Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, July 31, 2020

Eid ul-Adha: Bakwata Kilimanjaro yatoa wito kuelekea uchaguzi mkuu 2020

Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Kilimanjaro limewataka viongozi wa dini mkoani humo kutojihusisha na masuala ya siasa kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu na badala yake wajikite kuhubiri kuhusu amani na upendo miongoni mwa watanzania. Kauli...

Tuesday, July 28, 2020

Kija Elias katika matembezi mto Karanga, Moshi

Mwalimu mmoja aliwahi kusema “Safari ya matembezi iliyopangwa vizuri hunufaisha kwelikweli, ikipanua maoni ya mhusika na kumsaidia aweze kujitegemea mwenyewe.”   Matembezi yanaweza kuhusisha rafiki zako au familia yako au wewe mwenyewe binafsi. Basi, ufanye nini ukipata...

Monday, July 27, 2020

Askofu Molla wa KLFT aomboleza kifo cha Mkapa

Uongozi wa Kanisa la Furaha Tanzania (KLFT), kwa niaba ya waumini wake wote limetoa pole kwa familia, ndugu, marafiki na watanzania wote kwa msiba huu mzito wa Rais mstaafu Benjamin William Mkapa. Askofu Mkuu wa Kanisa la Furaha Tanzania Jones Molla, ametuma salam za pole kwa...

Watia Nia CCM Mwika Kaskazini waliozama katika kinyang’anyiro cha Udiwani

Daniel Mgase (Na. 1)Harold Kimaro (Na. 2)Hubert Mariki (Na. 3)Meja Jesse Jeremiah (Na. 4)Mary K. Shao (Na. 5)Monyaichi Mlaki (Na. 6)Nelson Eliya Massawe (Na. 7)Samwel Ndetaramo Shao (Na. 8)Wilbard Shao (Na. 9)Mtia Nia Nelson Eliya Massawe hakuhudhuria kura ya maoni ndani ya...

Mwandishi wa habari Shao aongoza kura za maoni CCM Mwika Kaskazini

Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Redio Sauti ya Injili Samwel Shao amekuwa miongoni mwa wanahabari wa kwanza mkoani Kilimanjaro kuongoza kura ya maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kwenye...