
Friday, July 31, 2020
Eid ul-Adha: Bakwata Kilimanjaro yatoa wito kuelekea uchaguzi mkuu 2020

Baraza kuu la Waislamu
Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Kilimanjaro limewataka viongozi wa dini mkoani humo
kutojihusisha na masuala ya siasa kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika
Oktoba mwaka huu na badala yake wajikite kuhubiri kuhusu amani na upendo
miongoni mwa watanzania.
Kauli...
Tuesday, July 28, 2020
Kija Elias katika matembezi mto Karanga, Moshi
Mwalimu mmoja aliwahi kusema “Safari ya matembezi iliyopangwa
vizuri hunufaisha kwelikweli, ikipanua maoni ya mhusika na kumsaidia aweze
kujitegemea mwenyewe.”
Matembezi yanaweza kuhusisha rafiki zako au familia
yako au wewe mwenyewe binafsi. Basi, ufanye nini ukipata...
Monday, July 27, 2020
Askofu Molla wa KLFT aomboleza kifo cha Mkapa
Uongozi wa Kanisa la Furaha
Tanzania (KLFT), kwa niaba ya waumini wake wote limetoa pole kwa familia,
ndugu, marafiki na watanzania wote kwa msiba huu mzito wa Rais mstaafu Benjamin
William Mkapa.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Furaha
Tanzania Jones Molla, ametuma salam za pole kwa...
Watia Nia CCM Mwika Kaskazini waliozama katika kinyang’anyiro cha Udiwani
Daniel Mgase (Na. 1)Harold Kimaro (Na. 2)Hubert Mariki (Na. 3)Meja Jesse Jeremiah (Na. 4)Mary K. Shao (Na. 5)Monyaichi Mlaki (Na. 6)Nelson Eliya Massawe (Na. 7)Samwel Ndetaramo Shao (Na. 8)Wilbard Shao (Na. 9)Mtia Nia Nelson Eliya Massawe hakuhudhuria kura ya maoni ndani ya...
Mwandishi wa habari Shao aongoza kura za maoni CCM Mwika Kaskazini
Mwandishi wa habari
na mtangazaji wa Redio Sauti ya Injili Samwel Shao amekuwa miongoni mwa
wanahabari wa kwanza mkoani Kilimanjaro kuongoza kura ya maoni ndani ya Chama
cha Mapinduzi (CCM) kuwania kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika
uchaguzi mkuu ujao kwenye...