Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, September 18, 2017

'Team Work' ni kila kitu katika mafanikio

Unapokuwa unafanya kazi mahali popote pale duniani, ni vema kuwa na kile kinachofahamika ‘Nguvu ya Pamoja’. Nguvu ya Pamoja haiwezi kuja pasipokuwa na marafiki na wafanyakazi wazuri wanaojitambua. Ndivyo ilivyo kwa wafanyakazi hawa wa Mpakasi ambao wanaamini katika nguvu hiyo...

Monday, July 31, 2017

Taxi mbili zagongana Mango Garden, Dar

Taxi mbili zimegongana katika ajali mapema Julai 30 mwaka huu kwa kile kinachodaiwa uzembe wa madereva wa vyombo hivyo vya usafiri. Katika tukio hilo hakuna aliyepoteza maisha isipokuwa uharibifu wa magari hayo. Mashuhuda wa tukio hilo walisema madereva walikuwa wamelewa pombe. TAZAMA...

Monday, July 24, 2017

Kagame kusalia madarakani hadi 2034?

Wakati Rwanda ikiwa katika hatua za mwisho  kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 4, mwaka huu kama hakutakua na jambo lolote lingine litakalojitokeza basi ni dhahiri kuwa Rais  wa nchi hiyo Paul Kagame atashinda. Paul Kagame Hali  inaonesha kuwa upinzani...

Thursday, July 20, 2017

Watangazaji wa Kiss FM Dar es Salaam

Watangazaji wa Kiss FM studio za Dar es Salaam wakiwa katika kikao Julai 20, 2017 Kikao cha watangazaji na wanahabari wa Kiss FM wamekutana katika kikao cha pamoja kujadili masuala kadha wa kadha kuhusu programu mbalimbali Morning Kiss, Kiss Drive Time na Kiss Most Wanted. Watangazaji...

Tuesday, July 18, 2017

Shahidi wa nane kesi ya Scorpion ‘afunguka’

Mahakamani-Ilala-Dar es Salaam-Julai 18, 2017 Mshtakiwa Salum Njwete 'Scorpion' akiwa chini ya ulinzi mkali katika  mahakama ya Wilaya ya Ilala baada ya shahidi wa nane kutoa ushahidi wake kuhusu mashtaka yanayomkabili. Shahidi wa nane wa kesi ya Salum Njwete maarufu...

Wednesday, July 12, 2017

Yousafzai Malala ni nani?

Yousafzai Malala Malala Yousafzai ni mwanaharakati wa nchini Pakistan katika masuala ya elimu na mshindi wa tuzo ya Nobel aliyepata akiwa na umri mdogo.  Anafahamika kwa harakati zake za uwakili wa haki za binadamu hususani katika masuala ya elimu kwa wanawake kwa...

Tuesday, July 11, 2017

Stella Joseph ni nani?

Keki ya Stella Joseph ya kutimiza miaka 23 Stella Joseph (katikati), Grace (kushoto) na Abeid (kulia). Seda (katikati), Grace (kushoto) na Stella (kulia) Stella akimlisha keki dada yake kipenzi Seda, Abeid akishuhudia tukio hilo Stella na Seda waliamua kuwaliza...

Wednesday, June 28, 2017

Machinjio ya punda yafunguliwa Kenya

Nyama ikiwa katika machinjio  Machinjio ya tatu punda nchini Kenya imefunguliwa katika eneo la Nakwaalele mjini Lodwar,katika kaunti ya Turkana. Machinjio hiyo ya kampuni ya Zilzha kutoka China itasindika nyama ya punda pamoja na ngozi kwa ajili ya usafirishaji hadi...

Sunday, June 25, 2017

Dereva bodaboda agongwa na gari afariki dunia

Mwili wa dereva bodaboda ambao haukutambulika mara moja ukiwa umelazwa pembezoni mwa barabara mita chache kutoka kituo cha Mabasi yaendayo kwa haraka cha Morocco jijini Dar es Salaam Juni 25, 2017 Dereva wa bodaboda ambaye hajafahamika jina lake na mahali anapotoka amefariki...

Monday, June 19, 2017

SAA yaisaidia familia ya Mzee Sixtus Mhagama

Wanachama wa Chama cha Washehereshaji Tanzania (SAA) katika picha ya pamoja na familia ya Mzee Sixtus Mhagama Juni 19, 2017 maeneo ya Boko inapoishi familia hiyo inayougua ugonjwa wa ajabu. Wanachama wa SAA katika kuwatia moyo familia ya Mzee Sixtus Mhagama. Mzee...

Tuesday, June 13, 2017

Korea Kaskazini yamwachilia Otto Warmbier

Otto Warmbier Korea Kaskazini imemwachilia huru mwanafunzi Mmarekani Otto Warmbier ambaye alikuwa amefungwa jela katika taifa hilo la bara Asia. Warmbier, 22, alihukumiwa kufungwa jela miaka 15 na kazi ngumu Machi 2016 baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kuiba bango...

Rais Magufuli awafunda wakuu wa mikoa

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na wakuu wa mikoa yote katika Ikulu jijini Dar es Salaam Juni 13, 2017. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza Wakuu wa Mikoa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa viwanda katika...

Ndugai atishia kuwaongezea adhabu Mdee na Bulaya

Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai Spika wa Bunge Job Ndugai amewapa onyo tena wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya akisema kuwa wanapaswa kutambua kuwa Bunge bado lina uwezo wa kuwaita na kuwahoji na kuwapa adhabu kali zaidi ya hiyo walionayo...

Monday, June 12, 2017

Acacia yamjibu JPM

Mgodi wa North Mara Kampuni ya Madini ya Acacia imeona matokeo ya kushtua ikiwa ni saa chache baada ya Kamati ya Pili ya Rais iliyoundwa na Rais John Pombe Magufuli kuwasilisha ripoti ambayo imeangazia nyanja za historia ya kiuchumi na kisheria ya mauzo ya nje ya makanikia...

Tanzania yapoteza Trilioni 188 makanikia dhahabu na shaba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha Ripoti hiyo ya Kamati ya pili ya Uchunguzi wa Madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga unaosafirishwa nje ya nchi kutoka kwenye machimbo ya madini sehemu mbalimbali hapa nchini mara baada ya kukabidhiwa...

Tuesday, June 6, 2017

Mama Mghwira rasmi mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, ala kiapo Ikulu

Mama Anna Mghwira Juni 6, 2017 katika Ikulu jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemwapisha Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Ikulu jijini Dar es Salaam.  Mama Anna Mghwira akila kiapo cha Uadilifu...