Tuesday, February 28, 2017
Mabaraza la Madiwani Mkalama, Singida latimua watumishi
NA MWANDISHI WETU
Mkalama, Singida; Mei 2016 (Picha na Maktaba)
BARAZA
la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida limewafukuza
kazi watumishi wake watatu na kumsimamisha kwa muda mmoja kwa tuhuma
mbalimbali, ikiwamo utoro kazini.
Mwenyekiti
wa...
Mwisho wa 'viroba' Machi 1

NA MWANDISHI WETU
January Makamba
SERIKALI imewataka wazalishaji
na wafanyabiashara kuacha kuilalamikia kwa hatua iliyochukua ya
kutangaza marufuku ya uzalishaji, usambazaji na matumizi ya viroba kuwa imekuja
ghafla huku wakijua kwamba tamko hilo
lilitolewa tangu...
Google yakubali mchango wa ‘Malaika wa Rehema’ Abdul Sattar Edhi

CALIFORNIA, MAREKANI
Abdul Sattar Edhi enzi za uhai wake
KAMPUNI
ya Google iliyo maarufu kwa utoaji wa huduma za intaneti na bidhaa zake
imemkumbuka mwanzilishi wa Edhi Foundation aliyejitolea maisha yake kuwasaidia
watoto maskini tangu akiwa na miaka 20 kwa kuchapisha...
Monday, February 27, 2017
Waziri Mkuu Majaliwa kufanya uzinduzi Feb 28

NA
MWANDISHI WETU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kesho atafungua mkutano wa
siku moja wa Watendaji Wakuu na Wenyeviti wa Bodi za Mashirika ya Umma utakaojadili
nafasi za Mashirika ya Umma katika utekelezaji...
Mauzo soko la Hisa yaongezeka

NA
STELLA JOSEPH
Soko la Hisa
Mauzo katika soko la hisa yameongezeka kwa
shilingi Bilioni 8.5 kutoka shilingi milioni 228 kwa juma lililopita
ukilinganisha na shilingi Bilioni 8.6 kwa juma linaloishia Februari 24.
Meneja Mauzo wa Soko la Hisa na Biashara (DSE), Patric...
'Nokia 3310' New Model yazinduliwa

BARCELONA, HISPANIA
Toleo jipya la Nokia 3310
KAMPUNI ya simu za Nokia imeingia tena sokoni kwa kuishangaza dunia
baada ya kutambulisha toleo za zamani la simu yao
Nokia 3310 ambayo lilikuwa maarufu sana
mwanzoni mwa karne ya 21.
Aina hiyo ya simu kwa ukanda wa...
Saturday, February 25, 2017
Facebook yakiri kusaidia mkutano wa Republican

MARYLAND, MAREKANI
Mark Zuckerberg wa Facebook
WAKATI washauri wa juu wa Rais Donald Trump
wakisisitiza kuwa wataendelea kumshawishi kiongozi huyo wa Marekani kutekeleza
ahadi zake alizoahidi wakati wa kampeni, imeelezwa Facebook ilichanga dola
62,500 za Marekani kufanikisha...
Friday, February 24, 2017
'iPhone 8' njiani mwaka huu

CALIFORNIA, MAREKANI
Kampuni linalojihusisha na kusanifu, kutengeneza,
kuendeleza na kuuza kwa wateja vifaa vya elektroniki, programu za kompyuta na
huduma za mtandao la Apple linatarajia kutoa simu iPhone 8 baadaye mwaka huu.
Hayo yanajiri ikiwa leo ni siku ya kuzaliwa
mwanzilishi...
Wafanyabiashara Sukari ya Magendo Mbeya wakamatwa, wapigwa faini

NA
MWANDISHI WETU
Sukari ya Kilombero katika pakiti zake
Zaidi ya shilingi milioni tisa zimekusanywa na
wakala wa vipimo mkoani Mbeya baada ya
kupigwa faini wafanyabiashara waliokamatwa wakiuza sukari iliyofungashwa
katika ujazo usiokubalika kisheria.
Kwa mujibu...
Thursday, February 23, 2017
King Salman kuzuru Indonesia

JAKARTA, INDONESIA
Mfalme Salman wa Saudia Arabia
Indonesia imetangaza kuwa Mfalme Salman wa Saudia
Arabia atazuru nchi hiyo mapema mwezi ujao akiwa na ujumbe watu 1,500.
Taarifa nyingine zinasema ufalme huo unatarajia kutumia mabilioni ya
pesa kwa ajili ya kukaa kwenye...
Yoweri Museveni, Danny Faure kuzuru Tanzania

NA
FELISTA HENRY
Yoweri Museveni, Rais wa Uganda
WAKAZI wa jiji la Dar es Salaam wametakiwa kutumia
fursa ya kibiashara kupitia ujio wa viongozi wa juu wa Uganda na
Visiwa vya Shelisheli kwa maendeleo ya nchi.
Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Danny Faure wa
Ushelisheli...
Vifungashio vipya kutengenezwa Tanzania

