Wednesday, March 22, 2017
Shahidi Na. 6 Kesi ya Scorpion: Huyu ni raia mwema
DAR ES SALAAM
Salum Njwete (kushoto) akitolewa mahabusu Machi 22, 2017
Kesi inayomkabili
Salum Njwete maarufu Scorpion imeendelea tena leo katika Mahakama ya Wilaya ya
Ilala kwa shahidi wa sita kutoa ushahidi wake.
Shahidi huyu ambaye ni
Meneja wa Baa ya Kimboka ya Buguruni...
Phonia Bundala , Bplus, Felister Henry in Star TV
Watangazaji wa Sahara Media Group Phonia Bundala, BPlus na Felister Henry...
Kituko cha Mjasiriamali huyu
Hatukatai
kuwa mjasiriamali lakini katika kila jambo lina kiasi. Hata kama maisha
yanakwenda kombo ni vema kutumia utashi ili kuepukana na usumbufu usiotarajiwa.
Pichani mjasiriamali akiiuza maji na juisi zake katika barabara ya mwendo wa
haraka (UDART) maeneo ya mataa ya...
Tuesday, March 21, 2017
Polepole: Tunamlia ‘Timing’
Katibu
wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akisoma magazeti muda mfupi kabla ya mahojiano maalum na RFA
WITO umetolewa kwa wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwa wasipozingatia maadili ya chama hicho watakuwa kwenye wakati mgumu kuwahi kutokea...
Wednesday, March 15, 2017
Kortini kwa makosa ya mtandao

NA MWANDISHI WETU
Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam
Washtakiwa saba wa makosa ya Mtandao kutoka nchi za Pakistan na Sri lanka wamefikishwa mahakama ya
hakimu mkazi Kisutu kujibu mashtaka saba yanayowakabili.
Wamesomewa mashtaka yao
kwa mara ya kwanza ambapo hawakutakiwa...
Monday, March 13, 2017
Uzalishaji tumbaku washuka Chunya

NA MWANDISHI WETU
Shamba la Tumbaku nchini Tanzania
UZALISHAJI wa zao la Tumbaku kwa wakulima Wilaya ya Chunya (CHUTCU), mkoani
Mbeya umeshuka katika misimu mitatu mfululizo kwa kile kinachodaiwa kuwa ni
kuporomoka kwa bei ya zao hilo
katika soko la dunia.
...
Friday, March 10, 2017
Agatha Kisimba, presenter STAR TV
Ungependa siku moja uwe kama
Agatha Kisimba?
Agatha Kisimba akitangaza Machi 9, 2017
Agatha Kisimba ni nani? Huyu ni mwandishi wa
habari na mtangazaji wa Star TV ambaye mara nyingi utaweza kumuona katika
usomaji wa magazeti kupitia kituo hicho mahiri cha runinga nchini...
TANESCO kuendesha operesheni 'Kata Umeme'

NA
MWANDISHI WETU
Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) limetoa notisi
ya siku 14 kwa wadaiwa wa Bili za Umeme na baada ya hapo wataendesha zoezi la
ukataji wa umeme nchi nzima huku Wizara na Taasisi za Serikali zikidaiwa
shilingi Bilioni 52,Makampuni Binafsi na
wateja...
Thursday, March 9, 2017
Once in Life Time, Kiss FM Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Redio Kiss FM studio ya Dar es
Salaam wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutembelewa na Madam Sherry Mlope
wa Studio za Kiss FM Mwanza Machi 6, 2017 (Picha zote na Johnson Jabir).
Madam Sherry Mlope
Kutoka kushoto Ibrahim Jonathan, Edo Fabian,
Bplus,...
Monday, March 6, 2017
Hospitali ya Taifa Muhimbili na changamoto zake
NA MWANDISHI WETU
Mkurugenzi wa Tiba wa MNH, Dkt. Hedwiga Swai akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani), kushoto ni Mkurugenzi wa Huduma za Upasuaji Dkt. Julieth Magandi
Imeelezwa
upungufu wa rasilimali watu katika maeneo ya ubobezi na ubingwa...
Friday, March 3, 2017
Godbless Lema aachiwa kwa dhamana leo

NA
MWANDISHI WETU
Godbless Lema, Mbunge wa Arusha Mjini
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo imemuachia kwa
dhamana Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema.
Awali mahakama hiyo ilimtaka mbunge huyo kuwa na
wadhamini wawili na Shilingi Milioni tatu akini ikafanya marekebisho kwa
kumtaka...
Thursday, March 2, 2017
Sober House Zanzibar kupekuliwa

NA SHARIFA SULEIMAN
Serikali
ya Mapinduzi ya Zanzibar imezitaka taasisi husika kuzifanyia utafiti Soba House zote ili kubaini kama
zinajihusisha na kuingiza dawa za kulevya visiwani humo kinyume na malengo ya
uanzishwaji...
Boeing waleta kiwanda Kenya, Afrika Kusini

ILLINOIS, MAREKANI
Boeing 787
Shirika kubwa la kutengeneza ndege la Marekani
Boeing limefungua ofisi mpya mjini Johannesburg Afrika Kusini na Nairobi Kenya
zitakazoshughulikia biashara zake barani Afrika.
Ofisi ya Johannesburg
itaongozwa na Miguel Santos, ambaye ni mkurungezi...