Thursday, July 18, 2024

Kutumia Takwimu zisizo sahihi ni kosa kisheria

 

Ofisi ya Taifa ya Takwimu inathamini maoni yako kuhusu bidhaa na huduma za kitakwimu na zisizo za takwimu inazozitoa. Maoni yako yatashughulikiwa kwa usiri wa hali ya juu na kutumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa pekee. Tafadhali toa maoni yako kupitia simu, barua pepe, sanduku la maoni, tovuti au kwa kutembelea Makao Mkuu ya NBS na Ofisi zetu za Takwimu za Mikoa zinazopatikana katika kila makao makuu ya mkoa.












0 Comments:

Post a Comment