
Saturday, December 28, 2024
Mambo 7 muhimu Ushiriki wa Viongozi wa Siasa; Mwanga Marathon & Festival 2024
By JAIZMELADecember 28, 2024BURUDANI, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MICHEZONo comments

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kilimanjaro Seleman Mfinanga mnamo Desemba 27, 2024 baada ya kumaliza kukimbia Kilometa 10 katika Mwanga Marathon & Festival 2024. Tukio hilo la riadha ni la kwanza kubwa kufanyika katika wilaya ya Mwanga...
Tuesday, December 24, 2024
AMEC Kilimanjaro yawatoa hofu waumini kuhusu uhuru wa kuabudu

Mkuu wa Jimbo la Kilimanjaro wa Kanisa la Africa Mission
Evangelism (AMEC) Mchungaji Wilson Kawiche amewataka waumini wanaojiunga na
kanisa hilo kutambua kuwa Katiba ya Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania inawalinda kwa uamuzi wao wa kufuata Imani ya
dini wanayoitaka kuitumikia.
Akizungumza...
AMEC Tanzania yamwingiza kazini Mchungaji Paul Assey

Kanisa la Africa Mission Evangelism (AMEC) limemsimika rasmi
Paul Assey kuwa mchungaji wa Usharika wa Kileo, jimbo la Kilimanjaro katika
hafla iliyofanyika katika usharika wa Kileo wilayani Mwanga.
Hafla hiyo ya kumsimika Mchungaji Assey ilifanywa na Askofu
Mkuu wa AMEC Tanzania...
Sunday, December 15, 2024
Mangi Gilbert Gilead Shangali Asimikwa Isaleni, Wari-Machame; Kilimanjaro
By JAIZMELADecember 15, 2024AFRIKA, BURUDANI, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABANo comments

Mangi Gilbert Gileadi Shangali akiinua ngao kwa mkono wa kulia ikimaanisha ulinzi wa jamii ya Kimachame, mkono wa kushoto akiwa na mkuki baada ya kusimikwa na Chifu Frank Marealle (wa kwanza kushoto) lililofanyika Isaleni, Wari-Machame wilayani Hai mkoani Kilimanjaro mnamo Desemba...
Wahitimu 3,246 watunukiwa shahada mbalimbali Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi

Wakati, Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU), kikifikisha
umri wa miaka 10 tangu kupewa ithibati ya kuwa chuo kikuu kamili, Spika mstaafu
wa Bunge, Anne Makinda, amewatunuku kwa mara ya kwanza wahitimu 3,246 shahada
mbalimbali.
Kati ya wahitimu hao wa fani mbalimbali, wamo...
Monday, December 9, 2024
Usuli kuhusu Wamachame

Wamachame ni moja ya makabila ya
asili ya Tanzania, hasa linapopatikana katika Mkoa wa Kilimanjaro. Wamachame ni
kundi la watu wanaozungumza lugha ya Kichaga cha Kimachame, ambayo ni sehemu ya
familia ya lugha za Kibantu. Hawa ni miongoni mwa jamii za kiasili za
Kilimanjaro,...
Mangi Gilbert Gilead Shangali ni nani?

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Mangi wa 52 wa Machame kusimikwa Desemba 14
By JAIZMELADecember 09, 2024AFRIKA, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABANo comments

Mangi Gilbert Shangali anayetarajiwa kusimikwa Desemba 14, 2024 katika kijiji cha Wari, wilayni Hai mkoani Kilimanjaro. (Picha Na. MAKTABA)
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
...
Tanganyika (Tanzania Bara) yatimiza miaka 63 ya Uhuru
By JAIZMELADecember 09, 2024AFRIKA, KIMATAIFA, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABANo comments

https://g.co/doodle/tjvh9pwSiku kama ya leo tarehe 9 mwezi Desemba mwaka 1961, iliyokuwa Tanganyika au Tanzania Bara ilipata Uhuru wake kupitia mchakato uliosimamiwa na Umoja wa Mataifa. Siku 5 baadaye, nchi hiyo huru ilijiunga na Umoja wa Mataifa na kuwa mwanachama hadi leo...
Sunday, December 1, 2024
Kuonywa kwa Msanii Mashalove na Waziri Gwajima kunatoa picha gani kuhusu Maadili ya Mtanzania?

Mnamo mwaka 2022,aliyewahi kushiriki mashindano ya Miss Tanzania 2000, Rashida Wanjara na wenzake 13 waliiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwasamehe huku wakiahidi kubadili tabia zao ndani ya miaka miwili.Washtakiwa wengine walikuwa ni Masha Ngubi...