Tuesday, January 31, 2017
Alfred Shauri aongoza kidato cha nne 2016
NA
MWANDISHI WETU
Gazeti la Tanzania Daima Februari 1, 2016
MWANAFUNZI
wa sekondari ya Feza Boys ya jijini Dar es Salaam Alfred Shauri ameongoza
katika ufaulu wa mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba mwaka jana.
Aidha
Cynthia Mchechu wa shule ya sekondari...
NECTA yatangaza matokeo kidato cha nne 2016

NA
MWANDISHI WETU
BARAZA
la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
na maarifa uliofanyika Novemba mwaka jana huku Dar es Salaam ikionekana kufanya vibaya
kuliko mikoa mingine nchini.
Aidha
imebainika katika matokeo hayo ufaulu...
Friday, January 27, 2017
Shahidi No. 4 ashindwa kufika kesi ya Scorpion

NA DIANA JOACHIM
Gazeti la Jamboleo Januari 27, 2017 kuhusu Salum Njwete 'Scorpion'
KESI inayomkabili Salum Njwete (34), maarufu Scorpion imeahirishwa tena
katika mahakama ya wilaya ya Ilala baada ya shahidi namba nne kushindwa kufika
mahakamani hapo.
Mwendesha Mashtaka...
Mfanyabiashara wa Madini kortini kwa kumjeruhi mkewe

NA MWANDISHI WETU
NA MWANDISHI WETU
Mfanya biashara maarufu wa madini
jijini Arusha, Venance Moshi (30),
amepandishwa kortini katika kesi inayomkabili ya kushambulia na kumjeruhi mkewe kwa chupa usoni ,wakiwa wanasuluhishwa
na baba mkwe, mgogoro...
Wednesday, January 25, 2017
Jela miaka 30 na vifungo vya maisha kwa kubaka na unyang'anyi
NA MWANDISHI WETU
WAKAZI watatu wa Kipunguni B, Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam
wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na kifungo cha maisha baada ya kukutwa
na hatia ya kubaka kwa genge na unyang’anyi wa kutumia silaha.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi wa Mahakama Wilaya ya Ilala Juma
Hassan kwa washtakiwa Jackson Simon, Kalambo Matiko na...
Umeme wakatika ghafla Dar

NA MWANDISHI WETU
TANESCO
Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), limesema maeneo yote
yaliyounganishwa kwenye mfumo wa taifa wa kusambaza umeme asubuhi ya leo
yaliathirika na kukatika kwa ghafla kwa umeme kutokana na hitilafu katika
mtambo wa kupooza na kusambaza...
Monday, January 23, 2017
Mwenyekiti wa Kitongoji Mapinga lawamani
NA MWANDISHI WETU
Mojawapo ya nyumba eneo la Kimele, Mapinga
WAKAZI
wa kitongoji cha Kimele, kijiji cha Mapinga Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani
wamemtupia lawama mwenyekiti wa kitongoji hicho kuwa amekuwa akishirikiana na
baadhi ya watu wenye nia mbaya katika mgogoro wa...
Wednesday, January 18, 2017
Watanzania na Mfuko wa Bima ya Afya
NA MWANDISHI WETU
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dar es Salaam
WATANZANIA
wametakiwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili waweze kupata
matibabu kwa unafuu kutokana na gharama kuwa juu hususani magonjwa ya moyo.
Akizungumza
wakati wa kuiaga timu...
Monday, January 16, 2017
Wagomea Shilingi 3,000 ya taka
NA MWANDISHI WETU
Wakazi wa Relini, Mtoni wakifuatilia hotuba ya diwani Mwakyembe.
WAKAZI wa Kata ya
Mtoni Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam wameigomea halmashauri ya wilaya
hiyo kutozwa shilingi 3,000 ya taka kwa kila kaya kwa mwezi ambayo wameanza
kuitoza na badala...