Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Tuesday, January 31, 2017

Alfred Shauri aongoza kidato cha nne 2016

NA MWANDISHI WETU Gazeti la Tanzania Daima Februari 1, 2016 MWANAFUNZI wa sekondari ya Feza Boys ya jijini Dar es Salaam Alfred Shauri ameongoza katika ufaulu wa mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba mwaka jana.  Aidha Cynthia Mchechu wa shule ya sekondari...

NECTA yatangaza matokeo kidato cha nne 2016

NA MWANDISHI WETU BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne na maarifa uliofanyika Novemba mwaka jana huku Dar es Salaam ikionekana kufanya vibaya kuliko mikoa mingine nchini.  Aidha imebainika katika matokeo hayo ufaulu...

Friday, January 27, 2017

Shahidi No. 4 ashindwa kufika kesi ya Scorpion

NA DIANA JOACHIM Gazeti la Jamboleo Januari 27, 2017 kuhusu Salum Njwete 'Scorpion' KESI inayomkabili Salum Njwete (34), maarufu Scorpion imeahirishwa tena katika mahakama ya wilaya ya Ilala baada ya shahidi namba nne kushindwa kufika mahakamani hapo. Mwendesha Mashtaka...

Mfanyabiashara wa Madini kortini kwa kumjeruhi mkewe

NA MWANDISHI WETU NA MWANDISHI WETU Mfanya biashara maarufu wa madini  jijini Arusha, Venance  Moshi (30), amepandishwa kortini katika kesi inayomkabili ya kushambulia na kumjeruhi  mkewe kwa chupa usoni ,wakiwa wanasuluhishwa na baba mkwe, mgogoro...

Wednesday, January 25, 2017

Jela miaka 30 na vifungo vya maisha kwa kubaka na unyang'anyi

NA MWANDISHI WETU WAKAZI watatu wa Kipunguni B, Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na kifungo cha maisha baada ya kukutwa na hatia ya kubaka kwa genge na unyang’anyi wa kutumia silaha. Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi wa Mahakama Wilaya ya Ilala Juma Hassan kwa washtakiwa Jackson Simon, Kalambo Matiko na...

Umeme wakatika ghafla Dar

NA MWANDISHI WETU TANESCO Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), limesema maeneo yote yaliyounganishwa kwenye mfumo wa taifa wa kusambaza umeme asubuhi ya leo yaliathirika na kukatika kwa ghafla kwa umeme kutokana na hitilafu katika mtambo wa kupooza na kusambaza...

Monday, January 23, 2017

Mwenyekiti wa Kitongoji Mapinga lawamani

NA MWANDISHI WETU Mojawapo ya nyumba eneo la Kimele, Mapinga WAKAZI wa kitongoji cha Kimele, kijiji cha Mapinga Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wamemtupia lawama mwenyekiti wa kitongoji hicho kuwa amekuwa akishirikiana na baadhi ya watu wenye nia mbaya katika mgogoro wa...

Wednesday, January 18, 2017

Watanzania na Mfuko wa Bima ya Afya

NA MWANDISHI WETU Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dar es Salaam WATANZANIA wametakiwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili waweze kupata matibabu kwa unafuu kutokana na gharama kuwa juu hususani magonjwa ya moyo. Akizungumza wakati wa kuiaga timu...

Monday, January 16, 2017

Wagomea Shilingi 3,000 ya taka

NA MWANDISHI WETU Wakazi wa Relini, Mtoni wakifuatilia hotuba ya diwani Mwakyembe. WAKAZI wa Kata ya Mtoni Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam wameigomea halmashauri ya wilaya hiyo kutozwa shilingi 3,000 ya taka kwa kila kaya kwa mwezi ambayo wameanza kuitoza na badala...