Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, June 25, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Mfahamu aliyempiga risasi Papa Yohane Paulo II

MEHMET ALI AGCA alizaliwa Januari 9, 1958. Mwanaume huyu alikuwa ni mwanachama wa Kundi la Wauaji nchini Uturuki la Grey Wolves.  Mehmet anakumbukwa kutokana na matukio yake miongoni mwa hilo ni la mauaji ya mwandishi wa habari wa kushoto Abdi İpekçi tarehe 1 Februari...

CCM Hai yalaani ujazito mashuleni

Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro kimesema hakijapendezwa na kitendo cha mwanasiasa kuchafua tasnia ya siasa kwa kumpa ujazito mwanafunzi wa sekondari wilayani humo. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Katibu wa Chama Cha...

Saturday, June 22, 2019

Yafahamu mambo ya kuepuka kukutwa na Makosa ya Mtandao

Sheria ya mitandao iliyoaanza kutumika rasmi Septemba 1,  2015. Malengo ya Sheria hii ni kuainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi ya ushahidi wa kielektroniki...

Friday, June 21, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Joko Widodo, Rais wa Kwanza Indonesia kupigiwa kura

Taifa la Indonesia ni miongoni mwa mataifa yenye idadi kubwa ya waislamu ulimwenguni. Taifa hili lipo Kusini Mashariki mwa bara la Asia ambapo kwa mujibu wa sensa ya watu ya makazi ya mwaka 2010 nchi hiyo ilikuwa na watu milioni 237 hata hivyo makadirio ya mwaka 2016 yanaonyesha...

Thursday, June 20, 2019

Mwenge wa Uhuru 2019 waanza mkoa wa Kilimanjaro

Mwenge wa Uhuru  mwaka 2019 umeanza kutimua mbio zake mkoani Kilimanjaro, ambapo unatarajia kutembelea miradi 35 yenye thamani ya shilingi bilioni 41.6 kwenye halmashauri saba za mkoa huo. Mwenge huo wa Uhuru unatarajia kupitia miradi mbalimbali  ikiwemo ile...

NUKUU MARIDHAWA: Dotto Olafsen

“Katika kampeni yetu hiyo ya kuzuia mimba za utotoni tumegundua kuwa, baadhi ya watoto tayari wameshaathiriwa na tatizo hilo na kuachishwa masomo kwani serikali hairuhusu mwanafunzi aliyezaa kuendelea na masomo, hivyo wito wangu kwa serikali ni kuandaa shule maalumu za...

RAMADHANI S. MOHAMED: Ninamuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Mwandishi wa Habari nchini Tanzania Jabir Johnson katika picha ya pamoja na Ramadhani S. Mohamed ambaye anazunguka nchi nzima kwa mguu kumuenzi Mwalimu Julius K. Nyerere kwa uzalendo wake kwa taifa. Mzalendo huyo atahitimisha safari hiyo wakati wa maadhimisho ya kumuenzi...

Tuesday, June 18, 2019

RC KILIMANJARO: Barabara ya Lami Sanya-Elerai imekaa sawa

Serikali mkoani  Kilimanjaro, imeridhishwa na ujenzi wa barabara ya lami inayojengwa kutoka Sanya Juu hadi Elerai yenye urefu wa kilomita 32.2. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira, aliyasema hayo wakati alipokuwa akikagua mradi wa ujenzi...

Monday, June 17, 2019

Madiwani Moshi vijijini waliotimkia CCM waapishwwa

Madiwani wateule wawili  waliopita bila kupingwa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, wameapishwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi ili kuungana na madiwani wengine katika kuwahudumia...

Sunday, June 16, 2019

UVCCM yazindua ‘Kilimanjaro Ya Kijani’, Usaliti kikwazo katika kupiga kura

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James akihutubia katika Uzinduzi wa Mkakati wa 'Kilimanjaro Ya Kijani' Juni 16, 2019. Imeelezwa usaliti wa wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wakati wa kupiga...

Saturday, June 15, 2019

Ali Kiba, Diamonds Platinumz kumuunga mkono Dkt. Kigwangalla kupanda Mlima Kilimanjaro

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Hamis Kigwangalla, ametangaza kuunda timu malumu ya watu mashuhuri ya kupanda mlima Kilimanjaro hadi kileleni mwezi Septemba mwaka huu,  kwa malengo ya kuhamasisha utalii wa ndani na  kuchangia fedha katika mfuko wa mapambano dhidi...

Umasikini chanzo kikubwa cha ukatili wa watoto Moshi

“Watoto wenye ulemavu wamekuwa wakiishi katika mazingira magumu kutokana na kufanyiwa matukio ya ukatili ikiwamo matukio ya kubakwa na kulawitiwa. Naomba jamii ya watanzania kuwapenda na kuwasaidia ili wafikie malengo yao ya kuwa na maisha bora kama watanzania wengine, kama...

GGM yapongezwa Kampeni ya Kupanda Mlima Kilimanjaro

SERIKALI imeupongeza uongozi wa mgodi wa uchimbaji wa dhahabu wa  Geita (GGM) kwa kuanzisha kampeni ya kupanda Mlima Kilimanjaro (GGM Kilimanjaro Challenge against HIV and AIDS) ambayo alisema  mbali na vita dhidi ya UKIMWI, pia imechangia kwa kiasi...