Friday, July 12, 2024

Irmegolik ni nini?

 

Wamaasai ni kabila linalotambulika kama mashujaa wa kuua Simba ili uonekane kidume cha mbegu. 

Kabila ambalo kabla ya kujigeuza kuwa walinzi na wasusi mjini kila mtu alikuwa akiowagopa kutokana na tabia zao za kutembea na fimbo pamoja na sime kiunoni, sana sana Kwa viana wao wa kimorani. 

Sijawahi sikia au kusoma popote pale kama waliwahi kupambana wakati wa ukoloni kama ilivyo kwa baadhi ya makabila mengine mfano, wahehe na Chifu mkwawa wao. 

Hili kabila la Wamasai kuna historia yeyote kweli inayowahusu ya wakati wa ukoloni kama ipo naomba niambiwe ili niwajue vyema.










0 Comments:

Post a Comment