Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, April 30, 2020

Wananchi wafunguka Mghwira kujitangaza kuambukizwa Corona

Wananchi mkoani Kilimanjaro wamewataka wakuu wa mikoa wengine nchini kuiga mfano wa Mkuu wa Mkoa huo Dkt. Anna Mghwira kutokana na uamuzi wake wa kujitangaza kupata maambukizi ya virusi vya Corona na kuchukua tahadhari dhidi ya maradhi hayo wakiwa katika utendaji wao wa...

Thursday, April 23, 2020

Miembeni Action yalia changamoto wenye ulemavu mapambano Corona

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

MECKI yawaangukiwa wadau vifaa vya Corona

Mwenyekiti wa MECKI Bahati Nyakiraria Klabu ya Waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro (MECKI), imewaomba wadau mbalimbali kuweza kuwasaidia vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona pindi pale wanapotekeleza majukumu yao. Akizungumza na wanahabari...

Tuesday, April 21, 2020

Rest in Peace Father German

Father German   CHANZO: REGGAEVILLE...

Utunzaji miti kikwazo Kampeni Moshi ya Kijani

Diwani wa Kata ya Kilimanjaro Priscus Tarimo Imeelezwa kikwazo kikubwa katika kuifanya Moshi ya Kijani ni usimamizi wa zoezi zima la upandaji wa miti katika mitaa ya Manispaa hiyo. Akizungumza na gazeti hili Mkurugenzi wa Asasi isiyo ya Kiserikali inayojishughulisha na...

Nyumba 30, bajaji, magari, mifugo vyasombwa na maji

Jumla ya nyumba 30, bajaji sita, gari moja, na mifugo ambayo idadi yake haijafahamika mara moja imesombwa na maji katika kata ya Mji Mpya mjini Moshi kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha tangu juzi.  Aidha mvua hizo zimesomba pikipiki zaidi ya 20 ambazo ni za...

Friday, April 17, 2020

Wakurugenzi watakiwa kutunga sheria ndogondogo kudhibiti Corona

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Anna Mghwira amewataka wakurugenzi wa halmashauri mkoani humo kutunga sheria ndogondogo ambazo zitatumika kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwamo kupulizia dawa bodaboda na mabasi kila siku katika halmashauri husika. Mghwira...

Tuesday, April 14, 2020

KNCU yalirejesha Shamba la Lerongo lisiloendelezwa

Shamba za Lerongo ambalo halijaendelezwa kwa takribani miaka mitatu kutoka mwaka 2016-2020. (Picha na Kija Elias) Chama Kikuu cha Ushirika wa Kahawa mkoani Kilimanjaro (KNCU) limepokea shamba la Lerongo lililokuwa mikononi mwa mwekezaji ambaye hakuwa kulipa kodi  kwa...

Namna ya kujiponya na uraibu wa kamari

Uraibu wa Kamari sio wazo au jambo geni miongoni mwa jamii nyingi ulimwenguni hususani Tanzania. Nafahamu kuna wengi wetu kwa sasa wamekuwa waraibu wa Kamari hadi imekuwa ni maradhi yanayowatesa wengi hususani vijana. Watu wenye umri kuanzia miaka 45 na kuendelea nao wameonekana...

H/shauri ya Rombo kufufua ngoma ya Iringi

Halmashauri ya Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro ipo mbioni kufufua utamaduni wa ngoma za asili ulio hatarini kutoweka wa Iringi. Akizungumza ofisini kwake, Afisa Idara ya Elimu Msingi wilayani humo Alice Uforo Makule alisema katika wilaya yake wanataka kuwa wa kwanza...