Thursday, June 30, 2022
Zuberi Abdallah Kidumo: Meya mpya Manispaa ya Moshi
Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Abdallah Kidumo, akizungumza na wajumbe wa baraza la madiwani muda mchache baada ya kukalia kiti hicho. Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro imepata Meya mpya wa
kuiongoza manispaa hiyo baada ya songombingo la takribani miezi mitatu...