Thursday, April 30, 2020
Wananchi wafunguka Mghwira kujitangaza kuambukizwa Corona
Wananchi mkoani
Kilimanjaro wamewataka wakuu wa mikoa wengine nchini kuiga mfano wa Mkuu wa
Mkoa huo Dkt. Anna Mghwira kutokana na uamuzi wake wa kujitangaza kupata
maambukizi ya virusi vya Corona na kuchukua tahadhari dhidi ya maradhi hayo
wakiwa katika utendaji wao wa...
Thursday, April 23, 2020
Miembeni Action yalia changamoto wenye ulemavu mapambano Corona

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
MECKI yawaangukiwa wadau vifaa vya Corona
Mwenyekiti wa MECKI Bahati Nyakiraria
Klabu ya Waandishi wa
habari mkoani Kilimanjaro (MECKI), imewaomba wadau mbalimbali kuweza kuwasaidia
vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona pindi pale
wanapotekeleza majukumu yao.
Akizungumza na
wanahabari...
Tuesday, April 21, 2020
Utunzaji miti kikwazo Kampeni Moshi ya Kijani

Diwani wa Kata ya Kilimanjaro Priscus Tarimo
Imeelezwa kikwazo kikubwa katika kuifanya Moshi ya Kijani ni usimamizi wa zoezi zima la upandaji wa miti katika mitaa ya Manispaa hiyo.
Akizungumza na gazeti hili Mkurugenzi wa Asasi isiyo ya Kiserikali inayojishughulisha na...
Nyumba 30, bajaji, magari, mifugo vyasombwa na maji
Jumla ya nyumba 30, bajaji
sita, gari moja, na mifugo ambayo idadi yake haijafahamika mara moja imesombwa
na maji katika kata ya Mji Mpya mjini Moshi kutokana na mvua zinazoendelea
kunyesha tangu juzi.
Aidha mvua hizo zimesomba
pikipiki zaidi ya 20 ambazo ni za...
Friday, April 17, 2020
Wakurugenzi watakiwa kutunga sheria ndogondogo kudhibiti Corona

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Anna Mghwira amewataka
wakurugenzi wa halmashauri mkoani humo kutunga sheria ndogondogo ambazo
zitatumika kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwamo kupulizia dawa
bodaboda na mabasi kila siku katika halmashauri husika.
Mghwira...
Tuesday, April 14, 2020
KNCU yalirejesha Shamba la Lerongo lisiloendelezwa
Shamba za Lerongo ambalo halijaendelezwa kwa takribani miaka mitatu kutoka mwaka 2016-2020. (Picha na Kija Elias)
Chama Kikuu cha Ushirika wa Kahawa mkoani Kilimanjaro (KNCU)
limepokea shamba la Lerongo lililokuwa mikononi mwa mwekezaji ambaye hakuwa
kulipa kodi kwa...
Namna ya kujiponya na uraibu wa kamari

Uraibu wa Kamari sio wazo au jambo geni miongoni mwa jamii nyingi ulimwenguni hususani Tanzania. Nafahamu kuna wengi wetu kwa sasa wamekuwa waraibu wa Kamari hadi imekuwa ni maradhi yanayowatesa wengi hususani vijana.
Watu wenye umri kuanzia miaka 45 na kuendelea nao wameonekana...
H/shauri ya Rombo kufufua ngoma ya Iringi

Halmashauri ya Wilaya ya
Rombo mkoani Kilimanjaro ipo mbioni kufufua utamaduni wa ngoma za asili ulio
hatarini kutoweka wa Iringi.
Akizungumza ofisini kwake,
Afisa Idara ya Elimu Msingi wilayani humo Alice Uforo Makule alisema katika
wilaya yake wanataka kuwa wa kwanza...