
Saturday, May 30, 2020
UWT yatoa misaada ya kibinadamu waliokumbwa na mafuriko Moshi

Umoja wa Wanawake
Tanzania , Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (UWT) wa Manispaa ya Moshi wametoa
misaada mbalimbali ya kibinadamu ikiwemo vyakula na sabuni kwa waathirika wa
mafuriko katika kata ya Mji Mpya iliyopo Manispaa hiyo.
Akizungumza
wakati wa kukabidhi misaada...
MAKTABA YA JAIZMELA: Voltaire ni nani?

Francois-Marie Arouet (Voltaire)Mei
30, 1778 alifariki dunia mwandishi wa kipindi cha mwangaza nchini Ufaransa, mwanahistoria
na mwanafalsafa Francois-Marie Arouet maarufu kwa jina la Voltaire.Alifariki dunia
akiwa na umri wa miaka 84. Anakumbukwa kutokana na ukosoaji wake katika...
Monday, May 25, 2020
Unayakumbuka maneno haya “Get up and Fight sucker”

Mei 25, 1965 bondia Muhammad Ali alimtandika
mwanasumbwi aliyekuwa na mvuto kwa wengi na fundi Sonny Liston na kuanzia hapo
ufalme ukahamia kwa Ali ambaye wakati huo alikuwa akifahamika kwa jina la
Cassius Clay Jr. kabla hajaanza kujiita Muhammad Ali.
Maneno haya yenye...
Wanawake watakiwa kujiendeleza kielimu

Wanawake nchini wametakiwa kujiendeleza kielimu ili kuongeza nafasi ya kuwania uongozi katika kada mbalimbali hatua ambayo itakuwa mwendelezo wa juhudi za wanaharakati mbalimbali za kutaka usawa na kuwa chachu ya mawendeleo.
Akizungumza katika mahojiano maalum aliyekuwa...
Kaya 13 zahofia kudhulumiwa ekari 106
Kaya 13 katika kijiji cha Gundusine wilayani Same mkoani Kilimanjaro zipo katika sintofahamu kuhusu ekari 106 za ardhi baada ya hukumu ya mahakama ya baraza la Ardhi na Nyumba kuamuru kurudishwa kwa ekari hizo kwa familia za wanakijiji hao kupuuzwa.
Hayo yanajiri...
Who is Jabir Johnson?

Jabir Johnson, Tanzanian Journalist and Radio Presenter
Katika jitihada za kutafuta elimu duniani, ni juu yetu kujitahidi
sana kusoma mambo yenye faida kwa maisha yetu. Katika jitihada hizi, mtu
huambulia elimu za namna mbalimbali kutoka vyanzo mbalimbali.
Dunia...
MAKTABA YA JAIZMELA: Yang Jiang ni nani?

Mei
25, 2016 alifariki dunia msanii, mwandishi wa vitabu na mkalimani wa China Yang
Jiang. Alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 104.
Yang Jiang aliandika
vichekesho vingi vilivyopata umaarufu mkubwa na huyu aliweka rekodi ya kwanza
nchi China ya kumaliza toleo...
Friday, May 22, 2020
Elimu mwarobaini wa Uzururaji, Uchagudoa, Ombaomba

Paul Makonda
Hivi karibuni mkuu wa
Dar es Salaam Paul Makonda alikaririwa akisema kuhusu kuwakamata wabunge
waliokimbia vikao vya bunge ambao wengi wao ni wa upinzani lakini kuna maneno
mawili aliyasema vizuri bila kupepesa mdomo, maneno hayo ni uzururaji na
uchagudoa.
Pia...
Misitu,Mabwawa kuongeza kipato Mwanga

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga imeanzisha mpango mkakati wa
kudumu wa kuiwezesha misitu na mabwawa yaliyopo wilayani humo kuwa raslimali
zitakazofungua fursa za maendeleo kwa wananchi wake na kuongeza kipato kwa
halmashauri hiyo tofauti na ilivyo sasa.
Akizungumza ofisini...
Thursday, May 21, 2020
Watetezi wa Mazingira wana hoja kuhusu Covid-19

Dunia bado ipo
katika kitendawili cha kutafuta chanjo ya maradhi ya Covid-19. Walimwengu bado
wana hofu kuhusu hali ya mambo kila mmoja kwa taifa lake. Wengine wanahofia
nafasi zao katika siasa, uchumi na afya zao. Kwa kifupi kila mmoja yupo chini
akitafakari hatma ya ugonjwa...