kuchukua maneno ya Kifaransa, Kiafrika...
MAKTABA YA JAIZMELA: Michael Jackson ni nani?

Juni 25, 2009 alifariki mfalme wa Pop raia wa Marekani
Michael Jackson. Jackson alifariki dunia mwaka 2009 akiwa na miaka 50 kutokana
na kuzidisha madawa. Alizikwa huko Forest Lawn Memorial Park, Glendale jimboni California.
Michael Jackson alizaliwa Agosti 29, 1958, huko...