Thursday, July 28, 2022
Lions Club Moshi Kibo yakabidhi Chuo cha Ufundi Msandaka, Wahisani wa Ubelgiji wafurahia matunda ya kazi yao
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Monday, July 25, 2022
Sunday, July 24, 2022
Usangi Day yaongoza Kilimanjaro kidato cha Sita 2022
Shule mbili za sekondari za Kata Wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, zimeibuka kidedea baada ya kushika nafasi ya kwanza na ya pili kimkoa katika matokeo ya mitihani ya kidato cha sita mwaka 2022.Akitoa tathmini ya matokeo hayo Julai 22,2022 Mkurugenzi...
Friday, July 22, 2022
Kata, Vijiji vyatakiwa kuendelea kuhamasisha watu kuhesabiwa Agosti 23
Viongozi wa ngazi ya kata na vijiji watakiwa kuendelea kuhamasisha wananchi kwenye maeneo yao washiriki kuhesabiwa kwenye Sensa ya Watu na Makazi itakalofanyika Agost 23 mwa huu.Hayo yalibainishwa na baadhi ya makarani wa Sensa ...
Thursday, July 21, 2022
Ithibati ya Kimataifa Hospitali ya Kibong'oto mkombozi kwa Watanzania
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali Maalum ya Afya ya Jamii na Magonjwa Ambukizi ya Kibong’oto Dkt. Leonard Subi Hospitali Maalum ya Afya ya Jamii na Magonjwa Ambukizi ya Kibong’oto, Siha mkoani Kilimanjaro imejizolea ithibati nne za kimataifa hatua ambayo itakuwa mkombozi...
Chifu Mhelamwana apendekeza cheo cha Urais kifutwe kitumike Malkia katiba mpya

Chifu Frank Marealle (kushoto) akipokea fimbo ya uchifu kutoka kwa Chifu Omary Mwariko Mhelamwana katika hafla fupi ya kukabidhiwa iliyofanyika Marangu mkoani Kilimanjaro Kutokana na
utendaji wa kazi wa Rais wa awamu ya sita Samia Suluhu Hassan ndani na nje ya
Jamhuri...
Tuesday, July 19, 2022
Chipsi ya 2500 yaondoa uhai wa Mmasai

Wakazi wa Kijiji cha Uchira, wilayani Moshi wakitoa heshima
zao za mwisho kwa marehemu Yohana Laizer (30) aliyeuawa kwa kudhaniwa kuwa ni mwizi (Picha na Kija
Elias). Wahenga
walisema “Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni”, ndivyo unavyoweza kusema
katika tukio...