Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, May 31, 2017

Zitto atoa ya moyoni kifo cha Ndesamburo

Philemon Ndesamburo, enzi za uhai wake “Salaam zangu za rambirambi Kwa dada yangu mpenzi Lucy Owenya Kwa kupotelewa na baba mzazi Mzee Philemon Kiwelu Ndesamburo. Ni msiba mkubwa Kwa watu wa Kilimanjaro na hasa Moshi Mjini ambapo Mzee Ndesa Pesa alikuwa mwakilishi wake...

Monday, May 29, 2017

Kufuturisha kwapigwa marufuku Zanzibar

Futari ya Mfungo wa Ramadhani Serikali  ya  Mapinduzi  ya  Zanzibar  imepiga  marufuku  kuftarisha  katika  kipindi  hiki  cha  mwezi  mtukufu  wa  Ramadhan  pamoja  na uuzwaji  wa ...

Monday, May 22, 2017

Vituko vya Machinjioni: Vingunguti

Wanunuzi wawili wa nyama ambao majina yao hayakufahamika mara moja katika machinjio ya Vingunguti jijini Dar es Salaam wakirushiana makonde katika eneo lenye kinyesi cha ng’ombe na mbuzi baada ya kutofautiana katika uchaguaji wa nyama huku mmojawapo akiwaamulia wasiendelee kupigana.  Wengi...

Bata wana tabia gani?

Bata dume wa kufugwa nchini Tanzania akiwa amesimamia mguu mmoja, ikiwa ni sehemu yake ya starehe. Mwili wote wa bata kwa ujumla ni mrefu na mpana, na bata wengi kwa wastani wana shingo fupi lakini shingo la bata bukini na bata-maji ni ndefu. Umbo la mwili la mabata...

Mtoto wa miaka 12 auawa, anyofolewa viungo

Ramani ya Mkoa wa Singida MTOTO wa kike mwenye miaka 12 ameuawa mkoani Singida baada ya kunyongwa kwa kamba ya ngozi na watu wasiojulikana, kisha mwili wake kunyofolewa baadhi ya viungo na kutoweka navyo kwa kile kinachosadikiwa kuwa ni imani za ushirikina. Mtoto huyo...

Leo ni siku ya Wabaha'I

Alama ya Wabaha'I Jumuiya ya Wa-Bahai waishio Dar es Salaam leo inaungana na jumuiya nyingine za madhehebu hayo kote ulimwenguni kwa ajili ya kusherehekea Tangazo la Bab. Bahá'u'lláh_(Mírzá_Ḥusayn-`Alí_Núrí) mwaka 1868 Katika taarifa yake Mwakilishi wa Vyombo vya Habari...

Friday, May 12, 2017

Raila kufanya mkutano Mei 14 katika ngome ya Jubilee

Raila Odinga akifanya maombi Jerusalem hivi karibuni. Mgombea urais kwa tiketi ya Muungano wa Upinzani nchini Kenya (NASA), Raila Odinga anatarajiwa kuongoza maelfu ya watu katika mkutano mkubwa wa kwanza akiwa na viongozi wa muungano huo kwenye ngome za chama cha Jubilee...

Tuesday, May 9, 2017

NEC yapiga hatua elimu kwa njia ya Redio

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhani Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa wananchi walioko kwenye halmashauri mbalimbali nchini, kuitumia vyema fursa ya utoaji wa elimu ya mpiga kura kupitia redio kwenye halmashauri zao...

Thursday, May 4, 2017

Mizoga ya Tembo yapungua Selous Game Reserve

Mzoga wa tembo baada ya kuuliwa na majangili MAUAJI ya tembo katika Mbuga ya Selous yamepungua kutoka mizoga 184 hadi 84. Hayo yanajiri wakati ambapo tembo wawili kuuawa na wananchi hivi karibuni huku mmoja aking’olewa meno yake katika kijiji cha Wenje Tarafa ya Nalasi...

Tuesday, May 2, 2017

Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2017

NA MWANDISHI WETU Wanataaluma na Wadau wa Habari nchini, hii leo wamekutana katika Kongamano la kujadili mafanikio na changamoto zinazoikabili tasnia hiyo ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2017. Kitaifa Maadhimisho hayo yanafanyika...

Eminem ashtaki Chama Tawala cha New Zealand

WELLINGTON, NEW ZEALAND Chama tawala cha New Zealand kimesema hakitajibu chochote baada mwanamuziki mashuhuri wa Marekani Eminem kukipandisha chama hicho kortini. Eminem Msemaji wa chama hicho Steven Joyce amesema kwa sasa wanasubiri uamuzi wa mahakama kuhusu shtaka hilo. Jana...

Monday, May 1, 2017

Mei Mosi 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiombewa na Askofu Isaac Aman katika Kanisa la Kuu la Katoliki Parokia ya Kristo Mfalme Moshi mjini alikohudhuria ibada ya Jumapili Aprili 30, 2017. Leo ni siku ya wafanyakazi duniani kitaifa inaadhimishwa...