
Monday, May 22, 2023
Mgogoro wa shule, mwekezaji wazuia wanafunzi kuingia madarasani

Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Masumbeni wakiwa katika viunga vya shule yao kabla ya kuzuia kuhudhuia masomo kutokana na mgogoro wa shule, kijiji, na mwekezaji.Wanafunzi wa Shule ya Msingi
Masumbeni iliyopo Kata ya Kifula wilayani Mwanga, Kilimanjaro wameshindwa
kuhudhuria...
Saturday, May 20, 2023
Wakala wa Vipimo Kilimanjaro yawaonya wafanyabiashara wanaokiuka sheria ya vipimo

Wafanyabiashara wa Matunda katika soko la Korongoni.Wakala wa Vipimo mkoa wa Kilimanjaro (WMA) imeaonywa
wafanayabiashara wanaokiuka sheria ya vipimo wakati wanaponunua mazao kutoka
kwa wakulima.
Hayo yamejiri katika maadhimisho ya Siku ya Vipimo
duniani ambayo mwaka huu inaenda...
Friday, May 19, 2023
Halmashauri ya Mwanga yanunua Gari la Kusambaza Mchanga

Ubunifu mara nyingi huchukuliwa kuwa ni matumizi ya njia
bora zaidi zinazokidhi kutatua changamoto mpya, changamoto ambazo tayari zipo
lakini hazijapatiwa ufumbuzi bado, au changamoto zilizopo kwenye soko au jamii
kwa kipindi husika, hivi ndivyo unavyoweza kusema kwa Halmashauri...
Wednesday, May 17, 2023
Mchungaji wa Kipentekoste alivyojitosa kuikwamua familia duni Moshi Vijijini.

Nyumba ya urithi ya Familia ya Jubilathe Macha, waliyokuwa wanaishi Gervas na Grace kabla ya Mchungaji Heriel Herimoyo Mawose kujitolea kuwajengea nyumba bora ya kisasa.Kuzaliwa katika Familia duni haina maana kuwa umepoteza sifa
ya kufanikiwa katika maisha yako ndivyo unavyoweza...