
Tuesday, January 31, 2023
Mwalimu Nyerere: Shule ni Kiwanda au Shamba

"Shule ni mahali pa kujifunza, hatutaki kubadili wazo hili, Haifai shule iwe kiwanda au shamba. Lakini lazima shule iwe kiwanda au shamba. Lakini ni lazima tuone kuwa kazi katika kiwanda cha shule au katika shamba la shule ni jambo la kawaida katika shughuli za kujifunza...
Saturday, January 28, 2023
Simba fans trust new appointed CEO Imani Kajula

Imani Kajula, new CEO of Simba SCTrust
is of utmost importance and an integral part of happy and fulfilling
relationships, for both professional as well as personal relationships. Without
trust, relationships are like a life without oxygen. You will feel suffocated
and...
UWT Moshi vijijini yajitayarisha kujenga Chuo cha Ushonaji

Jumuiya ya Umoja wa
Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Moshi Vijini imekusudia kujenga Chuo cha
Ushonaji ili kuwawezesha wanafunzi walioshindwa kuendelea na masomo ya elimu ya
juu ili waweze kujiimarisha kiuchumi.
Hayo yalisemwa Januari
27,2023 na Mwenyekiti wa Jumuiya...
Polisi, DC Mwaipaya wafanya usafi kituo cha Afya Mwirange-Mwanga

Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Watumishi wa kituo cha afya
Mwirange, Januari 28,2023 wameshiriki zoezi la usafi wa mazingira katika baadhi
ya maeneo yanayozunguka kituo hicho cha afya ikiwa ni sehemu ya
kuimarisha mahusiano baina yao na wananchi ili kukabiliana...
Tuesday, January 24, 2023
PICHA: Namna Chifu Mwariko alivyopumzishwa katika makaburi ya Manyema mjini Moshi

CHIFU ATHUMAN Omary MWARIKO “Mhelamwa” :Huyu ni yule
aliomba noti ya Tanzania ichapishwe picha ya Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John
Pombe Magufuli, pia ndiye huyu aliomba mlima Kilimanjaro ufunikwe pazia, ndiye
huyu aliandaa kinyago na kumpelekea Rais wa Urusi Vladmir Putin kwa...
Chifu Mwariko is no more
Chifu Athuman Mwariko enzi za uhai wakeMwili wa marehemu Chifu Mwariko ukiwa katika jeneza kuelekea makaburini Manyema, Moshi MjiniMkurugenzi wa
Taasisi ya Sanaa ya Kilimanjaro Cultural Heritage Centre ya mkoani Kilimanjaro, Chifu Athuman
Omari Mwariko amefariki...
UVCCM Moshi Mjini yapanda miche 3,000

UVCCM Moshi Mjini wakiwa na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwenge katika zoezi la upandaji wa miti kuadhimisha miaka 46 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya
Moshi Mjini umewataka Vijana wa Jumuiya
hiyo kusimamia...
Wednesday, January 11, 2023
UVCCM Moshi Mjini yamjia juu Juma Raibu
Umoja wa Vijana wa Chama cha
Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Moshi Mjini umemjia juu aliyetimuliwa Umeya wa
Manispaa Juma Raibu kuacha kukikosoa chama chake hadharani hususani katika
mitandao ya kijamii na badala yake kupeleka changamoto hizo kwa kufuata
utaratibu wa chama.
Akizungumza ...