Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, May 22, 2023

Mgogoro wa shule, mwekezaji wazuia wanafunzi kuingia madarasani

 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Masumbeni wakiwa katika viunga vya shule yao kabla ya kuzuia kuhudhuia masomo kutokana na mgogoro wa shule, kijiji, na mwekezaji.Wanafunzi wa Shule ya Msingi Masumbeni iliyopo Kata ya Kifula wilayani Mwanga, Kilimanjaro wameshindwa kuhudhuria...

Saturday, May 20, 2023

Wakala wa Vipimo Kilimanjaro yawaonya wafanyabiashara wanaokiuka sheria ya vipimo

Wafanyabiashara wa Matunda katika soko la Korongoni.Wakala wa Vipimo mkoa wa Kilimanjaro (WMA) imeaonywa wafanayabiashara wanaokiuka sheria ya vipimo wakati wanaponunua mazao kutoka kwa wakulima. Hayo yamejiri katika maadhimisho ya Siku ya Vipimo duniani ambayo mwaka huu inaenda...

Friday, May 19, 2023

Halmashauri ya Mwanga yanunua Gari la Kusambaza Mchanga

Ubunifu  mara nyingi huchukuliwa kuwa ni matumizi ya njia bora zaidi zinazokidhi kutatua changamoto mpya, changamoto ambazo tayari zipo lakini hazijapatiwa ufumbuzi bado, au changamoto zilizopo kwenye soko au jamii kwa kipindi husika, hivi ndivyo unavyoweza kusema kwa Halmashauri...

Wednesday, May 17, 2023

Mchungaji wa Kipentekoste alivyojitosa kuikwamua familia duni Moshi Vijijini.

Nyumba ya urithi ya Familia ya Jubilathe Macha, waliyokuwa wanaishi Gervas na Grace kabla ya Mchungaji Heriel Herimoyo Mawose kujitolea kuwajengea nyumba bora ya kisasa.Kuzaliwa katika Familia duni haina maana kuwa umepoteza sifa ya kufanikiwa katika maisha yako ndivyo unavyoweza...