Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, July 28, 2022

Lions Club Moshi Kibo yakabidhi Chuo cha Ufundi Msandaka, Wahisani wa Ubelgiji wafurahia matunda ya kazi yao

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Sunday, July 24, 2022

Usangi Day yaongoza Kilimanjaro kidato cha Sita 2022

Shule mbili za  sekondari za  Kata Wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, zimeibuka kidedea baada ya kushika nafasi ya kwanza na ya pili kimkoa katika matokeo ya mitihani ya kidato cha sita mwaka 2022.Akitoa tathmini ya matokeo hayo Julai 22,2022 Mkurugenzi...

Friday, July 22, 2022

Kata, Vijiji vyatakiwa kuendelea kuhamasisha watu kuhesabiwa Agosti 23

Viongozi wa ngazi ya kata na vijiji watakiwa  kuendelea kuhamasisha wananchi kwenye maeneo yao  washiriki kuhesabiwa kwenye Sensa  ya Watu na Makazi itakalofanyika Agost 23 mwa huu.Hayo yalibainishwa na baadhi ya makarani wa  Sensa ...

Thursday, July 21, 2022

Ithibati ya Kimataifa Hospitali ya Kibong'oto mkombozi kwa Watanzania

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali Maalum ya Afya ya Jamii na Magonjwa Ambukizi ya Kibong’oto Dkt. Leonard Subi  Hospitali Maalum ya Afya ya Jamii na Magonjwa Ambukizi ya Kibong’oto, Siha mkoani Kilimanjaro imejizolea ithibati nne za kimataifa hatua ambayo itakuwa mkombozi...

Chifu Mhelamwana apendekeza cheo cha Urais kifutwe kitumike Malkia katiba mpya

 Chifu Frank Marealle (kushoto) akipokea fimbo ya uchifu kutoka kwa Chifu Omary Mwariko Mhelamwana katika hafla fupi ya kukabidhiwa iliyofanyika Marangu mkoani Kilimanjaro Kutokana na utendaji wa kazi wa Rais wa awamu ya sita Samia Suluhu Hassan ndani na nje ya Jamhuri...

Tuesday, July 19, 2022

Chipsi ya 2500 yaondoa uhai wa Mmasai

Wakazi wa Kijiji cha Uchira, wilayani Moshi wakitoa heshima zao za mwisho kwa marehemu Yohana Laizer (30) aliyeuawa kwa  kudhaniwa kuwa ni mwizi (Picha na Kija Elias). Wahenga walisema “Ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni”, ndivyo unavyoweza kusema katika tukio...