
Friday, August 30, 2019
MAKTABA YA JAIZMELA: Warren Buffett ni nani?

Agosti 30, 1930 Alizaliwa mwekezaji bilionea Warren
Buffet, Omaha Nebraska nchini Marekani.
Katika kitabu cha “The Warren Buffet Way” kutoka kwa
mwandishi Robert G. Hagstrom kinaelezea maisha ya bilionea Warren Buffett. Mwandishi
anatumia kitabu hiki kushirikisha jamii...
Tuesday, August 27, 2019
MAKTABA YA JAIZMELA: Lyndon B. Johnson ni nani?

Lyndon B. Johnson
alichaguliwa kuwa makamu wa Rais wa 37 wa Marekani mwaka 1960 na alikuja kuwa
Rais wa 36 taifa hilo mwaka 1963 baada ya kuuawa kwa Rais John Fitzgerald
Kennedy.
Lyndon Johnson alikuwa akifahamika na wananchi wake kama LB . Akiwa
kama Rais wa taifa...
Monday, August 26, 2019
Asante Mama wa Kambo
Shamrashamra
zilizidi kurindima kwa fujo katika ukumbi maarufu sana wa Wikechi mjini
Makambako, hakika maharusi walikuwa wamependeza na utakuwa mchoyo wa kuzaliwa
usingewapongeza waliotumia ubunifu wa hali ya juu kuupamba ukumbi ule nao
ukapambika.
Kila
mmoja alitabasamu...
MAKTABA YA JAIZMELA: Edward Lowassa ni nani?

Edward Ngoyayi Lowassa ni
mwanasiasa nchini Tanzania. Alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa 10 wa Tanzania Desemba 30, 2005 na akajiuzulu Februari 7, 2008
kwa kashifa ya Richmond.
Mwaka 2015 alikuwa mgombea urais kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Alizaliwa...
Friday, August 23, 2019
Alexei Navalny, mkosoaji mkuu wa Putin aachiwa

Mkosoaji wa serikali ya
Urusi, Alexei Navalny ameachiwa huru leo baada ya kutumikia kifungo cha siku 30
jela kwa kupanga maandamano ya upinzani, ambayo yamegeuka kuwa vuguvugu ambalo
limeitikisa serikali ya Urusi tangu mwezi uliopita.
Polisi walikuwa nje ya
gereza...
UWT yafagilia uwekezaji wa JPM sekta ya Afya

Kaimu mganga mkuu hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mawenzi Josephine akipokea msaada kutoka kwa Makamu Mwenyekiti UWT Taifa Thuwaybah Kisasi walipotembelea hospitali hiyo.
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa
(CCM) Taifa (UWT) Thuwaybah Kisasi, amemshukuru Rais...
Thursday, August 22, 2019
Afisa Utumishi adakwa na TAKUKURU akipokea rushwa ya laki moja

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) Mkoani Kilimanjaro, inamshikilia Afisa Utumishi Mwandamizi wa
halmashauri ya Wilaya ya Moshi Julius Kimaro kwa tuhuma za kudai na kupokea
rushwa ya shilingi 100,000.
Akizungumza na Waandishi wa habari
ofisini kwake Mkuu...
Wednesday, August 21, 2019
Mwanamke mchawi akamatwa juu ya paa la Mchungaji

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia na kumhoji
mwanamke Kabula Masunga(41), anayedaiwa kufanya vitendo vya
kishirikiana(uchawi) baada mama huyo kukutwa ameganda kwenye paa la nyumba la
Mchungaji Jeremia Charles saa 11 alfajiri ya Agosti 18, 2019 akiwa amevalia
mavazi...
Tuesday, August 20, 2019
MAKTABA YA JAIZMELA: Slobodan Milosevic ni nani?

Slobodan Milosevic alikuwa
Rais wa Serbia kuanzia 1989 hadi 2000. Pia Milosevic alikuwa Rais wa Jamhuri ya
Shirikisho la Yugoslavia kutoka 1997 hadi 2000.
Aliongoza Chama cha Kijamaa cha
Serbia kutoka msingi wake mnamo 1990 na aliibuka na kuwa Rais wa Serbia wakati
ambao...
Monday, August 19, 2019
Afghanistan yaadhimisha miaka 100 ya uhuru wake

Afghanistan
inasherehekea miaka 100 ya uhuru wake. Agosti 1919, baada ya vita vya tatu vya
Uingereza na Afghanistan na baada ya miaka 60 ya utawala wa Uingereza, nchi
hiyo ilitambuliwa kama taifa huru.
Wafghanistan wengi
hawajihisi kusherehekea. Mmoja wa wasiosherehekea...
Dkt. Mghwira atoa mifuko 100 ya saruji Same

Mkuu wa wilaya ya Same Rosemary Senyamule akikabidhi mifuko ya saruji kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Kiimanjaro Dkt. Anna Mghwira.
Mkuu wa mkoa wa
Kilimanjaro Dkt. Anna Mghwira, ametoa msaada wa mifuko ya saruji 100 kwa ajili
ya ujenzi wa kituo cha afya cha Mtii na ujenzi wa...
Wananchi wamlilia DC Senyamule mikutano ya serikali ya Kijiji

Wananchi wa kijiji cha Mhero Kata ya Chome, Wilaya ya Same
mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kitendo cha kutoitishwa mikutano ya kijiji
mara kwa mara pamoja na kusomewa taarifa za mapato na matumizi ni moja ya
sababu kubwa inayokwamisha shughuli za maendeleo katika kijiji...
Thursday, August 15, 2019
MAKTABA YA JAIZMELA: Napoleon Bonaparte ni nani?

Napoleon Bonaparte alikuwa
mwanajeshi wa Ufaransa na kiongozi wa kijeshi wa asili ya Italia ambaye
aliibuka juu wakati wa Mapinduzi ya Ufaransa na aliongoza kampeni kadhaa
zilizofanikiwa wakati wa Vita vya Mapinduzi vya Ufaransa.
Alikuwa Mtawala wa
Mfaransa kama...
Same yapokea msaada wa vitabu vya Sayansi kutoka Uingereza

Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro imepokea shehena ya vitabu vya
masomo ya Hisabati, Baiolojia, Chemistry na Fizikia vilivyotolewa
na wadau kutoka nchini Uingereza kwa ajili ya wanafunzi wanaosoma
masomo ya Sayansi.
Akizungumza katika
hafla ya kupokea...