
Sunday, February 26, 2023
Nestory Njatile Mwangoka na Kili Marathon 2023

Mzee Nestory Mwangoka akiwa mjini Moshi baada ya kushiriki mbio za Kili Marathon 2023 kilometa 21 akitumia dakika 100 kumaliza. (Picha zote na Kija Elias)Meneja wa Shirika la Posta Mkoa wa Kilimanjaro Deodatus Ako akimpongeza Mzee Mwangoka baada ya kufika ofisini hapo alipoanzia...
Tuesday, February 21, 2023
Afisa Tarafa Moshi Magharibi kikwazo upanuzi wa barabara ya Mwembeni

Miti inayozuia utoaji wa kibali cha upanuzi wa barabaraya Longuo B,Moshi IMEELEZWA
Afisa Tarafa Moshi Magharibi, Moshi mkoani hapa ni kikwazo cha upanuzi wa barabara
baada ya kudaiwa kuomba rushwa ya miti ili kitolewe kibali cha ukataji wa miti
hiyo kupisha ujenzi wa barabara.
Hayo
yanajiri...
Friday, February 17, 2023
Wakazi wa Njiapanda-Moshi waepukana na adha ya maji, MUWSA yakamilisha

Mbunge anayewawakilisha Wanawake Mkoa wa Kilimanjaro Esther Maleko akinywa maji safi na salama baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira
(MUWSA) kukamilisha mradi huo kwa wakazi wa Njiapanda, Moshi Vijijini ambao utawahudumia takribani wakazi 14,000.
...
Thursday, February 16, 2023
Mbunge Esther Maleko achangia mil. 1.6 ununuzi wa madawati Ashira Secondary

Mbunge wa Mkoa wa Kilimanjaro anayewakilisha Wanawake,
Esther Maleko, akizungumza jambo wakati wa ukaguzi wa wa miradi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Moshi Vijijini inayotekelezwa na serikali ya Awamu ya Sita.Katika kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha
sekta...
Wednesday, February 15, 2023
Bilionea Najafi aitaka Tottenham kwa Tril. 8.75

Bilionea mwenye asili ya Kimarekani raia wa Iran Jahm Najafi
ameripotiwa kuitaka klabu ya Tottenham kwa kitita cha pauni bil. 3.1 sawa na Trilioni 8.8 za TanzaniaGazeti la
Financial Times limeripoti kuwa Najafi ambaye ni Mwenyekiti wa MSP Sports
Capital yupo mbioni kuweka...
MAKTABA YA JAIZMELA: Zao la Miwa lilianzia wapi?

Mwandishi wa vitabu wa Ufaransa Charles de Brosses (1707-1777) analitaja kwa mara ya kwanza eneo la Kusini mwa Bahari ya Pasifiki kama Polynesia, ikiwa na maana ya eneo linaloundwa na visiwa 1,000.De Brosses katika kitabu chake cha “Histoire des navigations aux terres australes,...
Monday, February 13, 2023
Maboresho yanatakiwa vivutio vya utalii Moshi DC

Madiwani wa Halmashauri ya Moshi katika picha ya pamoja kwenye Maporomoko ya Materuni Vivutio vya
utalii vinavyopatikana Halmashauri ya wilaya ya Moshi mkoa wa Kilimanjro
vimetakiwa kuboreshwa zaidi hususan kwenye miundombinu ya barabara za kuelekea
kwenye vivutio...
TPC/FTK zatumia bil. 1.3 kuboresha shughuli za maendeleo Moshi DC

Kampuni
ya kuzalisha sukari ya TPC Limited ya mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, kwa
kushirikiana na Shirika lisilo la kiserikali kutoka Uholanzi FT Kilimanjaro
(FTK) inatumia zaidi ya shilingi Bilioni 1.3 kila mwaka katika kusaidia
mchakato wa maendeleo ya jamii, ikiwa ni pamoja...