
Friday, May 31, 2019
Siku ya Kupinga Matumizi ya Tumbaku duniani 2019

Siku ya Kupinga Matumizi ya Tumbaku Duniani 2019 Nchi ambazo
huvuta sigara kwa kiasi kidogo ni Ghana, Ethiopia, Nigeria, Eritrea na Panama. Takribani asilimia 14 ya waafrika huvuta tumbaku kwa mujibu wa WHO, ndogo
kuliko wastani wa dunia wa takriban asilimia 22. China ni...
ANNA DAVID: Maluweluwe yanavyotishia masomo yake
Anna David
Mwanasaikolojia Gary Collins, raisi
wa zamani wa Washauri wa Chama Wakristu cha Marekani, aliulizwa uwezekano
kwamba maluweluwe yalikuwa kwa wafuasi na ndiyo yaliyobadili kwa kiasi kikubwa
tabia yao.
Collins alieleza, “Maluweluwe ni matukio ya mtu...
Thursday, May 30, 2019
MAKTABA YA JAIZMELA: Jonas Savimbi 1934-2002

Jonas Malheiro Savimbi ni moja ya wanasiasa
na Wapigania Uhuru katika moja ya mataifa yaliyopo kusini mwa Afrika yaani
Angola. Aliuawa kinyama Februari 2002 kwa kumiminiwa Risasi na vikosi vya jeshi
la Angola.
Sasa ni miaka 17 mzozo umeibuka baina ya serikali...
Balozi wa Sweden awataka Wanachama wa Klabu za Waandishi wa habari kubuni miradi
Balozi wa Sweden nchini Tanzania Anders Sjoberg amewataka Wanachama wa Klabu za Waandishi wa habari hapa nchini kubuni miradi mikubwa itakayo wainua kiuchumi na kuacha kuendelea kuwategemea wafadhili pekee.
Balozi Sjoberg, aliyasema...
Wednesday, May 29, 2019
Jela mwezi mmoja kwa kutelekeza familia

Mwanaume mmoja mjini Moshi mkoani
Kilimanjaro amehukumiwa jela mwezi mmoja kwa kosa la kuitelekeza familia yake.
Mahakama ya Mwanzo mjini Moshi
imemhukumu kifungo cha mwezi mmoja jela Mokolo Anselim Tengecha (37) kwa kosa
la kuitelekeza familia yake.
Hakimu Mkazi...
MAKTABA YA JAIZMELA: Rais wa 35 wa Marekani John Fitzgerald Kennedy

John
Fitzgerald "Jack" Kennedy alizaliwa Mei 29, 1917 na kuuawa Novemba 22, 1963), alikuwa akijulikana kwa
kifupi kama JFK.
JFK alikuwa mwanasiasa wa Marekani aliyekuwa rais wa 35 wa
Marekani tangu Januari 1961 hadi kuuawa mwezi Novemba...
Sunday, May 26, 2019
Magufuli akutana na Ramaphosa jijini Pretoria

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, John Pombe Magufuli tarehe 26 Mei, 2019 amekutana na kufanya
mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, Ikulu Jijini
Pretoria.
Katika mazungumzo hayo, Rais
Magufuli amempongeza Mhe. Rais Ramaphosa kwa kuapishwa...
Saturday, May 25, 2019
Mifumo ya urutubishaji shirikishi wa ardhi inayofanywa na TaCRI

Udongo ni maliasili ya kipekee ambayo ndio chanzo cha maisha ya
viumbe na mimea yote iliyopo ulimwenguni, udongo una manufaa mengi
katika maisha ya binadamu, wanyama na viumbe wengine.
Kwa binadamu udongo ndio chanzo cha chakula
cha binadamu...