Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Thursday, October 29, 2020

SIKU YA MIJI: Ujenzi holela unavyoathiri Ukuaji wa Miji

 Mkusanyiko wa makazi ya watu, shule, hospitali, ofisi, maduka, viwanda n.k. ulio mkubwa kuliko ule wa kijiji huitwa Mji. Mji ukizidi kukua unakuja kuitwa pia jiji. Miji ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi. Nchini Tanzania miji inakua kwa kasi. Hivyo, ili dhamira...

SIKU YA INTANETI: Intaneti itumike kujenga Tanzania ya Viwanda

Mnamo mwaka 2019 Bunge la taifa la Urusi maarufu Duma lilipitisha mswada ambao ulidhamiria taifa hilo kuwa mfumo wake pekee wa mtandao wa intaneti ambao utalifanya taifa hilo kutotegemea intaneti inayotumika duniani. Muswada huo ambao ulipitishwa kwa kura nyingi za wabunge...

Tuesday, October 27, 2020

MAKTABA YA JAIZMELA: Ifahamu historia ya Taliban

TALIBAN maana yake ni Wanafunzi au jina jingine katika ardhi ya Afghanistan wanafahamika kama Pashto. Kundi hili la Taliban lina mrengo wa kisiasa za kihafidhina na kidini ambalo liliibuka katikati ya miaka ya 1990 baada ya majeshi ya Kisovieti kujiondoa katika ardhi ya Afghanistan.Kujiondoa...

Oktoba 27: Siku ya Paka Mweusi

KATIKA jamii nyingi duniani kumekuwa na tafsiri mbalimbali kuhusu Paka Weusi, kila anapoonekana paka mweusi jamii hizo hushistushwa na uwepo wa viumbe hao.Mnamo mwaka 2018 nchini Kenya wakati shughuli za bunge la nchi hiyo zikiendelea, ghafla zilisimama kwa muda kufuatia kuingia...

Miaka 75 ya UN na mabadiliko Tabianchi

 Katibu wa Umoja wa Mataifa (UN) Antonio Guterres aliyeshika nafasi hiyo kutoka mwaka 2017 hadi sasa. Guterres alipokea mikoba kutoka kwa Ban Kimoon.Mnamo mwaka 1945, mataifa yalikuwa magofu. Vita vya pili vya dunia  vilikwisha na ulimwengu ulihitaji amani. Mataifa...

Thursday, October 8, 2020

Ku-beti kunatupeleka wapi?-4

 RIPOTI ya Chama cha Michezo ya Kubahatisha cha Marekani (AGA) mnamo mwaka 2017 kilikadiria kuwa kubeti kulikuwa kukiingiza mapato katika taifa hilo kati ya kiasi cha dola za Kimarekani bilioni 100 na 400 kwa mwaka. Mwanahistoria wa Ufaransa Georges Vigarello anasema wakati...

Unaadhimishaje siku ya Pweza?

Kuna methali isemayo, Choko mchokoe pweza, binadamu hutomuweza. Hii ni miongoni mwa methali za Kiswahili ambazo zinamtaja pweza.  Tafsiri sahihi ya methali hii ni epukana na mtu ambaye huenda akaleta matatizo kwani mpiga ngumi ukuta huumiza mkonowe au mpiga mbizi nchi kavu...

Monday, October 5, 2020

Jamii isiwatwishe mzigo walimu

 Oktoba 5 kila mwaka ni siku ya Walimu duniani. Maadhimisho haya hufanywa kwa ajili ya kutambua mchango wa mwalimu katika jamii. Mwalimu ni kutoka neno la Kiarabu; kwa Kiingereza teacher, school teacher na pengine educator) huyu ni mtu anayesaidia wengine kupata ujuzi, maarifa...

Unaifahamu historia ya Familia yako?

 Familia ni kikundi cha watu wanaokaa pamoja kama baba, mama na watoto. Kikundi hicho mara yingi ni sehemu ya kundi kubwa zaidi la ukoo unaounganisha watu wenye asili katika uzazi wa pamoja. Aina za familia zinatofautiana duniani kutokana na utamaduni na hali ya jamii....

Thursday, October 1, 2020

Ku-beti kunatupeleka wapi?-3

REKODI ya kwanza katika Michezo ya Kubahatisha au kubeti kama ambavyo tunaita siku za leo inaonesha ni zaidi ya miaka 2,000 iliyopita watu walikuwa wakifanya. Wagiriki walikuwa ni wapenzi wa michezo na hii ndio sababu ya kuanzisha michezo ya Olimpiki ambayo dunia inaicheza na...