
Monday, September 30, 2019
Watu 2,000 wafariki dunia kwa Ebola

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo ni nchi ya namna gani?

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Ufahamu mwezi Septemba

Septemba ni mwezi wa tisa wa mwaka katika kalenda ya Julian na kalenda ya Gregori. Septemba ni mwezi wa tatu kati miezi minne ambayo ina siku 30.
Pia ni mwezi wan ne kati ya mitano ya mwaka yenye siku chini ya 31. September ni neno ambalo limechukuliwa kutoka katika...
Njaa iliyojificha inavyoitesa Jamii

Kuanza kumpa mtoto chakula kabla ya kufikisha miezi sita ni hatari kiafya
Wataalamu wa masuala ya lishe
wanaeleza njaa iliojificha kuwa ni kula chakula na kushiba huku mwili ukiwa
haujavuna vya kutosha madini, protini na hata vitamin, hali inayopelekea mwili
kuzongwa...
Friday, September 27, 2019
Rwanda ni taifa la namna gani?

Rwanda ni miongoni mwa
mataifa madogo kabisa katika bara la Afrika. Lipo nyuzi chache kusini mwa
mstari wa Ikweta.
Rwanda imepakana na Uganda, Tanzania, Burundi na Jamhuri ya
Kidemokrasi ya Kongo (DRC). Pia taifa hilo ambalo sasa linaongozwa na Paul Kagame
lipo...
Rwanda yapokea kundi la kwanza la wakimbizi kutoka Libya

Kundi la kwanza la wakimbizi
wa Libya limewasili jijini Kigali. Taarifa ya Umoja wa Mataifa imesema raia 66
wa Libya wanaotafuta makazi limewasili nchini Rwanda na litawekwa kaskazini mwa
taifa hilo katika mpango mpya wa kuwahifadhi wakimbizi.
Programu hiyo mpya
inakuja...
MAKTABA YA JAIZMELA: Bishop David Oyedepo ni nani?

Septemba 27, 1954 alizaliwa
Mhubiri wa Neno la Mungu, Mwandishi wa vitabu vya Kikristo, Mfanyabiashara, Mhandisi
wa ujenzi na mwanzilishi wa Kanisa la Faith Tabernacle lililopo Ota katika
jimbo la Ogun nchini Nigeria na mwanzilishi wa Huduma ya Living Faith Worldwide
maarufu...
Thursday, September 26, 2019
Mgogoro wa ardhi Nyabiraba wazua hofu Burundi

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...