
Saturday, September 29, 2018
Kanisa Katoliki kufanya maombi mwezi mzima

Papa Francis
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewaomba waumini bilioni 1.3 wa Kanisa hilo duniani kuchukua muda wao katika mwezi mzima wa Oktoba kufanya sala maalum ya kuliombea kanisa hilo linalokumbwa na kashfa.
Taarifa kutoka makao makuu ya Kanisa...
Tanzania rasmi mwenyeji michuano ya CAF U17 2019

Nchi zilizofuzu CAF U17 2019
-Angola
-Cameroon
-Guinea
-Morocco
-Nigeria
-Uganda
-Senegal
-Tanzania (Host)
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF)imeithibitisha rasmi Tanzania kuwa wenyeji wa Fainali za Afrika za Vijana zitakazofanyika mwakani.
Kikao...
Thursday, September 27, 2018
Nyambui aendelea kuinoa Brunei

Kocha wa timu ya taifa ya riadha ya Brunei Suleiman Nyambui akiwa na wachezaji wake baada ya mazoezi hivi karibuni. Nyambui ni katibu mkuu wa zamani wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), akiwa na rekodi ya kutwaa medali ya olimpiki katika mita 5,000 jijini Moscow mwaka...
Ujerumani kuwa mwenyeji wa Euro 2024

Rais wa Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA). Aleksander Ceferin ametangaza fainali za mwaka 2024 za mataifa ya Ulaya zitachezwa nchini Ujerumani. Ceferin alitangaza uamuzi huo jijini Nyon nchini Uswisi mbele ya mataifa mawili yaliyokuwa yakiwania nafasi hiyo.
Katika...
Nyota ya Usain Bolt yaanza kung'ara A-League

Safari ya soka ya Usain Bolt imeanza akicheza dakika 45 za kwanza akiwa na North Shore Mariners kwenye mchezo wa kirafiki ambao haukuwa na mashabiki dhidi ya Newcastle Jets.
Nyota huyo aliyestaafu riadha alianza na Mariners Agosti mwaka huu akicheza dakika 20...
Ozil anogesha kinyang'anyiro cha uenyeji Euro 2024

Kamati kuu ya Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA) itakaa baadaye hii leo kuchagua mwenyeji wa fainali za UEFA Euro 2024.
Tukio hilo litafanyika katika makao makuu ya shirikisho hilo mjini Nyon nchini Uswisi. Septemba 10 mwaka huu shirikisho hilo lilitangaza kuwa...
Wednesday, September 26, 2018
Watanzania watakiwa kutumia Unga wa Muhogo

Unga wa Muhogo uliofungashwa vizuri
Watanzania wametakiwa kutumia Unga wa Muhogo kwa ajili ya kuzalisha bidhaa zikiwamo chapati, vinywaji na chakula cha mifugo.
Rai hiyo ilitolewa katika semina ya waandishi wa habari na Afisa Mshauri wa Maendeleo ya Biashara kutoka...
Tuesday, September 25, 2018
Chadema yazindua Sera za Chama toleo la Mwaka 2018

Mweneyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Sept 25, 2018
Uzinduzi wa Sera za Chama toleo la Mwaka 2018 umefanyika leo jijini Dar
es salaam na kuhudhuriwa na vingozi mbalimbali katika tukio hilo
lililoandaliwa na CHADEMA likiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho
Freeman...
Merson: Sanchez alipotea kwenda Manchester United

Alexis Sanchez
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na mchambuzi wa kandanda nchini England Paul Merson amesema mshambuliaji wa Manchester United Alexis Sanchez alipotea kutua klabuni hapo.
Merson amesema staili ya kocha Jose Mourinho haijafanikiwa kumwonyesha Sanchez katika...
Chadema kuzindua sera za chama toleo 2018 leo

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe anatarajiwa kuongoza tukio la kuzindua sera za chama hicho toleo la mwaka 2018 hii leo jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo...
Leo ni siku ya Wafamasia duniani

Mfamasia akimhudumia mteja wake
Imeelezwa Wafamasia wanatarajiwa kuongezeka kufikia asilimia 40 ifikapo mwaka 2030.
Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Wafamasia (FIP) Dkt. Carmen Peña katika taarifa yake iliyotolewa kupitia wavuti ya hilo katika kuadhimisha siku ya Mfamasia...
Sunday, September 23, 2018
Zitto Kabwe amvaa Waziri Mkuu ajali ya MV Nyerere

