Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, July 30, 2019

Viongozi wa vyama vya ushirika waonywa kuhusu mikataba

Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Kilimanjaro Joseph Henjewele (mwenye kipaza sauti) akitambulisha wajumbe wa mkutano wa 35 wa KNCU uliofanyika Julai 30, 2019 mjini Moshi.  Viongozi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kuacha mara moja...

Kiwanda cha Kukoboa Mpunga charudishwa serikalini

Wajumbe wa Tume maalum iliyoundwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufuatilia madeni katika vyama vya ushirika Tanzania wakiwa mkoani Kilimanjaro Julai 30, 2019. Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro KNCU (1984) Limited, kimefanikiwa kukirejesha mikononi mwa serikali...

Monday, July 29, 2019

Jukwaa la Walimu Wazalendo Kilimanjaro latoa saruji mifuko 547

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole. Jukwaa la Walimu Wazalendo wa shule za msingi na sekondari Mkoa wa Kilimanjaro,  wameunga mkono juhudi za utendaji kazi ambazo zinafanywa na rais Dkt. John Pombe  Magufuli  kwa kutoa,...

Ifahamu siku ya Vipapatio vya Kuku Kimataifa

Leo ni siku ya vipapatio vya kuku. Kila Julai 29 kila mwaka ni maalum kwa ajili ya Vipapatio vya Kuku.  Imeelezwa na wataalamu wa masuala ya lishe kuwa kwa mwaka tunakula vipapatio 290.  Hakika ni miongoni mwa viungo vitamu ambavyo huliwa na wengi. Nchini...

MAKTABA YA JAIZMELA: Benito Mussolini ni nani?

Benito Mussolini alikuwa mkuu wa serikali ya Italia kutoka mwaka 1922 hadi 1943.  Huyu ndiye mwanzilishi wa Ufashisti na anachukuliwa na ulimwengu wa magharibi kuwa ni dikteta kutokana na namna alivyokuwa akiwaongoza raia wake katika taifa hilo la Italia. Aliiongoza Italia...

Saturday, July 27, 2019

Maelfu ya Watunisia wamuaga Beji Caid Essebsi

Maelfu wa Watunisia na viongozi wa mataifa mbalimbali wamejitokeza leo kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza aliyechaguliwa kwa njia za kidemokrasia, Beji Caid Essebsi ambae amefariki akiwa na umri wa miaka 92, akiliacha taifa hilo la Afrika ya Kaskazini likikabiliwa na...

Wednesday, July 24, 2019

Bilioni 3.1 zatumika miradi majisafi Siha

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Kwaheri Theresa May, Karibu Boris Johnson

Theresa May Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...