
Saturday, November 30, 2019
Jela miezi mitatu (3) kwa kutelekeza familia

Mahakama ya Mwanzo ya Moshi
Mjini mkoani Kilimanjaro imemhukumu mkulima na mkazi wa Bomambuzi katika
Manispaa ya Moshi kwenda jela miezi mitatu na baada ya kumaliza kifungo kutoa
shilingi 50,000 kila mwezi baada ya kupatikana na hatia ya kutelekeza familia
yake kwa miaka...
MAKTABA YA JAIZMELA: Winston Churchill ni nani?

Novemba
30, 1874 alizaliwa mwanasiasa, mwanajeshi na mwandishi wa vitabu wa Uingereza
Winston Churchill.
Alikuwa waziri mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1940 na 1945
ambaye alitoa mchango mkubwa wa taifa lake kushinda katika Vita vya Pili vya
Dunia.
Pia...
Friday, November 29, 2019
Childreach Tanzania ilivyopenya kwenye makundi maalum

Meneja wa Childreach Tanzania Bi Winfida Kway akimkabidhu cherehani Afisa Elimu Maalum wawilaya ya Moshi Ladislaus Tarimo.
Meneja miradi wa Childreach Tanzania Bi. Winfrida Kway, alisema watu wenye ulemavu mara kwa mara katika maisha yao ya kila siku wamekuwa...
Wanne wafariki kwa homa ya Ini wilayani Hai, Kilimanjaro

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai Helga Mchomvu akizungumza wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo Novemba 28,2019.
Halmashauri ya
wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imesema , inaendelea na mapambano dhidi ya
uwepo wa ugonjwa wa homa ya ini, baada ya watu...
MAKTABA YA JAIZMELA: Jacques Chirac ni nani?

Novemba
29, 1932 alizaliwa Rais wa zamani wa Ufaransa Jacques Chirac.
Alizaliwa kwa
mwana wa meneja wa kampuni moja ya ndege Abel Francois Marie Chirac (1898-1968) na mama Marie-Louise
Valette (1902-1973) ambaye alikuwa mama yake.
Mababu zake Jacques...
Thursday, November 28, 2019
Chuo Cha Maendeleo ya Jamii FDC Same chapokea Sh Milioni 647

Jengo la chuo cha maendeleo ya jamii, likiwa katika hatua za mwisho kukamilika.
Serikali imetoa fedha zaidi ya Sh milioni 600 kwa
ajili ya kukarabati Chuo Cha Maendeleo ya Jamii, huku ikiwaonya watu
watakaobainika kuzitumia vibaya fedha hizo serikali haitasita kuwachukulia
hatua...
Childreach Tanzania yawasaidia viziwi msaada wa Cherehani, vifaa vya useremala

Wahitimu wa Chuo cha ufundi
Ghona kilichopo wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wameaswa kuanzisha viwanda
vidogo vidogo ili ziwasaidie katika
kuanzisha miradi yao ya kiuchumi .
Wito huo ulitolewa na
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la Childreach...
MAKTABA YA JAIZMELA: Friedrich Engels ni nani?

Novemba
28, 1820 alizaliwa mwanafalsafa, mkomunisti, mwanasayansi, mwandishi wa habari
na mfanyabiashara wa Ujerumani Friedrich Engels.
Baba yake alikuwa mmiliki wa
kiwanda kikubwa cha nguo mjini Salford nchini England na Barmen huko Prussia
ambayo kwa sasa ni...
Wednesday, November 27, 2019
Homa ya Lassa yamuondoa duniani Dr. Noulet Woucher

Daktari kutoka Uholanzi aliyeambukizwa virusi vya homa ya Lassa na kulazwa katika Hospitali ya Masanga, Tonkolili nchini Sierra Leone amefariki dunia.
Dkt. Noulet Woucher ni miongoni mwa madaktari kumi kutoka barani Ulaya, saba miongoni mwao wakiwa Waholanzi na watatu...
Sierra Leone ni taifa la namna gani?

Sierra leone ni nchi inayopatikana magharibi mwa bara la Afrika, mji mkuu wake unaitwa Freetown ambao ndiyo mji mkubwa ukifuatiwa na mji wa Bo. Nchi hii inapakana na Guinea kwa upande wa kaskazini, upande wa kusini-mashariki inapakana na Liberia na kusini magharibi bahari...
Tuesday, November 26, 2019
DJ Khaled atimiza miaka 44

Novemba 26, 1975 alizaliwa mwanamuziki maarufu wa Marekani ambaye amekuwa akifahamika kwa jina la DJ Khaled.
Huyu ni prodyuza, DJ, mtunzi wa nyimbo na mtu anayejihusisha sana na vyombo vya habari. Jina lake halisi ni Khaled Mohamed Khaled.
Alizaliwa New...