Monday, September 18, 2017
'Team Work' ni kila kitu katika mafanikio
Unapokuwa unafanya kazi mahali popote pale duniani, ni
vema kuwa na kile kinachofahamika ‘Nguvu ya Pamoja’. Nguvu ya Pamoja haiwezi
kuja pasipokuwa na marafiki na wafanyakazi wazuri wanaojitambua. Ndivyo ilivyo
kwa wafanyakazi hawa wa Mpakasi ambao wanaamini katika nguvu hiyo...
Monday, July 31, 2017
Taxi mbili zagongana Mango Garden, Dar
Taxi mbili zimegongana
katika ajali mapema Julai 30 mwaka huu kwa kile kinachodaiwa uzembe wa madereva
wa vyombo hivyo vya usafiri. Katika tukio hilo
hakuna aliyepoteza maisha isipokuwa uharibifu wa magari hayo. Mashuhuda wa
tukio hilo
walisema madereva walikuwa wamelewa pombe.
TAZAMA...
Monday, July 24, 2017
Kagame kusalia madarakani hadi 2034?

Wakati
Rwanda ikiwa katika hatua za
mwisho kuelekea uchaguzi mkuu
utakaofanyika Agosti 4, mwaka huu kama
hakutakua na jambo lolote lingine litakalojitokeza basi ni dhahiri kuwa
Rais wa nchi hiyo Paul Kagame atashinda.
Paul Kagame
Hali
inaonesha kuwa upinzani...
Thursday, July 20, 2017
Watangazaji wa Kiss FM Dar es Salaam
Watangazaji wa Kiss FM studio za Dar es Salaam wakiwa katika kikao Julai 20, 2017
Kikao cha watangazaji
na wanahabari wa Kiss FM wamekutana katika kikao cha pamoja kujadili masuala
kadha wa kadha kuhusu programu mbalimbali Morning Kiss, Kiss Drive Time na Kiss
Most Wanted.
Watangazaji...
Tuesday, July 18, 2017
Shahidi wa nane kesi ya Scorpion ‘afunguka’
Mahakamani-Ilala-Dar es
Salaam-Julai 18, 2017 Mshtakiwa Salum Njwete 'Scorpion' akiwa chini ya ulinzi
mkali katika mahakama ya Wilaya ya Ilala
baada ya shahidi wa nane kutoa ushahidi wake kuhusu mashtaka yanayomkabili.
Shahidi wa nane wa
kesi ya Salum Njwete maarufu...
Wednesday, July 12, 2017
Yousafzai Malala ni nani?

Yousafzai Malala
Malala
Yousafzai ni mwanaharakati wa nchini Pakistan katika masuala ya elimu na
mshindi wa tuzo ya Nobel aliyepata akiwa na umri mdogo.
Anafahamika kwa
harakati zake za uwakili wa haki za binadamu hususani katika masuala ya elimu
kwa wanawake kwa...
Tuesday, July 11, 2017
Stella Joseph ni nani?
Keki ya Stella Joseph ya kutimiza miaka 23
Stella Joseph (katikati), Grace (kushoto) na Abeid (kulia).
Seda (katikati), Grace (kushoto) na Stella (kulia)
Stella akimlisha keki dada yake kipenzi Seda, Abeid akishuhudia tukio hilo
Stella na Seda waliamua kuwaliza...
Wednesday, June 28, 2017
Machinjio ya punda yafunguliwa Kenya

Nyama ikiwa katika machinjio
Machinjio ya tatu punda nchini Kenya imefunguliwa katika eneo la
Nakwaalele mjini Lodwar,katika kaunti ya Turkana. Machinjio hiyo ya kampuni ya
Zilzha kutoka China itasindika
nyama ya punda pamoja na ngozi kwa ajili ya usafirishaji hadi...
Sunday, June 25, 2017
Dereva bodaboda agongwa na gari afariki dunia
Mwili wa dereva bodaboda ambao haukutambulika mara moja ukiwa umelazwa pembezoni mwa barabara mita chache kutoka kituo cha Mabasi yaendayo kwa haraka cha Morocco jijini Dar es Salaam Juni 25, 2017
Dereva wa bodaboda
ambaye hajafahamika jina lake na mahali anapotoka amefariki...
Monday, June 19, 2017
SAA yaisaidia familia ya Mzee Sixtus Mhagama
Wanachama wa Chama cha Washehereshaji Tanzania (SAA) katika picha ya pamoja na familia ya Mzee Sixtus Mhagama Juni 19, 2017 maeneo ya Boko inapoishi familia hiyo inayougua ugonjwa wa ajabu.
Wanachama wa SAA katika kuwatia moyo familia ya Mzee Sixtus Mhagama.
Mzee...
Tuesday, June 13, 2017
Korea Kaskazini yamwachilia Otto Warmbier

Otto Warmbier
Korea Kaskazini imemwachilia huru mwanafunzi Mmarekani Otto
Warmbier ambaye alikuwa amefungwa jela katika taifa hilo
la bara Asia. Warmbier, 22, alihukumiwa
kufungwa jela miaka 15 na kazi ngumu Machi 2016 baada ya kupatikana na hatia ya
kujaribu kuiba bango...
Rais Magufuli awafunda wakuu wa mikoa

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na wakuu wa mikoa yote katika Ikulu jijini Dar es Salaam Juni 13, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli amewaagiza Wakuu wa Mikoa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa mpango
wa ujenzi wa viwanda katika...
Ndugai atishia kuwaongezea adhabu Mdee na Bulaya

Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai
Spika wa Bunge Job Ndugai amewapa onyo
tena wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya akisema kuwa wanapaswa kutambua kuwa
Bunge bado lina uwezo wa kuwaita na kuwahoji na kuwapa adhabu kali zaidi ya
hiyo walionayo...
Monday, June 12, 2017
Acacia yamjibu JPM

Mgodi wa North Mara
Kampuni ya Madini ya Acacia imeona matokeo ya
kushtua ikiwa ni saa chache baada ya Kamati ya Pili ya Rais iliyoundwa na Rais
John Pombe Magufuli kuwasilisha ripoti ambayo imeangazia nyanja za historia ya
kiuchumi na kisheria ya mauzo ya nje ya makanikia...
Tanzania yapoteza Trilioni 188 makanikia dhahabu na shaba

Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha Ripoti hiyo ya Kamati ya pili ya
Uchunguzi wa Madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga unaosafirishwa nje ya
nchi kutoka kwenye machimbo ya madini sehemu mbalimbali hapa nchini mara baada
ya kukabidhiwa...
Tuesday, June 6, 2017
Mama Mghwira rasmi mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, ala kiapo Ikulu

Mama Anna Mghwira Juni 6, 2017 katika Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli amemwapisha Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro
leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mama Anna Mghwira akila kiapo cha Uadilifu...