Friday, August 9, 2024

Mchungaji aliyefariki kwa ajali Kimashuku Moshi kuzikwa leo

Aliyekuwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kimashuku Kantante Munisi (42) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro anatarajia kuzikwa hii leo na umati wa watu waliokusanyika kwa ajili ya kumsindikiza marehemu huyo, kijijini kwao Kisamo, Moshi Vijijini

Mchungaji Kantante alifariki Dunia kwa ajali ya basi  siku chache zilizopita baada gari la abiria Kampuni ya Shabiby T 142 EGM kuacha njia na kulifuata gari la Mchungaji huyo wakati akienda kanisa kuhudumu

Ibada ya maziko inaendelea katika Usharika wa kanisa la Kisamo, Moshi Vijijini.






0 Comments:

Post a Comment