Thursday, March 2, 2017

Boeing waleta kiwanda Kenya, Afrika Kusini

ILLINOIS, MAREKANI
Boeing 787
Shirika kubwa la kutengeneza ndege la Marekani Boeing limefungua ofisi mpya mjini Johannesburg Afrika Kusini na Nairobi Kenya zitakazoshughulikia biashara zake barani Afrika.
Ofisi ya Johannesburg itaongozwa na Miguel Santos, ambaye ni mkurungezi wa Boeing kwenye kanda ya Afrika ya chini ya Sahara na pia mkurungezi wa mauzo barani Afrika.

Kampuni hilo lilianzishwa miaka 100 iliyopita na William Boeing mzaliwa wa Detroit nchini Marekani. 

0 Comments:

Post a Comment