
Friday, March 29, 2019
Macademia: Mapinduzi ya kilimo Kilimanjaro

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
...
Wednesday, March 27, 2019
DAHIR JAMA YUSUF: Mfugaji wa Ngamia anayeibadilisha Jamii ya Ki-Maasai

BIBLIA inasema kwamba ngamia
walikuwa kati ya wanyama wa kufugwa ambao Farao alimpa Ibrahimu.
Mzee Dahir Jama Yusuf akiwa na mtoto wake Ahmed kwenye zizi la Ngamia Machi 20, 2019.
Wasomi
wamebishana kuhusu usahihi wa kihistoria wa habari hiyo kuhusu ngamia kwa
sababu...
Tuesday, March 26, 2019
Namna ‘Farming Solution App’ inavyofanya kazi
Kama ni mkulima
wa zao la kahawa sasa Solidaridad imekufikia hadi mlango kupitia program yake
ya ‘Farming Solution App’ ambayo utapata taarifa na kutuma taarifa zako kuhusu
masuala mbalimbali yanayohusu zao la kahawa lakini kwa uchache unajua Farming
Solution App inavyofanya...
Solidaridad yawafikia wakulima wa zao la Kahawa Kilimanjaro
Kasi ya
mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia yamewafikiwa wakulima wa kahawa mkoani
Kilimanjaro kwa kuunganishwa na matumizi ya mtandao na simu kwa upataji na
utoaji wa taarifa mbalimbali kuhusu zao hilo kupitia ‘Farming Solution App’.
Akizungumza
katika semina...