Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, September 30, 2019

Watu 2,000 wafariki dunia kwa Ebola

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo ni nchi ya namna gani?

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Ufahamu mwezi Septemba

Septemba ni mwezi wa tisa wa mwaka katika kalenda ya Julian na kalenda ya Gregori. Septemba ni mwezi wa tatu kati miezi minne ambayo ina siku 30.  Pia ni mwezi wan ne kati ya mitano ya mwaka yenye siku chini ya 31. September ni neno ambalo limechukuliwa kutoka katika...

Njaa iliyojificha inavyoitesa Jamii

Kuanza kumpa mtoto chakula kabla ya kufikisha miezi sita ni hatari kiafya Wataalamu wa masuala ya lishe wanaeleza njaa iliojificha kuwa ni kula chakula na kushiba huku mwili ukiwa haujavuna vya kutosha madini, protini na hata vitamin, hali inayopelekea mwili kuzongwa...

Friday, September 27, 2019

Rwanda ni taifa la namna gani?

Rwanda ni miongoni mwa mataifa madogo kabisa katika bara la Afrika. Lipo nyuzi chache kusini mwa mstari wa Ikweta.  Rwanda imepakana na Uganda, Tanzania, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC). Pia taifa hilo ambalo sasa linaongozwa na Paul Kagame lipo...

Rwanda yapokea kundi la kwanza la wakimbizi kutoka Libya

Kundi la kwanza la wakimbizi wa Libya limewasili jijini Kigali. Taarifa ya Umoja wa Mataifa imesema raia 66 wa Libya wanaotafuta makazi limewasili nchini Rwanda na litawekwa kaskazini mwa taifa hilo katika mpango mpya wa kuwahifadhi wakimbizi.  Programu hiyo mpya inakuja...

MAKTABA YA JAIZMELA: Bishop David Oyedepo ni nani?

Septemba 27, 1954 alizaliwa Mhubiri wa Neno la Mungu, Mwandishi wa vitabu vya Kikristo, Mfanyabiashara, Mhandisi wa ujenzi na mwanzilishi wa Kanisa la Faith Tabernacle lililopo Ota katika jimbo la Ogun nchini Nigeria na mwanzilishi wa Huduma ya Living Faith Worldwide maarufu...

Thursday, September 26, 2019

Mgogoro wa ardhi Nyabiraba wazua hofu Burundi

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...