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemshukia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kushindwa kuwaadhibu viongozi wote waliohusika na kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere.
Kivuko hicho kilizama Septemba 20 mwaka huu wilayani Ukerewe, Mwanza ambapo mpaka sasa idadi...
Lacazette, Aubameyang wamkuna Unai Emery

Arsenal 2-0 Everton, Sept. 23, 2018 katika dimba la Emirates
Mabao mawili ya Mfaransa Alexander Lacazette na raia wa Gabon Pierre Emerick Aubameyang dhidi ya Everton yamemfanya kocha Unai Emery kuwa na wiki njema baada ya ushindi katika Ligi ya Europa juma lililopita.
Ushindi...
Chelsea yashindwa mbele ya West Ham

Olivier Giroud akijishika kichwa akiwa haamini kilichotokea
Sare
ya bila kufungana baina ya Chelsea na West Ham katika mchezo wa Ligi
Kuu ya England yameifanya miamba hiyo kupunguzwa kasi ya kuwania taji
hilo.
Andriy
Yarmolenko alikosa nafasi muhimu katika...
Wednesday, September 19, 2018
Chadema yatangaza kutoshiriki chaguzi za marudio

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitashiriki uchaguzi wa marudio katika Jimbo la Liwale na kata 37 kwa kile wanachodai hujuma zinazofanyika wakati wa chaguzi hizo. Akitangaza mbele ya vyombo...
Mahakama Afrika Kusini yahalalisha matumizi ya bangi maeneo ya faragha

Mahakama ya Kikatiba nchini Afrika kusini imehalalisha utumiaji wa bangi kwa watu wazima katika maeneo faragha.
Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kwa kauli moja, kuruhusu watu wazima kutumia bangi wakiwa majumbani na kukuza kiasi kinachoweza kutosheleza mahitaji binafsi....
Dkt. Misanya Bingi kuzikwa leo

Dkt. Misanya Bingi enzi za uhai wake
Mwili wa aliyekuwa mtangazaji mahiri nchini na Mhadhiri wa Shule ya Habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC) iliyo chini ya Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dkt Misanya Bingi (47) umeagwa Sept. 18 mwaka huu katika Kanisa Katoliki la Makongo...
Viongozi wa Korea Kusini na Kaskazini wakutana Pyongyang

Moon Jae-in na Kim Jong Un
Viongozi wa Korea mbili, kusini na kaskazini wameanza mkutano wao wa kilele mjini Pyongyang kujadili juu ya kuondoa silaha za nyuklia katika rasi ya Korea pamoja na masuala mengine.
Ofisi ya rais wa Korea Kusini imesema maafisa wawili waandamizi...
Andre Borcelli ni nani?

Andre Bocelli
Nyota huyu wa muziki kutoka nchini Italia alizaliwa Septemba 22, 1958 lakini alipokuwa na miaka 12 alipoteza kabisa uwezo wa kuona kwa maana nyepesi alikuwa kipofu hadi sasa akiwa na miaka 60. Alipata upofu akiwa katika mchezo wa mpira wa miguu (soka).
Mwimbaji...
Supersub Roberto Firmino aipa mwanzo mzuri Liverpool yaizabua PSG 3-2

Neymar Jr. akimliki mpira mbele ya Mohamed Salah katika mchezo wa Kundi C wa ligi ya mabaingwa barani Ulaya usiku wa Septemba 18, 2018 Anfield
Roberto Firmino akiingia kuchukua nafasi ya Daniel Sturridge
Hakika ulikuwa ni usiku mzuri kwa Liverpool katika dimba la Anfield...
Maadhimisho ya Siku ya Tembo Sept. 22 Ruvuma

Shirika la kimataifa la uhifadhi wa mazingira(WWF), kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori (TAWA) wameandaa maadhimisho ya Siku ya Tembo kitaifa, yanayotarajiwa kufanyika Madaba mkoani Ruvuma 22 Sept, 2018.
Maadhimisho hayo yametanguliwa na...
Tuesday, September 18, 2018
Rais wa Korea Kusini akutana na Kim Jong Un

Moon Jae-in na Kim Jong Un
Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in amewasili leo Korea Kaskazini kwa ajili ya mkutano wake wa tatu wa kilele na ambao huenda ukawa mgumu zaidi na kiongozi Kim Jong Un ambapo anatumai kuyakwamua mazungumzo ya Marekani ya kuishinikiza Korea Kaskazini...