Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Saturday, May 30, 2020

UWT yatoa misaada ya kibinadamu waliokumbwa na mafuriko Moshi

Umoja wa Wanawake Tanzania , Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (UWT) wa Manispaa ya Moshi wametoa misaada mbalimbali ya kibinadamu ikiwemo vyakula na sabuni kwa waathirika wa mafuriko katika kata ya Mji Mpya iliyopo  Manispaa hiyo. Akizungumza wakati wa kukabidhi misaada...

MAKTABA YA JAIZMELA: Voltaire ni nani?

Francois-Marie Arouet (Voltaire)Mei 30, 1778 alifariki dunia mwandishi wa kipindi cha mwangaza nchini Ufaransa, mwanahistoria na mwanafalsafa Francois-Marie Arouet maarufu kwa jina la Voltaire.Alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 84. Anakumbukwa kutokana na ukosoaji wake katika...

Monday, May 25, 2020

Unayakumbuka maneno haya “Get up and Fight sucker”

Mei 25, 1965 bondia Muhammad Ali alimtandika mwanasumbwi aliyekuwa na mvuto kwa wengi na fundi Sonny Liston na kuanzia hapo ufalme ukahamia kwa Ali ambaye wakati huo alikuwa akifahamika kwa jina la Cassius Clay Jr. kabla hajaanza kujiita Muhammad Ali. Maneno haya yenye...

Wanawake watakiwa kujiendeleza kielimu

Wanawake nchini wametakiwa kujiendeleza kielimu ili kuongeza nafasi ya kuwania uongozi katika kada mbalimbali hatua ambayo itakuwa mwendelezo wa juhudi za wanaharakati mbalimbali za kutaka usawa na kuwa chachu ya mawendeleo. Akizungumza katika mahojiano maalum aliyekuwa...

Kaya 13 zahofia kudhulumiwa ekari 106

Kaya 13 katika kijiji cha Gundusine wilayani Same mkoani Kilimanjaro zipo katika sintofahamu kuhusu ekari 106 za ardhi baada ya hukumu ya mahakama ya baraza la Ardhi na Nyumba  kuamuru kurudishwa kwa ekari hizo kwa familia za wanakijiji hao kupuuzwa. Hayo yanajiri...

Who is Jabir Johnson?

Jabir Johnson, Tanzanian Journalist and Radio Presenter Katika jitihada za kutafuta elimu duniani, ni juu yetu kujitahidi sana kusoma mambo yenye faida kwa maisha yetu. Katika jitihada hizi, mtu huambulia elimu za namna mbalimbali kutoka vyanzo mbalimbali. Dunia...

MAKTABA YA JAIZMELA: Yang Jiang ni nani?

Mei 25, 2016 alifariki dunia msanii, mwandishi wa vitabu na mkalimani wa China Yang Jiang. Alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 104.  Yang Jiang aliandika vichekesho vingi vilivyopata umaarufu mkubwa na huyu aliweka rekodi ya kwanza nchi China ya kumaliza toleo...

Friday, May 22, 2020

Elimu mwarobaini wa Uzururaji, Uchagudoa, Ombaomba

Paul Makonda Hivi karibuni mkuu wa Dar es Salaam Paul Makonda alikaririwa akisema kuhusu kuwakamata wabunge waliokimbia vikao vya bunge ambao wengi wao ni wa upinzani lakini kuna maneno mawili aliyasema vizuri bila kupepesa mdomo, maneno hayo ni uzururaji na uchagudoa. Pia...

Misitu,Mabwawa kuongeza kipato Mwanga

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga imeanzisha mpango mkakati wa kudumu wa kuiwezesha misitu na mabwawa yaliyopo wilayani humo kuwa raslimali zitakazofungua fursa za maendeleo kwa wananchi wake na kuongeza kipato kwa halmashauri hiyo tofauti na ilivyo sasa. Akizungumza ofisini...

Thursday, May 21, 2020

Watetezi wa Mazingira wana hoja kuhusu Covid-19

Dunia bado ipo katika kitendawili cha kutafuta chanjo ya maradhi ya Covid-19. Walimwengu bado wana hofu kuhusu hali ya mambo kila mmoja kwa taifa lake. Wengine wanahofia nafasi zao katika siasa, uchumi na afya zao. Kwa kifupi kila mmoja yupo chini akitafakari hatma ya ugonjwa...