Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, July 19, 2024

New Lumumba Food Restaurant yazinduliwa mjini Moshi

 Mkuu wa Wilaya ya Moshi Zephania Sumaye akikata utepe katika uzinduzi wa New Lumumba Food Restaurant kwenye hafla iliyofanyika mjini Moshi mnamo Julai 19, 2024 katika viwanja vya Makao Makuu ya CCM Moshi Mjini; kutoka kushoto ni Katibu wa CCM Moshi Mjini Frida Kaaya, Mwenyekiti...

Unafahamu kuwa Kiti unachokalia ofisini kinaongeza morali ya kufanya kazi?

Shirika la AJISO limetekeleza mradi wa Uraia Wetu unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) kupitia Foundation for Civil Society (FCS) mnamo Julai 17, 2024 baada ya kuendesha Mdahalo uliojumuisha wakurugenzi wa mashirika ya Kanda ya Kaskazini na Viongozi wa serikali kutoka Mikoa...

Thursday, July 18, 2024

Kutumia Takwimu zisizo sahihi ni kosa kisheria

 Ofisi ya Taifa ya Takwimu inathamini maoni yako kuhusu bidhaa na huduma za kitakwimu na zisizo za takwimu inazozitoa. Maoni yako yatashughulikiwa kwa usiri wa hali ya juu na kutumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa pekee. Tafadhali toa maoni yako kupitia simu, barua pepe,...

Changamoto ya Maji Yamu Makaa yazua tafrani

 Yapi ni maji safi na salama? Maji safi na salama ni maji yasiyokuwa na uchafu, yasiyo na harufu mbaya na yasiyo na vidudu. Maji safi na salama huleta afya njema na maji yasiyo safi na salama huleta...

Monday, July 15, 2024

Jaribio la Donald Trump lina maana gani katika siasa za Marekani?

 Jumamosi ya Julai 14, 2024 nchini Marekani haikuwa siku njema kwa Rais wa zamani wa Taifa hilo Donald Trump baada ya jaribio ;la kutaka kumwua kushindikana. Risasi moja ilijeruhi sikio la kiongozi huyo alipokuwa jimboni Pennsylvania. Je, ni Rais pekee wa Marekani...

Friday, July 12, 2024

Irmegolik ni nini?

 Wamaasai ni kabila linalotambulika kama mashujaa wa kuua Simba ili uonekane kidume cha mbegu. Kabila ambalo kabla ya kujigeuza kuwa walinzi na wasusi mjini kila mtu alikuwa akiowagopa kutokana na tabia zao za kutembea na fimbo pamoja na sime kiunoni, sana sana Kwa...