NA MWANDISHI WETU
Nembo ya Toyo Seikan Group
Kampuni ya Toyo Seikan Group
Holding Ltd kutoka nchini Japan imeonyesha dhamira ya kuwekeza nchini kwa
kuzalisha vifungashio vya vinywaji vilivyotengenezwa kwa teknolojia ya kisasa
na maofisa wa kampuni hiyo walio nchini kwa...
Wednesday, February 22, 2017
Raia 14 wa India wapandishwa kortini Kisutu

NA MWANDISHI WETU
Raia wa India wafanyakazi kwenye Kampuni la Quality Group Ltd wakiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Februari 22, 2017.
Raia wa 14 wa India ambao wanafanya kazi Quality Group wamefikishwa leo
katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
NASA kutangaza 'Nje ya Mfumo wetu wa Jua'

NEW
YORK, MAREKANI
Mchoro wa msanii ukionyesha sayari Kepler -452b
NA
MWANDISHI WETU
Shirika la Anga za Juu la Marekani
(NASA) leo linatarajiwa kutangaza ugunduzi "mkubwa" kuhusu mambo
yaliyomo ‘Nje ya mfumo wetu wa jua’.
Hafla ya kutangaza
ugunduzi huo itapeperushwa...
Shahidi Namba 5 kesi ya Scorpion atinga mahakamani leo

NA
MWANDISHI WETU
Salum Njwete (katikati) akitoka katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Oktoba 19, 2016
USHAHIDI wa kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu
Scorpion umeendelea kusikilizwa leo katika mahakama ya wilaya ya Ilala huku
shahidi wa tano ambaye ni daktari akidai...
Tuesday, February 21, 2017
Happy Birthday Robert Mugabe

Robert Mugabe
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anatimiza miaka 93
ya kuzaliwa kwake (Alizaliwa Februari 21, 1924). Mugabe amekuwa akijulikana kwa kauli kali tangu alipoipa
uhuru nchi hiyo mwaka 1980.
Jina lake
halisi ni Robert Gabriel
Mugabe, Baba yake alikuwa fundi seremala...
Monday, February 20, 2017
Happy Birthday ya Robert Mugabe, kesho

HARARE, ZIMBABWE
Robert Mugabe
Kesho Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anatimiza
miaka 93 ya kuzaliwa kwake huku akisisitiza kuwa hajamuona mtu sahihi wa
kumkabidhi kijiti.
Kiongozi huyo aliyepo madarakani tangu
walipojipatia uhuru mwaka 1980 amekaririwa akisema wanaopaswa...
Mtoto wa miaka saba aomba kazi Google

HEREFORD, ENGLAND
Chloe Bridgewater
Mtoto wa miaka saba ameomba kazi katika kampuni ya
Google, kwa kumwandikia barua yenye maneno takribani 260 Mkurugenzi Mtendaji wa
kampuni hilo.
Mtoto huyo wa kike anayefahamika kwa jina la Chloe
Bridgewater ambaye anaishi Hereford
nchini...
Friday, February 17, 2017
Thursday, February 16, 2017
Gereji ya kurekebisha vifaa vya kijeshi yazinduliwa

PHNOM PENH,
CAMBODIA
Gereji ya Vifaa vya Kijeshi iliyojengwa kwa msaada wa
Serikali ya China imezinduliwa nchini Cambodia.Ujenzi wa gereji hiyo ambayo
itatumika kurekebisha vifaa vya kijeshi ilianza kujengwa mwaka 2015.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Cambodia
Jenerali...
REA kutoa mafunzo ya Nishati

NA FELISTA HENRY
WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) wanatarajia kutoa mafunzo ya majuma
mawili kwa mafundi na waendelezaji wa vyanzo vya umeme unaozalishwa kutokana na
rasimali za nishati jadidifu.
Serikali kupitia REA imeanza utekelezaji wa mradi kabambe wa awamu ya tatu
wa...
Wednesday, February 15, 2017
Mfumko wa bei wapanda Misri, watalii wapungua

CAIRO, MISRI
Utalii nchini Misri umeshuka kutokana na thamani ya fedha kukosa thamani kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo ajali ya ndege iliyotokea Oktoba 31, 2015 kwenye milima ya Sinai hivyo kukatisha safari za mashirika makubwa ya ndege.
Takwimu...
Kim Jong-nam afariki dunia

KUALA LUMPUR, MALAYSIA
Kim Jong-nam
Aliyekuwa ndugu wa kiongozi wa Korea Kaskazini,
Kim Jong Un ameuawa nchini Malyasia katika uwanja wa ndege wa Kuala Lumpur.
Maafisa wa Polisi nchini Malaysia wamesema kwamba Kim Jong Nam alishambuliwa juzi wakati alipokuwa
akitarajia...
Tuesday, February 14, 2017
Vifo vya mapema India vyatisha

NEW DELHI, INDIA
Uchafuzi wa hali ya hewa kutoka viwandani.
UTAFITI wa kimataifa unaonyesha kuwa vifo vya
mapema takribani milioni moja na laki moja nchini India
vimetokea kutokana na uchafuzi wa...
Makonda ataja moja akabidhi majina 97 ya wanaojihusisha na dawa za kulevya
NA PENDO MICHAEL
Gazeti la Habari Leo Februari 14, 2017 kuhusu Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kukabidhi majina 97
SIKU
moja baada Rais John Magufuli kumwapisha Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na
Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga na kumtaka kusimamia kwa uadilifu
mkubwa...