Thursday, March 9, 2017

Once in Life Time, Kiss FM Dar es Salaam


Wafanyakazi wa Redio Kiss FM studio ya Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutembelewa na Madam Sherry Mlope wa Studio za Kiss FM Mwanza Machi 6, 2017 (Picha zote na Johnson Jabir).

Madam Sherry Mlope

Kutoka kushoto Ibrahim Jonathan, Edo Fabian, Bplus, Petro, Felister Henry, Herman Kihwili, King Sempa, Pendo Michael

Abdul Diallo ‘Chief’ (kulia) na Pendo Michael 

Kikao kikiendelea katika ukumbi wa Studio za Kiss FM, Dar es Salaam maeneo ya Morocco, Kinondoni

Madam Sherry Mlope akifuatilia jambo katika kikao hicho.

John Lupokela (wa kwanza kulia) hakuwa nyuma kufuatilia kinachoendelea

Bplus akichangia mchango wake wa mawazo kwenye kikao hicho.

Are they frustrated? Hapana, wanafuatilia 

Abdul Diallo 'Chief'

Stella Joseph (katikati), alikuwa miongoni mwa waliohudhuria kikao hicho 

Ibrahim Jonathan akichangia mchango kwenye kikao hicho

Mbwana Shomari akiwa studio wakati kikao kikiendelea

Kutoka kushoto Ibrahim Jonathan, Edo Fabian, Bplus

Madam Sherry akisisitiza jambo katika kikao hicho.

Abdul Diallo na Madam Sherry
KISS FM SLOGAN

“Sisi tunaanza, Wao wanafuata

0 Comments:

Post a Comment