
Tuesday, December 31, 2019
MAKTABA YA JAIZMELA: Mfalme Salman wa Saudia Arabia ni nani?

Desemba
31, 1935 alizaliwa mfalme wa Saudia Arabia na Waziri Mkuu wa taifa hilo la
barani Asia Salman bin Abdulaziz Al Saud.
Pia Mfalme Salman amekuwa mhudumu
mkuu wa misikiti miwili mikubwa ule wa Mecca na Madinna tangu Januari 23, 2015.
Mfalme Salman...
Saturday, December 28, 2019
Asili ya Afro-Cuban Jazz

Muziki wa Afro-Cuban Jazz
ni miongoni mwa mazao ya muziki wa Cuba na pia ni miongoni mwa muziki wa
mwanzoni kabisa katika Latin Jazz.
Tunapozungumza kuhusu Muziki wa Cuba
tunaingiza vyombo vya muziki wenyewe na muundo wa uchezaji wake ukitumia vifaa
vya kipekee...
Wednesday, December 25, 2019
MAKTABA YA JAIZMELA: Muhammad Jinnah ni nani?

Desemba 25, 1876 alizaliwa mwanasheria,
mwanasiasa na mwasisi wa taifa la Pakistan Muhammad Ali Jinnah maarufu
Qaid-i-Azam ikiwa na maana Kiongozi Mkubwa.
Ali Jinnah alizaliwa Karachi,
wakati huo ikiwa India kwa sasa ni Pakistan na Kufariki dunia Septemba 11,
1948.
Alikuwa...
Monday, December 23, 2019
MAKTABA YA JAIZMELA: Akihito ni nani?

Desemba 23, 1933 alizaliwa
mtawala wa kimila wa Japan Akihito ambaye nashika rekodi ya kuwa Mtawala wa 125
wa Japan.
Akihito alichukua madaraka hayo ya kimila Januari 7, 1989 hadi
yalipokoma Aprili 30, 2019 na mtoto wake Prince Naruhito akishika madaraka hayo.
Jina...
Sunday, December 22, 2019
Hamasa katika Mchezo wa Masumbwi
Bondia Ali Baba Ramadhani kutoka mkoa wa Kilimanjaro
Masumbwi
au kwa majina mwengine ndondi au ngumi na kwa majina ya mitaani ndogwa, mawe
n.k. ni mchezo unapoendwa sana na watu wengi. Aidha mchezo huu ni kati ya
michezo inayoogopwa sana duniani.
Mchezo
wa ngumi uko...
Friday, December 20, 2019
TCRA yasisitiza umuhimu wa usajili laini za simu

Mhandisi Imelda Salum; Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania (TCRA) imesema kuwa usajili wa laini za simu kwa alama za vidole ni
muhimu kwasababu unawalinda watumiaji dhidi ya wahalifu wanaotumia...
Wednesday, December 18, 2019
Milioni 500 noti bandia zakamatwa Dar

Jeshi la Polisi Kanda
Maalum ya Dar es salaam limekamata noti bandia kiasi cha zaidi ya shilingi
Milioni 500 na kuwatia nguvuni watu watatu wanaosadikiwa kuwa na kiwanda chenye
mitambo ya kufyatua noti bandia maeneo ya Chanika Mkoani humo.
Noti bandia zilizokamatwa
ni...
Basi la Harambee lafeli breki laparamia magari sita mjini Moshi

ACP Said Hamduni
Zaidi
ya abiria 100 wamenusurika kifo baada ya basi la Kampuni ya Harambee iliyokuwa
inatokea Arusha kufeli breki na kuyaparamia magari sita ya abiria katikati ya
mzunguko wa benki ya CRDB mjini Moshi na kusababisha majeruhi.
Kamishna
Msaidizi...
Monday, December 16, 2019
Wagonjwa wenye VVU/Ukimwi Moshi Vijijini wakimbia matibabu

Wagonjwa wenye maambukizi ya virusi vya ukimwi wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro, wamedaiwa kukimbia kiliniki za dawa katika hospital na vituo vya afya, mara baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa huo, jambo ambalo limepelekea kusuasua kwa utoaji wa huduma ya ufuatiliaji...
Wednesday, December 11, 2019
LATRA: Usafiri wa treni Moshi utamaliza changamoto ya usafiri

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) Gilliard Ngewe, amesema kuwepo kwa usafiri
wa gari Moshi kutaondoa changamoto ya usafiri kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya
Kaskazini ambao wengi wao walikuwa wakijikuta wakipata adha kubwa ya usafiri
hasa inapofika...