
Wednesday, May 31, 2017
Zitto atoa ya moyoni kifo cha Ndesamburo

Philemon Ndesamburo, enzi za uhai wake
“Salaam zangu za rambirambi Kwa dada yangu mpenzi
Lucy Owenya Kwa kupotelewa na baba mzazi Mzee Philemon Kiwelu Ndesamburo. Ni
msiba mkubwa Kwa watu wa Kilimanjaro na hasa Moshi Mjini ambapo Mzee Ndesa Pesa
alikuwa mwakilishi wake...
Monday, May 29, 2017
Kufuturisha kwapigwa marufuku Zanzibar

Futari ya Mfungo wa Ramadhani
Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar imepiga
marufuku kuftarisha katika
kipindi hiki cha
mwezi mtukufu wa
Ramadhan pamoja na uuzwaji
wa ...
Monday, May 22, 2017
Vituko vya Machinjioni: Vingunguti
Wanunuzi wawili
wa nyama ambao majina yao
hayakufahamika mara moja katika machinjio ya Vingunguti jijini Dar es Salaam
wakirushiana makonde katika eneo lenye kinyesi cha ng’ombe na mbuzi baada ya
kutofautiana katika uchaguaji wa nyama huku mmojawapo akiwaamulia wasiendelee
kupigana.
Wengi...
Bata wana tabia gani?
Bata dume wa kufugwa nchini Tanzania akiwa amesimamia mguu mmoja, ikiwa ni sehemu yake ya starehe.
Mwili wote wa bata kwa ujumla ni mrefu na mpana, na bata wengi kwa
wastani wana shingo fupi lakini shingo la bata bukini na bata-maji ni ndefu.
Umbo la mwili la mabata...
Mtoto wa miaka 12 auawa, anyofolewa viungo

Ramani ya Mkoa wa Singida
MTOTO wa kike mwenye miaka 12 ameuawa mkoani Singida baada ya kunyongwa
kwa kamba ya ngozi na watu wasiojulikana, kisha mwili wake kunyofolewa baadhi
ya viungo na kutoweka navyo kwa kile kinachosadikiwa kuwa ni imani za
ushirikina.
Mtoto huyo...
Leo ni siku ya Wabaha'I

Alama ya Wabaha'I
Jumuiya ya Wa-Bahai waishio Dar es Salaam leo inaungana na jumuiya
nyingine za madhehebu hayo kote ulimwenguni kwa ajili ya kusherehekea Tangazo
la Bab.
Bahá'u'lláh_(Mírzá_Ḥusayn-`Alí_Núrí) mwaka 1868
Katika taarifa yake Mwakilishi wa Vyombo vya Habari...
Friday, May 12, 2017
Raila kufanya mkutano Mei 14 katika ngome ya Jubilee

Raila Odinga akifanya maombi Jerusalem hivi karibuni.
Mgombea urais kwa tiketi ya
Muungano wa Upinzani nchini Kenya (NASA), Raila Odinga anatarajiwa kuongoza
maelfu ya watu katika mkutano mkubwa wa kwanza akiwa na viongozi wa muungano
huo kwenye ngome za chama cha Jubilee...
Tuesday, May 9, 2017
NEC yapiga hatua elimu kwa njia ya Redio

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhani
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa wananchi walioko kwenye
halmashauri mbalimbali nchini, kuitumia vyema fursa ya utoaji wa elimu ya mpiga
kura kupitia redio kwenye halmashauri zao...
Thursday, May 4, 2017
Mizoga ya Tembo yapungua Selous Game Reserve

Mzoga wa tembo baada ya kuuliwa na majangili
MAUAJI ya tembo katika Mbuga
ya Selous yamepungua kutoka mizoga 184 hadi 84.
Hayo yanajiri wakati ambapo
tembo wawili kuuawa na wananchi hivi karibuni huku mmoja aking’olewa meno yake
katika kijiji cha Wenje Tarafa ya Nalasi...
Tuesday, May 2, 2017
Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2017

NA MWANDISHI WETU
Wanataaluma na
Wadau wa Habari nchini, hii leo wamekutana katika Kongamano la kujadili
mafanikio na changamoto zinazoikabili tasnia hiyo ikiwa ni sehemu ya
Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2017.
Kitaifa
Maadhimisho hayo yanafanyika...
Eminem ashtaki Chama Tawala cha New Zealand

WELLINGTON, NEW ZEALAND
Chama tawala cha
New Zealand kimesema hakitajibu chochote baada mwanamuziki mashuhuri wa Marekani
Eminem kukipandisha chama hicho kortini.
Eminem
Msemaji wa chama
hicho Steven Joyce amesema kwa sasa wanasubiri uamuzi wa mahakama kuhusu shtaka
hilo.
Jana...
Monday, May 1, 2017
Mei Mosi 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiombewa na Askofu Isaac Aman katika Kanisa la Kuu la Katoliki Parokia ya
Kristo Mfalme Moshi mjini alikohudhuria ibada ya Jumapili Aprili 30, 2017.
Leo ni siku ya wafanyakazi duniani kitaifa inaadhimishwa...