Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, December 31, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Mfalme Salman wa Saudia Arabia ni nani?

Desemba 31, 1935 alizaliwa mfalme wa Saudia Arabia na Waziri Mkuu wa taifa hilo la barani Asia Salman bin Abdulaziz Al Saud.  Pia Mfalme Salman amekuwa mhudumu mkuu wa misikiti miwili mikubwa ule wa Mecca na Madinna tangu Januari 23, 2015.  Mfalme Salman...

Saturday, December 28, 2019

Asili ya Afro-Cuban Jazz

Muziki wa Afro-Cuban Jazz ni miongoni mwa mazao ya muziki wa Cuba na pia ni miongoni mwa muziki wa mwanzoni kabisa katika Latin Jazz.  Tunapozungumza kuhusu Muziki wa Cuba tunaingiza vyombo vya muziki wenyewe na muundo wa uchezaji wake ukitumia vifaa vya kipekee...

Wednesday, December 25, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Muhammad Jinnah ni nani?

Desemba 25, 1876 alizaliwa mwanasheria, mwanasiasa na mwasisi wa taifa la Pakistan Muhammad Ali Jinnah maarufu Qaid-i-Azam ikiwa na maana Kiongozi Mkubwa.  Ali Jinnah alizaliwa Karachi, wakati huo ikiwa India kwa sasa ni Pakistan na Kufariki dunia Septemba 11, 1948.  Alikuwa...

Monday, December 23, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Akihito ni nani?

Desemba 23, 1933 alizaliwa mtawala wa kimila wa Japan Akihito ambaye nashika rekodi ya kuwa Mtawala wa 125 wa Japan.  Akihito alichukua madaraka hayo ya kimila Januari 7, 1989 hadi yalipokoma Aprili 30, 2019 na mtoto wake Prince Naruhito akishika madaraka hayo. Jina...

Sunday, December 22, 2019

Hamasa katika Mchezo wa Masumbwi

Bondia Ali Baba Ramadhani kutoka mkoa wa Kilimanjaro Masumbwi au kwa majina mwengine ndondi au ngumi na kwa majina ya mitaani ndogwa, mawe n.k. ni mchezo unapoendwa sana na watu wengi. Aidha mchezo huu ni kati ya michezo inayoogopwa sana duniani. Mchezo wa ngumi uko...

Friday, December 20, 2019

TCRA yasisitiza umuhimu wa usajili laini za simu

Mhandisi Imelda Salum; Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kuwa usajili wa laini za simu kwa alama za vidole ni muhimu kwasababu unawalinda watumiaji dhidi ya wahalifu wanaotumia...

Wednesday, December 18, 2019

Milioni 500 noti bandia zakamatwa Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limekamata noti bandia kiasi cha zaidi ya shilingi Milioni 500 na kuwatia nguvuni watu watatu wanaosadikiwa kuwa na kiwanda chenye mitambo ya kufyatua noti bandia maeneo ya Chanika Mkoani humo. Noti bandia zilizokamatwa ni...

Basi la Harambee lafeli breki laparamia magari sita mjini Moshi

ACP Said Hamduni  Zaidi ya abiria 100 wamenusurika kifo baada ya basi la Kampuni ya Harambee iliyokuwa inatokea Arusha kufeli breki na kuyaparamia magari sita ya abiria katikati ya mzunguko wa benki ya CRDB mjini Moshi na kusababisha majeruhi. Kamishna Msaidizi...

Monday, December 16, 2019

Wagonjwa wenye VVU/Ukimwi Moshi Vijijini wakimbia matibabu

Wagonjwa wenye maambukizi ya virusi vya ukimwi wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro, wamedaiwa kukimbia kiliniki za dawa katika hospital na vituo vya afya, mara baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa huo,  jambo ambalo limepelekea kusuasua kwa utoaji wa huduma ya ufuatiliaji...

Wednesday, December 11, 2019

LATRA: Usafiri wa treni Moshi utamaliza changamoto ya usafiri

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) Gilliard Ngewe, amesema kuwepo kwa usafiri wa gari Moshi kutaondoa changamoto ya usafiri kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya Kaskazini ambao wengi wao walikuwa wakijikuta wakipata adha kubwa ya usafiri hasa inapofika...