Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, December 21, 2022

Namna timu ya Taifa Morocco ilivyopokelewa mjini Rabat

Timu ya Taifa ya Morocco iliiweka Afrika katika ramani ya Dunia baada ya kushika nafasi ya tatu katika Kombe la Dunia 2022, ikitolewa na Ufaransa. Hata hivyo iliambulia nafasi ya nne, ikizidiwa na Croatia iliyoshika nafasi ya ta...

Conte amtaka Romero ndani ya saa 72 jijini London

Baba wa nyota wa Tottenham na timu ya taifa ya Argentina Victor Romero ameweka bayana kuwa kocha wa Spurs AntonioConte amemtaka nyota wake Cristian Romero kurudi London ndani ya saa 72 baada ya kusherekea ushindi wa Kombe la Dunia alilolitwaa  mnamo Desemba 18,2022. Romero...

Tuesday, December 20, 2022

MAKTABA YA JAIZMELA: Ifahamu Christmas

 Tunaposema MERRY CHRISTMAS Maana yake ni FURAHA YA KUSANYIKO LA WAKRISTO. Kwa hiyo hakuna mahusiano baina ya Christmas na kuzaliwa kwake Yesu Kristo Desemba 25. katika hili wala tusimung'unye maneno. Nyakati zile Dola ya Rumi ilipokuwa ikitawala dunia walikuwa wana miungu...

KDF yarahisisha mawasiliano Jeshi la Polisi

ACP Simon Maigwa Mwishoni mwa miaka ya 1970, mjasiriamali na mgunduzi wa mfumo wa simu za kiganjani nchini Marekani Martin Cooper alisema, “Tulijua kuwa watu hawapendi kuzungumza ndani ya magari, au  nyumba; au maofisini wanataka kuzungumza na watu wengine…Tulichokuwa...

Sunday, October 23, 2022

Watumishi Hospitali Kibong'oto wapatiwa chanjo Homa ya Ini

Hospitali Maalum ya Magonjwa Ambukizi Kibong’oto  imeanza kuchukua hatua za kuwalinda Watumishi wake dhidi ya magonjwa ambukizi kwa kuwapatia chanjo ya Homa ya Ini na kuwapima magonjwa mengine ambayo yanaweza kuhatarisha maisha yao wakiwa kazini. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi...

Sunday, October 9, 2022

Vijana washauriwa kujitolea kuwatunza wazee

Kaimu Meneja wa Posta Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro Veronica Magoto (kulia) akimkabidi mhudumu wa afya kituo cha kulelea wazee Njoro Bi. Maria Hatari MassaweVijana wameshauriwa  kujitolea na kuwatunza wazee katika maeneo yao ili kupata ushauri na busara za wazee hao kwa...

Saturday, October 8, 2022

Chifu Marealle akabidhi madaraka, aonya matumizi ya fedha za UMT

Chifu Marealle (kushoto) akipokea zawadi ya kifimbo cha uchifu kutoka kwa Chifu Omary Mwariko 'Mhelamwana' walipokutana Marangu, Moshi mnamo mwezi Agosti 2022. (Picha: Maktaba)Mwenyekiti wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) anayemaliza muda wake Chifu Frank Marealle ameonya kuhusu...

Tuesday, September 13, 2022

JAMES MMANDA: Milioni 70 zilivyofuta ndoto zake baada ya kukatwa miguu-1

Hiki ni kisa cha kweli kilichomkuta kijana James mkazi wa mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro…Nani alimsaliti kijana huyu mwenye umri wa miaka 37 afike hapo alipofikia? ANKO TUNUNU anaanza katika sehemu ya kwanza ya makala haya…   Tulipokuwa shuleni tulikuwa tukifundishwa methali,...

Uhuru Kenyatta akabidhi madaraka kwa Ruto, sherehe zafana Kasarani

 Rais wa nne wa Kenya Uhuru Kenyatta amekabidhi madaraka kwa amani kwa Rais wa Tano wa taifa hilo William Ruto katika tukio lililofanyika katika Uwanja wa Moi-Kasarani jijini Nairobi. Rais Ruto ameapa kuitumikia Jamhuri ya Kenya kwa moyo mkunjufu na uaminifu mkubwa pasipo kuwa...

Monday, August 29, 2022

Ngumi kufufuliwa upya Kilimanjaro

 Chama cha mchezo wa ngumi, Kanda ya Kaskazini (KBA),umepania kuurejesha mchezo huo baada ya kipindi kirefu kupotea  kutokana na vijana wengi kutokujitokeza kushiriki pambano hilo. Katibu wa mchezo wa Ngumi mkoa wa Arusha na Mjumbe wa Taifa wa maandalizi Ngumi...

Tuesday, August 16, 2022

Uwekezaji wa bilioni 429.1 kuboresha Bandari ya Tanga waanza kuzaa matunda

 Afisa Uhusiano wa Bandari ya Tanga Peter Milanzi akizungumza na waandishi wa habari mjini Moshi kuhusu maboresho yaliyofanyika tangu mwaka 2019 hadi sasa Uwekezaji wa bilioni 429.1 kwa ajili ya uboreshaji wa bandari ya Tanga umeanza kuzaa matunda baada ya mkandarasi kukabidhi...