Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, March 29, 2019

Macademia: Mapinduzi ya kilimo Kilimanjaro

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Wednesday, March 27, 2019

DAHIR JAMA YUSUF: Mfugaji wa Ngamia anayeibadilisha Jamii ya Ki-Maasai

BIBLIA inasema kwamba ngamia walikuwa kati ya wanyama wa kufugwa ambao Farao alimpa Ibrahimu.  Mzee Dahir Jama Yusuf akiwa na mtoto wake Ahmed kwenye zizi la Ngamia Machi 20, 2019. Wasomi wamebishana kuhusu usahihi wa kihistoria wa habari hiyo kuhusu ngamia kwa sababu...

Tuesday, March 26, 2019

Namna ‘Farming Solution App’ inavyofanya kazi

Kama ni mkulima wa zao la kahawa sasa Solidaridad imekufikia hadi mlango kupitia program yake ya ‘Farming Solution App’ ambayo utapata taarifa na kutuma taarifa zako kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu zao la kahawa lakini kwa uchache unajua Farming Solution App inavyofanya...

Solidaridad yawafikia wakulima wa zao la Kahawa Kilimanjaro

Kasi ya mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia yamewafikiwa wakulima wa kahawa mkoani Kilimanjaro kwa kuunganishwa na matumizi ya mtandao na simu kwa upataji na utoaji wa taarifa mbalimbali kuhusu zao hilo kupitia ‘Farming Solution App’.  Akizungumza katika semina...

Monday, March 25, 2019

Watakiwa kupanda miti kwenye makaburi

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...