Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, March 22, 2017

Shahidi Na. 6 Kesi ya Scorpion: Huyu ni raia mwema

DAR ES SALAAM Salum Njwete (kushoto) akitolewa mahabusu Machi 22, 2017 Kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu Scorpion imeendelea tena leo katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa shahidi wa sita kutoa ushahidi wake. Shahidi huyu ambaye ni Meneja wa Baa ya Kimboka ya Buguruni...

Phonia Bundala , Bplus, Felister Henry in Star TV

Watangazaji wa Sahara Media Group Phonia Bundala, BPlus na Felister Henry...

Kituko cha Mjasiriamali huyu

Hatukatai kuwa mjasiriamali lakini katika kila jambo lina kiasi. Hata kama maisha yanakwenda kombo ni vema kutumia utashi ili kuepukana na usumbufu usiotarajiwa. Pichani mjasiriamali akiiuza maji na juisi zake katika barabara ya mwendo wa haraka (UDART) maeneo ya mataa ya...

Tuesday, March 21, 2017

Polepole: Tunamlia ‘Timing’

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akisoma magazeti muda mfupi kabla ya mahojiano maalum na RFA  WITO umetolewa kwa wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwa wasipozingatia maadili ya chama hicho watakuwa kwenye wakati mgumu kuwahi kutokea...

Wednesday, March 15, 2017

Kortini kwa makosa ya mtandao

NA MWANDISHI WETU Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam Washtakiwa saba wa makosa ya Mtandao kutoka nchi za Pakistan na Sri lanka wamefikishwa mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kujibu mashtaka saba yanayowakabili. Wamesomewa mashtaka yao kwa mara ya kwanza ambapo hawakutakiwa...

Monday, March 13, 2017

Uzalishaji tumbaku washuka Chunya

NA MWANDISHI WETU Shamba la Tumbaku nchini Tanzania UZALISHAJI wa zao la Tumbaku kwa wakulima Wilaya ya Chunya (CHUTCU), mkoani Mbeya umeshuka katika misimu mitatu mfululizo kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kuporomoka kwa bei ya zao hilo katika soko la dunia.                   ...

Friday, March 10, 2017

Agatha Kisimba, presenter STAR TV

Ungependa siku moja uwe kama Agatha Kisimba? Agatha Kisimba akitangaza Machi 9, 2017 Agatha Kisimba ni nani? Huyu ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa Star TV ambaye mara nyingi utaweza kumuona katika usomaji wa magazeti kupitia kituo hicho mahiri cha runinga nchini...

TANESCO kuendesha operesheni 'Kata Umeme'

NA MWANDISHI WETU Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) limetoa notisi ya siku 14 kwa wadaiwa wa Bili za Umeme na baada ya hapo wataendesha zoezi la ukataji wa umeme nchi nzima huku Wizara na Taasisi za Serikali zikidaiwa shilingi Bilioni 52,Makampuni  Binafsi na wateja...

Thursday, March 9, 2017

Once in Life Time, Kiss FM Dar es Salaam

Wafanyakazi wa Redio Kiss FM studio ya Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutembelewa na Madam Sherry Mlope wa Studio za Kiss FM Mwanza Machi 6, 2017 (Picha zote na Johnson Jabir). Madam Sherry Mlope Kutoka kushoto Ibrahim Jonathan, Edo Fabian, Bplus,...

Monday, March 6, 2017

Hospitali ya Taifa Muhimbili na changamoto zake

NA MWANDISHI WETU Mkurugenzi wa Tiba wa MNH, Dkt. Hedwiga Swai akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani), kushoto ni Mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji Dkt. Julieth Magandi Imeelezwa upungufu wa rasilimali watu katika maeneo ya ubobezi na ubingwa...

Friday, March 3, 2017

Godbless Lema aachiwa kwa dhamana leo

NA MWANDISHI WETU Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo imemuachia kwa dhamana Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema. Awali mahakama hiyo ilimtaka mbunge huyo kuwa na wadhamini wawili na Shilingi Milioni tatu akini ikafanya marekebisho kwa kumtaka...

Thursday, March 2, 2017

Sober House Zanzibar kupekuliwa

NA SHARIFA SULEIMAN Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar   imezitaka  taasisi  husika kuzifanyia utafiti Soba House  zote ili kubaini kama zinajihusisha na kuingiza dawa za kulevya visiwani humo kinyume na malengo ya uanzishwaji...

Boeing waleta kiwanda Kenya, Afrika Kusini

ILLINOIS, MAREKANI Boeing 787 Shirika kubwa la kutengeneza ndege la Marekani Boeing limefungua ofisi mpya mjini Johannesburg Afrika Kusini na Nairobi Kenya zitakazoshughulikia biashara zake barani Afrika. Ofisi ya Johannesburg itaongozwa na Miguel Santos, ambaye ni mkurungezi...