Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, August 30, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Warren Buffett ni nani?

Agosti 30, 1930 Alizaliwa mwekezaji bilionea Warren Buffet, Omaha Nebraska nchini Marekani. Katika kitabu cha “The Warren Buffet Way” kutoka kwa mwandishi Robert G. Hagstrom kinaelezea maisha ya bilionea Warren Buffett. Mwandishi anatumia kitabu hiki kushirikisha jamii...

Tuesday, August 27, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Lyndon B. Johnson ni nani?

Lyndon B. Johnson alichaguliwa kuwa makamu wa Rais wa 37 wa Marekani mwaka 1960 na alikuja kuwa Rais wa 36 taifa hilo mwaka 1963 baada ya kuuawa kwa Rais John Fitzgerald Kennedy.  Lyndon Johnson alikuwa akifahamika na wananchi wake kama LB . Akiwa kama Rais wa taifa...

Monday, August 26, 2019

Asante Mama wa Kambo

Shamrashamra zilizidi kurindima kwa fujo katika ukumbi maarufu sana wa Wikechi mjini Makambako, hakika maharusi walikuwa wamependeza na utakuwa mchoyo wa kuzaliwa usingewapongeza waliotumia ubunifu wa hali ya juu kuupamba ukumbi ule nao ukapambika. Kila mmoja alitabasamu...

MAKTABA YA JAIZMELA: Edward Lowassa ni nani?

Edward Ngoyayi Lowassa ni mwanasiasa nchini Tanzania. Alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa 10 wa Tanzania  Desemba 30, 2005 na akajiuzulu Februari 7, 2008 kwa kashifa ya Richmond.  Mwaka 2015 alikuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).  Alizaliwa...

Friday, August 23, 2019

Alexei Navalny, mkosoaji mkuu wa Putin aachiwa

Mkosoaji wa serikali ya Urusi, Alexei Navalny ameachiwa huru leo baada ya kutumikia kifungo cha siku 30 jela kwa kupanga maandamano ya upinzani, ambayo yamegeuka kuwa vuguvugu ambalo limeitikisa serikali ya Urusi tangu mwezi uliopita.  Polisi walikuwa nje ya gereza...

UWT yafagilia uwekezaji wa JPM sekta ya Afya

Kaimu mganga mkuu hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mawenzi Josephine akipokea msaada kutoka kwa Makamu Mwenyekiti UWT Taifa Thuwaybah Kisasi  walipotembelea hospitali hiyo. Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa (CCM) Taifa (UWT) Thuwaybah Kisasi, amemshukuru Rais...

Thursday, August 22, 2019

Afisa Utumishi adakwa na TAKUKURU akipokea rushwa ya laki moja

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Kilimanjaro, inamshikilia Afisa Utumishi Mwandamizi wa halmashauri ya Wilaya ya Moshi Julius Kimaro kwa tuhuma za kudai na kupokea rushwa ya shilingi 100,000. Akizungumza na Waandishi wa habari ofisini kwake Mkuu...

Wednesday, August 21, 2019

Mwanamke mchawi akamatwa juu ya paa la Mchungaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia na kumhoji mwanamke Kabula Masunga(41), anayedaiwa kufanya vitendo vya kishirikiana(uchawi) baada mama huyo kukutwa ameganda kwenye paa la nyumba la Mchungaji Jeremia Charles saa 11 alfajiri ya Agosti 18, 2019 akiwa amevalia mavazi...

Tuesday, August 20, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Slobodan Milosevic ni nani?

Slobodan Milosevic alikuwa Rais wa Serbia kuanzia 1989 hadi 2000. Pia Milosevic alikuwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Yugoslavia kutoka 1997 hadi 2000.  Aliongoza Chama cha Kijamaa cha Serbia kutoka msingi wake mnamo 1990 na aliibuka na kuwa Rais wa Serbia wakati ambao...

Monday, August 19, 2019

Afghanistan yaadhimisha miaka 100 ya uhuru wake

Afghanistan inasherehekea miaka 100 ya uhuru wake. Agosti 1919, baada ya vita vya tatu vya Uingereza na Afghanistan na baada ya miaka 60 ya utawala wa Uingereza, nchi hiyo ilitambuliwa kama taifa huru. Wafghanistan wengi hawajihisi kusherehekea. Mmoja wa wasiosherehekea...

Dkt. Mghwira atoa mifuko 100 ya saruji Same

Mkuu wa wilaya ya Same Rosemary Senyamule akikabidhi mifuko ya saruji kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Kiimanjaro Dkt. Anna Mghwira. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Anna Mghwira, ametoa msaada wa mifuko ya saruji 100 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya cha Mtii na ujenzi wa...

Wananchi wamlilia DC Senyamule mikutano ya serikali ya Kijiji

Wananchi wa kijiji cha Mhero Kata ya Chome, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kitendo cha kutoitishwa mikutano ya kijiji mara kwa mara pamoja na kusomewa taarifa za mapato na matumizi ni moja ya sababu kubwa inayokwamisha shughuli za maendeleo katika kijiji...

Thursday, August 15, 2019

MAKTABA YA JAIZMELA: Napoleon Bonaparte ni nani?

Napoleon Bonaparte alikuwa mwanajeshi wa Ufaransa na kiongozi wa kijeshi wa asili ya Italia ambaye aliibuka juu wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa na aliongoza kampeni kadhaa zilizofanikiwa wakati wa Vita vya Mapinduzi vya Ufaransa.  Alikuwa Mtawala wa Mfaransa kama...

Same yapokea msaada wa vitabu vya Sayansi kutoka Uingereza

Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro imepokea shehena ya vitabu vya masomo ya Hisabati, Baiolojia, Chemistry na Fizikia vilivyotolewa na wadau kutoka nchini Uingereza kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma masomo ya Sayansi.  Akizungumza katika hafla ya kupokea...