Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, September 30, 2020

Jamii ipambane kuzuia watu Kujiua

 Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) takribani watu laki 8 hadi milioni 1 hujiua kila mwaka kwasababu mbalimbali. Kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16, Kifungu cha 216 na 217: Kushawishi mtu Kujiua au Kujaribu Kujiua ni Kosa la Jinai. Kifungu cha...

Tuesday, September 29, 2020

Ku-beti kunatupeleka wapi?-2

 Mimi ni mpenzi wa samaki zilizokaangwa, nikipata na ugali wa dona kwa karibu zaidi mambo huwa shwari katika kiungo kinachoitwa tumbo. Mnamo mwaka 2015 wakati masuala ya ku-beti yalipokuwa yameanza kushika kazi nchini nilifunga safari yangu hadi Tegeta, jijini Dar es Salaam...

Monday, September 28, 2020

Klabu ya Waandishi wa Habari Kilimanjaro yapata viongozi wapya, Nyakiraria atetea nafasi yake

Viongozi wa Chama Cha Waandishi wa Habari mkoa wa Kilimanjaro (MECKI), wametakiwa kutumia nafasi zao  kwa  uaminifu, huku wakishirikiana katika kutatua changamoto za Wanahabari  kwa kuwaunganisha pamoja,  sambamba na kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuiendeleza...

Thursday, September 24, 2020

Jitihada ziongezwe matumizi ya Lugha za Alama

 SEPTEMBA 23 ya kila mwaka ni maadhimisho ya Lugha za Ishara au Lugha za Alama. Lugha hizi zimejikita katika miendo ya mikono, uso, kichwa, mabega na pia sehemu nzima ya juu ya mwili badala ya kuhusisha sauti. Jambo la muhimu katika lugha za alama ni lazima zionekane kwa...

Wednesday, September 23, 2020

'Ku-beti' kunatupeleka wapi?-1

Vijana wakifuatilia ratiba ya mechi kwa ajili ya ubashiriUbashiri katika michezo nchini umekuwa maarufu kwa jina la ‘mkeka’ au katika maeneo mengine umekuwa ukifahamika ‘Kwa Mhindi’; itakumbukwa kwamba mkeka ni kitu kama jamvi kinachoshonwa kutokana na kili na hutumika kwa kazi...

Monday, September 21, 2020

Ya Lamine Diack kulikuta Shirikisho la Riadha Tanzania?

Mashindano ya Riadha ya Tanzania mnamo mwaka 2020 yaliyofanyika katika Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.Aliyekuwa rais wa Chama cha Kimataifa cha Mashirikisho ya Michezo (IAAF), Lamine Diack amehukumiwa kifungo cha miaka minne gerezani, huku miwili ikisitishwa, kwa kosa...

Sunday, September 20, 2020

Kwanini Lubanga anatajwa kama Nelson Mandela wa Ituri?

Thomas Lubanga DyiloMaelfu ya watu wa Afrika Mashariki walishtushwa na taarifa majuma kadhaa yaliyopita pale jina la Thomas Lubanga Dyilo, lilipokuwa likitajwa na wenyeji wa Mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) ambao walimpokea kwa furaha na shangwe baada ya kumalizika...