
Monday, March 22, 2021
Umoja wa Machifu Tanzania watoa pole kifo cha JPM

Dkt. John Pombe Magufuli (1959-2021) enzi za uhai wake.
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Wednesday, March 10, 2021
MAKTABA YA JAIZMELA: Samuel Eto'o ni nani?

Machi 10, 1981 alizaliwa nyota wa soka wa Afrika na duniani kwa ujumla Samweli Eto'o Fils alizaliwa huko Douala, Kameruni. Mama yake, alifahamika kwa jina la Christine Eto'oEto'o ambaye alikuwa mpenda mpira wa miguu, alikuwa na matamanio ya kuwa mmoja bora wa Afrika. Tamaa...
Monday, March 8, 2021
MAKTABA YA JAIZMELA: Joe Frazier alivyohimitisha safari ya Muhammad Ali 1971

Machi 8, 1971 mwanamasumbwi wa uzito mkubwa wa Marekani Joe Frazier alihitimisha safari ya bondia maarufu kwa wakati huo Muhammad Ali wa kushinda mapigano 31 katika ulingo wa Madison Square jijini New York na kutwaa taji la uzito mkubwa kwa pointi baada ya mizunguko 15 kwenye...
Manispaa ya Moshi yaadhimisha siku ya wanawake 2021

Leo
ni siku ya wanawake duniani, kila wilaya, kila mkoa, kila taifa lenye kutambua
na kuridhia mikataba ya Umoja wa Mataifa (UM) yenye kuhamasisha usawa wa
kijinisia inaadhimisha siku hii. Manispaa ya Moshi iliyopo mkoani Kilimanjaro,
kaskazini mwa Tanzania imeadhimisha ...
Joan Laporta, rais mpya Barcelona apata 54% ya kura zote

Joan Laporta ametangazwa rasmi kuwa Rais mpya wa klanu ya Barcelona kwa mara ya pili baada ushindi alioupata kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa juma lililopita. Laporta katika kampeni zake alisema ataendelea kumbakisha nyota wa Argentina Lionel Messi, hatua ambayo...
MAKTABA YA JAIZMELA: Florentino Perez ni nani?

Machi 8, 1947 alizaliwa Rais wa sasa wa klabu ya Real Madrid Florentino Perez. Huyu ni mfanyabiashara, mhandisi na mwanasiasa wa zamani nchini Hispania. Haitoshi Perez ni mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Muunganiko wa Makampuni ya ACS yanayojihusisha na uhandisi. Alizaliwa...
Sunday, March 7, 2021
Uvaaji wa barakoa ni tendo la huruma

Ubuddha ni mojawapo ya falsafa ya kidini zinazoongoza duniani
katika suala la wafuasi, ueneaji kijiografia, na ushawishi kijamii na
kiutamaduni.
Ni falsafa ya kipekee ya dunia katika haki yake yenyewe,
ingawa ina mengi ya kushiriki na Uhindu katika kwamba zote...
Wanawake timizeni wajibu wenu, saidia Tanzania

Jamii mbalimbali zimekuwa na hadithi simulizi katika
maisha yao hususani zilizopo barani Afrikani. Hadithi simulizi ni utanzu wa kimasimulizi
ambao umekuwapo katika jamii tangu kale.
Utanzu huo umekuwa ukitumika katika jamii, ili
kuiburudisha hadhira pamoja na kufikisha...
Thursday, March 4, 2021
MAKTABA YA JAIZMELA: Erick Lamela ni nani?

Machi 4, 1992 alizaliwa mchezaji wa soka wa Argentina na klabu ya Tottenham Spurs Erik Lamela. Lamela alizaliwa kwa wazazi Miriam na Jose Manuel Lamela katika kitongoji cha kaskazini mwa jiji la Buenos Aires nchini Argentina. Familia yake ilimpa jina la utani ‘Coco’. Alijiunga...
Preview: Liverpool vs Chelsea, Tuchel na kibarua kizito Anfield?

Baada ya kushuhudia Manchester United ikishindwa kutamba katika dimba la Selhurst Park kwa kutoka sare tasa na wenyewe wa Kusini mwa London, Crystal Palace leo usiku macho na masikio yatakuwa kwa mchezo muhimu utakaowakutanisha miamba Liverpool na Chelsea utakaopigwa katika...
Harry Kane kuendeleza rekodi yake dhidi ya Fulham?

Fulham itawakaribisha Majogoo wa London Tottenham katika dimba la Craven Cottage huku Tom Cairney akiendelea kuugulia majeraha ya goti huku mlinda mlango Marek Rodak akiwa na matatizo ya kidole. Kwa upande Spurs, Harry Kane ana matumaini makubwa ya kuendeleza rekodi...
Preview: Everton vs West Brom; Dominic Calvert-Lewin anaweza kuifikia rekodi ya Lukaku

Everton watakuwa na kibarua dhidi ya Wes Brom ambako wataikosa huduma ya Yerry Mina, Fabian Delph na Jean-Philippe Gbamin ambao wanaendelea kuuguza majeraha yao. Aidha Kocha Carlo Ancelotti ameweka bayana kuwa nyota wake James Rodriguez, Seamus Coleman, Tom Davies na ...
Aston Martin kuinua matarajio ya Vettel

Nyota wa langalanga Sebastian Vettel amesema kwa sasa ana amani moyoni mwake baada ya msimu mbaya akiwa na kampuni ya Ferrari msimu uliopita na kwamba amestaajabu kuanza kufanya kazi na timu ya Aston Martin. Bingwa huyo mara nne wa taji la langalanga la dunia amesema ana...
BMT yavitaka vyama vaya michezo vya kitaifa kupeleka mipango mikakati 2020/21

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limevitaka vyama vya michezo nchini kuwasilisha mipango mikakati ya mwaka 2020/21 na visipofanya hivyo hatua kali zitachukuliwa.Akizungumza na vyombo vya habari Katibu Mtandaji wa BMT George Msonde amesema vyama vya michezo vyote nchini vinatakiwa...