
Wednesday, September 30, 2020
Jamii ipambane kuzuia watu Kujiua

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) takribani
watu laki 8 hadi milioni 1 hujiua kila mwaka kwasababu mbalimbali. Kwa mujibu
wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16, Kifungu cha 216 na 217: Kushawishi
mtu Kujiua au Kujaribu Kujiua ni Kosa la Jinai.
Kifungu cha...
Tuesday, September 29, 2020
Ku-beti kunatupeleka wapi?-2

Mimi ni mpenzi wa samaki zilizokaangwa, nikipata na ugali wa
dona kwa karibu zaidi mambo huwa shwari katika kiungo kinachoitwa tumbo. Mnamo
mwaka 2015 wakati masuala ya ku-beti yalipokuwa yameanza kushika kazi nchini
nilifunga safari yangu hadi Tegeta, jijini Dar es Salaam...
Monday, September 28, 2020
Klabu ya Waandishi wa Habari Kilimanjaro yapata viongozi wapya, Nyakiraria atetea nafasi yake

Viongozi wa Chama Cha Waandishi wa Habari mkoa wa Kilimanjaro (MECKI), wametakiwa kutumia nafasi zao kwa uaminifu, huku wakishirikiana katika kutatua changamoto za Wanahabari kwa kuwaunganisha pamoja, sambamba na kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuiendeleza...
Thursday, September 24, 2020
Jitihada ziongezwe matumizi ya Lugha za Alama

SEPTEMBA
23 ya kila mwaka ni maadhimisho ya Lugha za Ishara au Lugha za Alama. Lugha
hizi zimejikita katika miendo ya mikono, uso, kichwa, mabega na pia sehemu
nzima ya juu ya mwili badala ya kuhusisha sauti. Jambo la muhimu katika lugha
za alama ni lazima zionekane kwa...
Wednesday, September 23, 2020
'Ku-beti' kunatupeleka wapi?-1

Vijana wakifuatilia ratiba ya mechi kwa ajili ya ubashiriUbashiri katika michezo nchini
umekuwa maarufu kwa jina la ‘mkeka’ au katika maeneo mengine umekuwa
ukifahamika ‘Kwa Mhindi’; itakumbukwa kwamba mkeka ni kitu kama jamvi
kinachoshonwa kutokana na kili na hutumika kwa kazi...
Monday, September 21, 2020
Ya Lamine Diack kulikuta Shirikisho la Riadha Tanzania?
Mashindano ya Riadha ya Tanzania mnamo mwaka 2020 yaliyofanyika katika Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.Aliyekuwa rais wa Chama cha Kimataifa cha Mashirikisho ya Michezo (IAAF), Lamine Diack amehukumiwa kifungo cha miaka minne gerezani, huku miwili ikisitishwa, kwa kosa...
Sunday, September 20, 2020
Kwanini Lubanga anatajwa kama Nelson Mandela wa Ituri?

Thomas Lubanga DyiloMaelfu ya watu wa Afrika Mashariki walishtushwa na
taarifa majuma kadhaa yaliyopita pale jina la Thomas Lubanga Dyilo, lilipokuwa
likitajwa na wenyeji wa Mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC)
ambao walimpokea kwa furaha na shangwe baada ya kumalizika...