Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, March 29, 2023

Bwawa la Samaki kuchimbwa Wilaya ya Moshi 2023/24

Halmashauri ya Wilaya ya Moshi katika bajeti yake ya 2023/2024  imetenga kiasi cha shingi milioni 16 kupitia mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuchimba bwawa la samaki ambalo litatumika kama shamba darasa ili kukabiliana na uvuvi harama kwenye Bwawa la Nyumba ya Mungu.Hayo...

Wagonjwa wa Marburg marufuku kufanya tendo la ndoa

 Baada ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuthibitisha visa vya wagonjwa wa Marburg mkoani Kagera ambako watu  watano kati ya wanane walifariki dunia kutokana na virusi  vya homa ya Marburg, sasa wa imebainika kuwa wagonjwa wa homa hiyo wanapaswa kujizuia...

Monday, March 27, 2023

Rais wa WABA ataka bima kwa mabondia

Bondia wa Tanzania na mfalme wa mbwewe na mashauzi Karim Mandonga akitawazwa mshindi baada ya kumzabua kibabe Mkenya Kenneth Lukyumuzi raia wa Uganda katika pambano lililoandaliwa katika ukumbi wa uwanja wa Kasarani. Mnamo Januari mwaka huu Mandonga Mtu Kazi alimlima Mkenya...

Thursday, March 23, 2023

"Twenzetu Serengeti Kilimanjaro Watumishi wa Royal Tour" yazipeleka taasisi 10 za umma kutalii Serengeti

Watumishi wa taasisi mbalimbali za umma mkoani Kilimanjaro katika picha ya pamoja katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wakijiandaa kuondoka kwenda kufanya utalii wa ndani katika Mbuga ya Serengeti wakibeba kauli mbiu ya "Twenzetu Serengeti Kilimanjaro Watumishi wa Royal Tour" kuunga...

RC BABU: Wataalamu wa Afya simamieni kikamilifu ukusanyaji mapato vituo vya afya

Wataalamu wa Afya mkoa wa Kilimanjaro katika picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa mafunzo kwa Wakurugenzi watendaji wa halmashauri,  Wafamasia, Waratibu wa maabarq, maafisa.manunuzi na Wataalam waTehama, yanayotolewa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...

Wednesday, March 22, 2023

Mahafali ya Kidato cha Sita Wasabato-Hai 2023 yalivyofana, Dk. Subi mgeni rasmi

Vijana wa Kanisa la Waadventista (Wasabato), wametakiwa kuwa wazalendo na waaminifu kwa nchi yao ili kuwa kielelezo kwa jamii inayowazunguka.Wito huo umetolewa na mchungaji Richard  Matoti wa kanisa la waadventisa Wasabato mtaa wa Hai, wakati wa Ibaada maalum ya kuwaombea...

KUELEKEA SIKU YA KIFUA KIKUU MACHI 26: Hospitali ya Kibong’oto kufanya usafi makaburi ya wahanga wa kifua kikuu, kutoa elimu Mererani

Gari tembezi la Hospitali Maalum ya Afya ya Jamii na Magonjwa Ambukizi ya Kibong’oto, ambalo mpaka sasa limewafikia watu 15,000 katika mapambano dhidi ya Kifua Kikuu, ambapo kwa kipindi cha miaka mitano kutoka Mwaka 2017 hadi Juni 2022 iliweza kuwafikia wachimbaji wa madini...

Tuesday, March 21, 2023

Hospitali ya Kibong’oto yawatoa hofu wananchi kusambaa kwa vimelea kutoka maabara ya kisasa

 Mitambo maalum katika maabara mpya ya kisasa katika Hospitali Maalum ya Afya ya Jamii na Magonjwa Ambukizi ya Kibong’oto, Siha mkoani KilimanjaroHospitali Maalum ya Afya ya Jamii na Magonjwa Ambukizi ya Kibong’oto, Siha mkoani Kilimanjaro imewatoa hofu wananchi wanaozunguka...

Thursday, March 16, 2023

NFRA yatoa tani 256 za chakula wilayani Mwanga

Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) imetoa tani 256 za chakula kwa wananchi wa wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, hatua ambayo itasaidia kukabiliana na upungufu wa chakula wilayani humo.Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mwajuma Nasombe,...

Akutwa na vipande 6 vya meno ya Tembo

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja mkazi wa Wilaya ya Same, kwa tuhuma ya kupatikana na vipande sita ya meno ya tembo.Katika taarifa iliyotolewa Machi 14,2023 na Kamishna msaidizi wa Jeshi la Polisi mkoani hapa ACP Simon Maigwa, mbele ya waandishi...

Saturday, March 11, 2023

Miaka 2 ya Rais Samia: Jumuiya ya Wazazi CCM-Hai yampongeza

Baraza la Jumuiya ya Wazazi (WAZAZI) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, kimempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na serikali yake ya awamu ya sita kwa kazi nzuri ambayo imeboresha maisha ya Watanzania wengi ndani ya miaka miwili ya utawala wake.Pongezi...