Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, May 31, 2019

Siku ya Kupinga Matumizi ya Tumbaku duniani 2019

Siku ya Kupinga Matumizi ya Tumbaku Duniani 2019 Nchi ambazo huvuta sigara kwa kiasi kidogo ni Ghana, Ethiopia, Nigeria, Eritrea na Panama. Takribani asilimia 14 ya waafrika huvuta tumbaku kwa mujibu wa WHO, ndogo kuliko wastani wa dunia wa takriban asilimia 22. China ni...

ANNA DAVID: Maluweluwe yanavyotishia masomo yake

Anna David Mwanasaikolojia Gary Collins, raisi wa zamani wa Washauri wa Chama Wakristu cha Marekani, aliulizwa uwezekano kwamba maluweluwe yalikuwa kwa wafuasi na ndiyo yaliyobadili kwa kiasi kikubwa tabia yao.  Collins alieleza, “Maluweluwe ni matukio ya mtu...

Thursday, May 30, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Jonas Savimbi 1934-2002

Jonas Malheiro Savimbi ni moja ya wanasiasa na Wapigania Uhuru katika moja ya mataifa yaliyopo kusini mwa Afrika yaani Angola. Aliuawa kinyama Februari 2002 kwa kumiminiwa Risasi na vikosi vya jeshi la Angola.  Sasa ni miaka 17 mzozo umeibuka baina ya serikali...

Balozi wa Sweden awataka Wanachama wa Klabu za Waandishi wa habari kubuni miradi

Balozi wa Sweden nchini Tanzania  Anders  Sjoberg amewataka Wanachama wa Klabu za Waandishi wa habari hapa nchini kubuni miradi mikubwa itakayo wainua  kiuchumi na kuacha  kuendelea kuwategemea wafadhili pekee. Balozi Sjoberg, aliyasema...

Wednesday, May 29, 2019

Jela mwezi mmoja kwa kutelekeza familia

Mwanaume mmoja mjini Moshi mkoani Kilimanjaro amehukumiwa jela mwezi mmoja kwa kosa la kuitelekeza familia yake. Mahakama ya Mwanzo mjini Moshi imemhukumu kifungo cha mwezi mmoja jela Mokolo Anselim Tengecha (37) kwa kosa la kuitelekeza familia yake. Hakimu Mkazi...

MAKTABA YA JAIZMELA: Rais wa 35 wa Marekani John Fitzgerald Kennedy

John Fitzgerald "Jack" Kennedy alizaliwa Mei 29, 1917  na kuuawa  Novemba 22, 1963), alikuwa akijulikana kwa kifupi kama JFK.  JFK alikuwa mwanasiasa wa Marekani aliyekuwa rais wa 35 wa Marekani tangu Januari 1961 hadi kuuawa mwezi Novemba...

Gazeti la LAJIJI leo 29/5/2019

Gazeti la LAJIJI leo 29/5/2019 ...

Sunday, May 26, 2019

Magufuli akutana na Ramaphosa jijini Pretoria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli tarehe 26 Mei, 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, Ikulu Jijini Pretoria. Katika mazungumzo hayo, Rais Magufuli amempongeza Mhe. Rais Ramaphosa kwa kuapishwa...

Saturday, May 25, 2019

Mifumo ya urutubishaji shirikishi wa ardhi inayofanywa na TaCRI

Udongo ni maliasili  ya kipekee ambayo ndio chanzo cha maisha ya viumbe na mimea yote iliyopo ulimwenguni,  udongo una manufaa mengi katika maisha  ya binadamu, wanyama na viumbe wengine. Kwa binadamu  udongo ndio chanzo cha  chakula cha  binadamu...