Monday, July 15, 2024

Jaribio la Donald Trump lina maana gani katika siasa za Marekani?

 

Jumamosi ya Julai 14, 2024 nchini Marekani haikuwa siku njema kwa Rais wa zamani wa Taifa hilo Donald Trump baada ya jaribio ;la kutaka kumwua kushindikana. Risasi moja ilijeruhi sikio la kiongozi huyo alipokuwa jimboni Pennsylvania. 

Je, ni Rais pekee wa Marekani kunusurika kuuawa tangu enzi za ABRAHAM LINCOLN mnamo Aprili 14, 1865...Jibu ni la hasha! Wengine hao ni kina nani?

0 Comments:

Post a Comment