
Wednesday, November 29, 2023
Kaburi lafukuliwa lakutwa na Sanda nyeusi, Nazi Tatu na Yai Viza

Wananchi wa Mtaa wa Mafuriko, iliyopo Kata ya Mzizima Mkoani Tanga wamepata taharuki baada ya kusambaa kwa taarifa za uwepo wa kaburi la Mwanamke mmoja mwenye asili ya kiarabu aliyeuawa na kuzikwa kwenye eneo la Mwekezaji kitendo kilichopelekea Serikali kuamua kufukua...
Monday, November 27, 2023
TUGHE yataka wafanyakazi wachunguzwe Afya ya Akili kabla ya kupewa adhabu wanapokosa

Mkurugenzi wa Utawala na Meneja Rasilimali watu Wizara ya Mambo ya Ndani Miriam Mbaga akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Jeshi la Uhamiaji katika kikao cha Utekelezaji kilichofanyika Novemba 27, 2023 kwenye Chuo cha Kikanda cha Uhamiaji Tanzania (TRITA) mjini...
Sunday, November 26, 2023
Umejiandikisha Uru Fun Run 2023?

Zoezi la kukimbia ndio linashika namba moja duniani kwa kuleta matokeo makubwa kwa afya ya mwili. Ndio maana wakimbiaji wa wanaishi maisha marefu zaidi kwani wanaepukana na unene uliokithiri.Jicho la kitabibu linatazama zaidi faida za kiafya za mashindano haya ikiwamo...
Miradi iliyopo Msomera mbioni kukamilika

Makatibu Wakuu wakipokea taarifa kuhusu ujenzi wa shule ya sekondari inayojengwa katika Kijiji cha Msomera wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi nyumba na miundo mbinu ya kuhamisha wananchi wanaotoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda katika KIjiji...
Friday, November 24, 2023
Thursday, November 23, 2023
TRITA kuongoza wadau Uhamiaji kuzuru Arusha National Park

Chuo cha Uhamiaji cha Kikanda Tanzania(TRITA) kilichopo Moshi mjini Mkoa wa Kilimanjaro, kinatarajiwa kuongoza ujumbe wa Wadau wa Uhamiaji nchini kuzuru Hifadhi ya Taifa Arusha, ikiwa ni madhumuni ya kuunga mkono juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutangaza vivutio mbalimbali...
Uru Fun Run 10K, 5K kufanyika Desemba 30

Mbio za Kilometa tano, na kumi za Uru Fun zinatarajiwa kufanyika Moshi
Vijijini mnamo Desemba 30 mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kufunga mwaka 2023.
Akizungumza na JAIZMELA Diwani wa Kata ya Uru Kusini Wilhad
Kitari alisema maandalizi yanaendelea.
“Tuko kwenye maandalizi...
Huduma za Uhamiaji zinavyoweza kukuza uchumi wa Tanzania

Idara ya Huduma za Uhamiaji imeanzishwa chini
ya Kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Uhamiaji ya mwaka 1995 Sura ya 54
iliyorekebishwa na Sheria Na. 8 ya mwaka 2015.
Kifungu hicho kinaipa Idara mamlaka ya
kudhibiti na kuwezesha masuala ya uhamiaji katika Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania....
Wednesday, November 22, 2023
Warsha ya Wadau wa Uhamiaji Tanzania wafanyika Moshi, Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani afungua

Jeshi la Uhamiaji na wadau wa Uhamiaji
wametakiwa kusimamia mahusiano mazuri ya Kidiplomasia katika utoaji wa Huduma
za Uhamiaji kwa manufaa ya kiuchumi na Taifa kwa ujumla.
Akizungumza katika ufunguzi wa Warsha ya
siku mbili ya masuala ya usimamizi wa Uhamiaji nchini...
Tuesday, November 21, 2023
Mutatembwa ahimiza uzalishaji Bora wa vipi vya TV kuhusu Utalii

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Bw. Anderson Mutatembwa amewahimiza wenye dhamana ya uzalishaji wa vipindi kuzingatia viwango vya kimataifa katika vipindi vinavyoandaliwa ili malengo ya uanzishwaji yatimieNaibu Katibu Mkuu...
Monday, November 20, 2023
PICHA: Mahafali ya 26 Chuo cha Viwanda vya Misitu Moshi
Chuo cha Viwanda vya Misitu (FITI) ni taasisi ya Serikali chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii(WMU). Chuo hiki kinapatika mtaa wa Viwanda, Kata ya Njoro Manispaa Moshi Kilomita 3 kutoka stendi kuu ya mabasi ya Moshi Mjini.KOZI ZITOLEWAZO
(a) Astashahada ya awali...
Magogo kupigwa 'STOP' kusafirishwa nje ya nchi

Wizara
ya Maliasili na Utalii imesema inaendelea na mpango kazi wa kupunguza
usafirishaji wa magogo nje ya nchi ikiwa
ni mkakati wa kupunguza bidhaa ghafi za mazao ya misitu na kuongeza uwekezaji
wa ndani.
Katika
ujumbe wake Katibu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt....