Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, June 30, 2022

Zuberi Abdallah Kidumo: Meya mpya Manispaa ya Moshi

 Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Abdallah Kidumo, akizungumza na wajumbe wa baraza la madiwani muda mchache baada ya kukalia kiti hicho. Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro imepata Meya mpya wa kuiongoza manispaa hiyo baada ya songombingo la takribani miezi mitatu...