
Wednesday, December 21, 2022
Namna timu ya Taifa Morocco ilivyopokelewa mjini Rabat

Timu ya Taifa ya
Morocco iliiweka Afrika katika ramani ya Dunia baada ya kushika nafasi ya tatu
katika Kombe la Dunia 2022, ikitolewa na Ufaransa.
Hata hivyo
iliambulia nafasi ya nne, ikizidiwa na Croatia iliyoshika nafasi ya ta...
Conte amtaka Romero ndani ya saa 72 jijini London

Baba wa nyota wa
Tottenham na timu ya taifa ya Argentina Victor Romero ameweka bayana kuwa kocha
wa Spurs AntonioConte amemtaka nyota wake Cristian Romero kurudi London ndani
ya saa 72 baada ya kusherekea ushindi wa Kombe la Dunia alilolitwaa mnamo Desemba 18,2022.
Romero...
Tuesday, December 20, 2022
MAKTABA YA JAIZMELA: Ifahamu Christmas

Tunaposema
MERRY CHRISTMAS Maana yake ni FURAHA YA KUSANYIKO LA WAKRISTO.
Kwa hiyo
hakuna mahusiano baina ya Christmas na kuzaliwa kwake Yesu Kristo Desemba 25.
katika hili wala tusimung'unye maneno.
Nyakati
zile Dola ya Rumi ilipokuwa ikitawala dunia walikuwa wana miungu...
KDF yarahisisha mawasiliano Jeshi la Polisi
ACP Simon Maigwa Mwishoni mwa miaka ya
1970, mjasiriamali na mgunduzi wa mfumo wa simu za kiganjani nchini Marekani
Martin Cooper alisema, “Tulijua kuwa watu hawapendi kuzungumza ndani ya magari,
au nyumba; au maofisini wanataka kuzungumza
na watu wengine…Tulichokuwa...
Sunday, October 23, 2022
Watumishi Hospitali Kibong'oto wapatiwa chanjo Homa ya Ini

Hospitali Maalum ya Magonjwa Ambukizi Kibong’oto imeanza kuchukua hatua za kuwalinda Watumishi
wake dhidi ya magonjwa ambukizi kwa kuwapatia chanjo ya Homa ya Ini na kuwapima
magonjwa mengine ambayo yanaweza kuhatarisha maisha yao wakiwa kazini.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi...
Sunday, October 9, 2022
Vijana washauriwa kujitolea kuwatunza wazee
%20akimkabidi%20mhudumu%20wa%20afya%20kituo%20cha%20kulelea%20wazee%20Njoro%20Bi.%20Maria%20Hatari%20Massawe.jpg)
Kaimu Meneja wa Posta Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro Veronica Magoto (kulia) akimkabidi mhudumu wa afya kituo cha kulelea wazee Njoro Bi. Maria Hatari MassaweVijana wameshauriwa kujitolea na kuwatunza wazee katika maeneo
yao ili kupata ushauri na busara za wazee hao kwa...
Saturday, October 8, 2022
Chifu Marealle akabidhi madaraka, aonya matumizi ya fedha za UMT

Chifu Marealle (kushoto) akipokea zawadi ya kifimbo cha uchifu kutoka kwa Chifu Omary Mwariko 'Mhelamwana' walipokutana Marangu, Moshi mnamo mwezi Agosti 2022. (Picha: Maktaba)Mwenyekiti
wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) anayemaliza muda wake Chifu Frank Marealle
ameonya kuhusu...
Tuesday, September 13, 2022
JAMES MMANDA: Milioni 70 zilivyofuta ndoto zake baada ya kukatwa miguu-1

Hiki ni kisa cha kweli kilichomkuta kijana
James mkazi wa mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro…Nani alimsaliti kijana huyu
mwenye umri wa miaka 37 afike hapo alipofikia? ANKO TUNUNU anaanza katika
sehemu ya kwanza ya makala haya…
Tulipokuwa shuleni tulikuwa tukifundishwa
methali,...
Uhuru Kenyatta akabidhi madaraka kwa Ruto, sherehe zafana Kasarani

Rais wa nne
wa Kenya Uhuru Kenyatta amekabidhi madaraka kwa amani kwa Rais wa Tano wa taifa
hilo William Ruto katika tukio lililofanyika katika Uwanja wa Moi-Kasarani
jijini Nairobi.
Rais Ruto
ameapa kuitumikia Jamhuri ya Kenya kwa moyo mkunjufu na uaminifu mkubwa pasipo
kuwa...
Monday, August 29, 2022
Ngumi kufufuliwa upya Kilimanjaro

Chama cha mchezo wa ngumi, Kanda ya Kaskazini (KBA),umepania
kuurejesha mchezo huo baada ya kipindi kirefu kupotea kutokana na
vijana wengi kutokujitokeza kushiriki pambano hilo.
Katibu wa mchezo wa Ngumi mkoa wa Arusha na Mjumbe wa Taifa wa
maandalizi Ngumi...
Tuesday, August 16, 2022
Uwekezaji wa bilioni 429.1 kuboresha Bandari ya Tanga waanza kuzaa matunda
Afisa Uhusiano wa Bandari ya Tanga Peter Milanzi akizungumza na waandishi wa habari mjini Moshi kuhusu maboresho yaliyofanyika tangu mwaka 2019 hadi sasa
Uwekezaji wa bilioni 429.1 kwa ajili ya uboreshaji
wa bandari ya Tanga umeanza kuzaa matunda baada ya mkandarasi kukabidhi...