Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Sunday, February 26, 2023

Nestory Njatile Mwangoka na Kili Marathon 2023

Mzee Nestory Mwangoka akiwa mjini Moshi baada ya kushiriki mbio za Kili Marathon 2023 kilometa 21 akitumia dakika 100 kumaliza. (Picha zote na Kija Elias)Meneja wa Shirika la Posta Mkoa wa Kilimanjaro Deodatus Ako akimpongeza Mzee Mwangoka baada ya kufika ofisini hapo alipoanzia...

Tuesday, February 21, 2023

Afisa Tarafa Moshi Magharibi kikwazo upanuzi wa barabara ya Mwembeni

Miti inayozuia utoaji wa kibali cha upanuzi wa barabaraya Longuo B,Moshi IMEELEZWA Afisa Tarafa Moshi Magharibi, Moshi mkoani hapa ni kikwazo cha upanuzi wa barabara baada ya kudaiwa kuomba rushwa ya miti ili kitolewe kibali cha ukataji wa miti hiyo kupisha ujenzi wa barabara. Hayo yanajiri...

Friday, February 17, 2023

Wakazi wa Njiapanda-Moshi waepukana na adha ya maji, MUWSA yakamilisha

 Mbunge anayewawakilisha Wanawake Mkoa wa Kilimanjaro Esther Maleko  akinywa maji safi na salama baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa  Mazingira (MUWSA) kukamilisha mradi huo kwa wakazi wa Njiapanda, Moshi Vijijini ambao utawahudumia takribani wakazi 14,000. ...

Thursday, February 16, 2023

Mbunge Esther Maleko achangia mil. 1.6 ununuzi wa madawati Ashira Secondary

Mbunge wa Mkoa wa Kilimanjaro anayewakilisha Wanawake, Esther Maleko, akizungumza jambo wakati wa ukaguzi wa wa miradi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Moshi Vijijini inayotekelezwa na serikali ya Awamu ya Sita.Katika kuunga mkono juhudi za Serikali  katika kuboresha sekta...

Wednesday, February 15, 2023

Bilionea Najafi aitaka Tottenham kwa Tril. 8.75

 Bilionea mwenye asili ya Kimarekani raia wa Iran Jahm Najafi ameripotiwa kuitaka klabu ya Tottenham kwa kitita cha pauni bil. 3.1 sawa na Trilioni 8.8 za TanzaniaGazeti la Financial Times limeripoti kuwa Najafi ambaye ni Mwenyekiti wa MSP Sports Capital yupo mbioni kuweka...

MAKTABA YA JAIZMELA: Zao la Miwa lilianzia wapi?

Mwandishi wa vitabu wa Ufaransa Charles de Brosses (1707-1777) analitaja kwa mara ya kwanza eneo la Kusini mwa Bahari ya Pasifiki kama Polynesia, ikiwa na maana ya eneo linaloundwa na visiwa 1,000.De Brosses katika kitabu chake cha “Histoire des navigations aux terres australes,...

Monday, February 13, 2023

Maboresho yanatakiwa vivutio vya utalii Moshi DC

 Madiwani wa Halmashauri ya Moshi katika picha ya pamoja kwenye Maporomoko ya Materuni Vivutio vya utalii vinavyopatikana Halmashauri ya wilaya ya Moshi mkoa wa Kilimanjro vimetakiwa kuboreshwa zaidi hususan kwenye miundombinu ya barabara za kuelekea kwenye vivutio...

TPC/FTK zatumia bil. 1.3 kuboresha shughuli za maendeleo Moshi DC

Kampuni ya kuzalisha sukari ya TPC Limited ya mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, kwa kushirikiana na Shirika lisilo la kiserikali kutoka Uholanzi FT Kilimanjaro (FTK) inatumia zaidi ya shilingi Bilioni 1.3 kila mwaka katika kusaidia mchakato wa maendeleo ya jamii, ikiwa ni pamoja...