Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Saturday, November 30, 2019

Jela miezi mitatu (3) kwa kutelekeza familia

Mahakama ya Mwanzo ya Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro imemhukumu mkulima na mkazi wa Bomambuzi katika Manispaa ya Moshi kwenda jela miezi mitatu na baada ya kumaliza kifungo kutoa shilingi 50,000 kila mwezi baada ya kupatikana na hatia ya kutelekeza familia yake kwa miaka...

MAKTABA YA JAIZMELA: Winston Churchill ni nani?

Novemba 30, 1874 alizaliwa mwanasiasa, mwanajeshi na mwandishi wa vitabu wa Uingereza Winston Churchill.  Alikuwa waziri mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1940 na 1945 ambaye alitoa mchango mkubwa wa taifa lake kushinda katika Vita vya Pili vya Dunia.  Pia...

Friday, November 29, 2019

Childreach Tanzania ilivyopenya kwenye makundi maalum

Meneja wa Childreach Tanzania Bi Winfida Kway akimkabidhu cherehani  Afisa Elimu Maalum wawilaya ya Moshi Ladislaus Tarimo. Meneja miradi wa Childreach Tanzania Bi. Winfrida Kway, alisema watu wenye ulemavu mara kwa mara katika maisha yao ya  kila siku wamekuwa...

Wanne wafariki kwa homa ya Ini wilayani Hai, Kilimanjaro

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai Helga Mchomvu akizungumza wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo Novemba 28,2019. Halmashauri ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro imesema , inaendelea na mapambano dhidi ya uwepo wa ugonjwa wa homa ya ini, baada ya watu...

MAKTABA YA JAIZMELA: Jacques Chirac ni nani?

Novemba 29, 1932 alizaliwa Rais wa zamani wa Ufaransa Jacques Chirac.  Alizaliwa kwa mwana wa meneja wa kampuni moja ya ndege Abel Francois  Marie Chirac (1898-1968) na mama Marie-Louise Valette (1902-1973) ambaye alikuwa mama yake.  Mababu zake Jacques...

Thursday, November 28, 2019

Chuo Cha Maendeleo ya Jamii FDC Same chapokea Sh Milioni 647

Jengo la chuo cha maendeleo ya jamii, likiwa katika hatua za mwisho kukamilika. Serikali  imetoa fedha zaidi ya Sh milioni 600 kwa ajili ya kukarabati Chuo Cha Maendeleo ya Jamii, huku ikiwaonya watu watakaobainika kuzitumia vibaya fedha hizo serikali haitasita kuwachukulia hatua...

Childreach Tanzania yawasaidia viziwi msaada wa Cherehani, vifaa vya useremala

  Wahitimu wa Chuo cha ufundi Ghona kilichopo wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wameaswa kuanzisha viwanda vidogo vidogo  ili ziwasaidie katika kuanzisha miradi yao ya kiuchumi . Wito huo ulitolewa na Mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali la Childreach...

MAKTABA YA JAIZMELA: Friedrich Engels ni nani?

Novemba 28, 1820 alizaliwa mwanafalsafa, mkomunisti, mwanasayansi, mwandishi wa habari na mfanyabiashara wa Ujerumani Friedrich Engels.  Baba yake alikuwa mmiliki wa kiwanda kikubwa cha nguo mjini Salford nchini England na Barmen huko Prussia ambayo kwa sasa ni...

Wednesday, November 27, 2019

Homa ya Lassa yamuondoa duniani Dr. Noulet Woucher

Daktari kutoka Uholanzi aliyeambukizwa virusi vya homa ya Lassa na kulazwa katika Hospitali ya Masanga, Tonkolili nchini Sierra Leone amefariki dunia.  Dkt. Noulet Woucher ni miongoni mwa madaktari kumi kutoka barani Ulaya, saba miongoni mwao wakiwa Waholanzi na watatu...

Sierra Leone ni taifa la namna gani?

Sierra leone ni nchi inayopatikana magharibi mwa bara la Afrika, mji mkuu wake unaitwa Freetown ambao ndiyo mji mkubwa ukifuatiwa na mji wa Bo. Nchi hii inapakana na Guinea kwa upande wa kaskazini, upande wa kusini-mashariki inapakana na Liberia na kusini magharibi bahari...

Tuesday, November 26, 2019

DJ Khaled atimiza miaka 44

Novemba 26, 1975 alizaliwa mwanamuziki maarufu wa Marekani ambaye amekuwa akifahamika kwa jina la DJ Khaled.  Huyu ni prodyuza, DJ, mtunzi wa nyimbo na mtu anayejihusisha sana na vyombo vya habari. Jina lake halisi ni Khaled Mohamed Khaled.  Alizaliwa New...