Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, January 31, 2023

Mwalimu Nyerere: Shule ni Kiwanda au Shamba

 "Shule ni mahali pa kujifunza, hatutaki kubadili wazo hili, Haifai shule iwe kiwanda au shamba. Lakini lazima shule iwe kiwanda au shamba. Lakini ni lazima tuone kuwa kazi katika kiwanda cha shule au katika shamba la shule ni jambo la kawaida katika shughuli za kujifunza...

Saturday, January 28, 2023

Simba fans trust new appointed CEO Imani Kajula

 Imani Kajula, new CEO of Simba SCTrust is of utmost importance and an integral part of happy and fulfilling relationships, for both professional as well as personal relationships. Without trust, relationships are like a life without oxygen. You will feel suffocated and...

UWT Moshi vijijini yajitayarisha kujenga Chuo cha Ushonaji

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Moshi Vijini imekusudia kujenga Chuo cha Ushonaji ili kuwawezesha wanafunzi walioshindwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu ili waweze kujiimarisha kiuchumi.  Hayo yalisemwa Januari 27,2023 na Mwenyekiti wa Jumuiya...

Polisi, DC Mwaipaya wafanya usafi kituo cha Afya Mwirange-Mwanga

 Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Watumishi wa kituo cha afya Mwirange, Januari 28,2023 wameshiriki zoezi la usafi wa mazingira katika baadhi ya maeneo yanayozunguka kituo hicho cha afya  ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano baina yao na wananchi ili kukabiliana...

Tuesday, January 24, 2023

PICHA: Namna Chifu Mwariko alivyopumzishwa katika makaburi ya Manyema mjini Moshi

CHIFU ATHUMAN Omary MWARIKO “Mhelamwa” :Huyu ni yule aliomba noti ya Tanzania ichapishwe picha ya Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli, pia ndiye huyu aliomba mlima Kilimanjaro ufunikwe pazia, ndiye huyu aliandaa kinyago na kumpelekea Rais wa Urusi Vladmir Putin kwa...

Chifu Mwariko is no more

 Chifu Athuman Mwariko enzi za uhai wakeMwili wa marehemu Chifu Mwariko ukiwa katika jeneza kuelekea makaburini Manyema, Moshi MjiniMkurugenzi  wa Taasisi ya Sanaa ya Kilimanjaro Cultural Heritage  Centre ya mkoani Kilimanjaro, Chifu Athuman Omari Mwariko amefariki...

UVCCM Moshi Mjini yapanda miche 3,000

 UVCCM Moshi Mjini wakiwa na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwenge katika zoezi la upandaji wa miti kuadhimisha miaka 46 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Moshi Mjini  umewataka Vijana wa Jumuiya hiyo kusimamia...

Wednesday, January 11, 2023

UVCCM Moshi Mjini yamjia juu Juma Raibu

 Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Moshi Mjini umemjia juu aliyetimuliwa Umeya wa Manispaa Juma Raibu kuacha kukikosoa chama chake hadharani hususani katika mitandao ya kijamii na badala yake kupeleka changamoto hizo kwa kufuata utaratibu wa chama. Akizungumza ...