Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, April 19, 2023

Moshi DC yaipongeza AKO Tanzania Community Support

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi DC akifunua mfuniko wa mojawapo ya Sufuria la chakula kwa ajili ya watoto wa shule ya msingi Sungu wakati wa ziara ya kukagua ukarabati wa shule hiyo kwa hisani ya Ako Community Tanzania Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi Moris Makoi...

PICHA: Ziara ya Mwenyekiti wa Halmashauri Moshi, kujionea Program ya Ako Tanzania Community Support

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi DC Moris Makoi akizungumza jambo kwa waandishi wa habari katika Shule ya Msingi  Uchau- Kibosho Mashariki alipotembelea programu ya Ako Tanzania Community Support kwa ushirikiano na Ako Community Support ya Ujerumani. (Picha zote...

Thursday, April 13, 2023

Mfumo wa Mageuzi ya Kimfumo na Usimamizi unavyoinufaisha KCBL

Meneja Mkuu wa (KCBL) Godfrey Ng’ura, akizungumza mbele ya waandishi wa habari kuhusu mageuzi ya kimfumo na usimamizi unavyoinufaisha benki hiyo kuelekea kuwa Benki ya Taifa ya Ushirika ifikapo Juni 2023 (Picha zote na Johnson  Jabir/JAIZMELA Blog)Benki ya Ushirika ...

Tuesday, April 11, 2023

Askofu Makundi wa IGMT aunga mkono juhudi za Tanzania kupinga mapenzi ya jinsia moja

 Askofu mteule wa Kanisa la ITINERANT GOSPEL MINISTRIES (IGMT) Joshua MakundiWatanzania wametakiwa kuendelea kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan, katika mapambano dhidi ya mmomonyoko wa maadili katika jamii.  Mkuu wa Makanisa ya Kipentekoste Miracle Gospel...