Friday, July 19, 2024

Unafahamu kuwa Kiti unachokalia ofisini kinaongeza morali ya kufanya kazi?


Shirika la AJISO limetekeleza mradi wa Uraia Wetu unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) kupitia Foundation for Civil Society (FCS) mnamo Julai 17, 2024 baada ya kuendesha Mdahalo uliojumuisha wakurugenzi wa mashirika ya Kanda ya Kaskazini na Viongozi wa serikali kutoka Mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara uliokuwa na malengo ya kuimarisha ushirikiano  katika utendaji kazi ili kuleta maendeleo na kuimarisha utawala bora.

 

0 Comments:

Post a Comment