Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, August 31, 2016

16 kortini kwa kukutwa na gongo

NA MWANDISHI WETU Pombe haramu ya Gongo katika hatua za awali WATU 15 wamepandishwa katika mahakama ya mwanzo ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa kukutwa na pombe haramu ya gongo kinyume na sheria za nchi. Wakisomewa mashtaka na Karani Blanka Shayo mbele ya Hakimu Mkazi Matrona...

Tuesday, August 30, 2016

Kondakta kortini kwa kutukana Mwalimu

NA JABIR JOHNSON Mwalimu akifundisha darasani (Picha ya Mtandao) KONDAKTA wa daladala mkazi wa Vingunguti Kiwalani Nuhu Omary (32), jijini Dar es Salaam amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Ilala kwa kosa la kuwatukana walimu. Akisomewa mashtaka na Karani Blanka...

Wizi wa madini wawafikisha kortini

ILALA, DAR ES SALAAM Madini aina ya Natural Opal WAKAZI watatu wa Buguruni jijini Dar es Salaam akiwamo mganga wa kienyeji wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa kujipatia madini yenye thamani ya Sh. Milioni 500 kwa udanganyifu. Mwendesha Mashtaka Sylivia...

Matusi yampandisha kizimbani

NA MWANDISHI WETU MKAZI wa Sikukuu jijini Dar es Salaam Athuman Iddi (24) amepandishwa katika mahakama ya mwanzo Ilala kwa kosa la kumtukana matusi ya nguoni Askari wa Jeshi la Polisi. Akisomewa mashtaka na karani Blanka Shayo mbele ya Hakimu Mkazi Matrona Luanda ilidaiwa...

Monday, August 29, 2016

Fundi seremala kizimbani kwa wizi

NA DIANA JOACHIM, TUDARCO FUNDI seremala aliyefahamika kwa jina la Mrisho Iddi (29) mkazi wa Mchikichini amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa kosa la kuiba pochi iliyokuwa na dola 3000. Akisomewa mashtaka na karani Blanka Shayo mbele ya Hakimu...

Kortini kwa kukutwa na Heroine

ILALA, DAR ES SALAAM MKAZI wa Buguruni kwa Mnyamani jijini Dar es Salaam Mbaraka Ndambwe (22) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Ilala kwa kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroine. Mwendesha mashtaka Chesensi Gavyole mbele ya Hakimu Mkazi Flora Haule alidai...

Friday, August 26, 2016

Kortini kwa wizi kontena la Mil. 160

NA JABIR JOHNSON WATU watatu wamepandishwa kortini katika mahakama ya wilaya ya Ilala jijini hapa wakikabiliwa na makosa ya kula njama na kujipatia mali kwa udanganyifu ikiwamo wizi wa kontena lenye thamani ya Sh. Milioni 160 Wakisomewa mashtaka na Mwendesha Mashtaka Sylivia...

Kizimbani kwa kuvuruga ibada

ILALA, DAR ES SALAAM WATU 10 wamepandishwa kizimbani kwa kuvuruga ibada ya waumini wa Kanisa la Moravian Parishi ya Kitunda jijini hapa. Wakisomewa mashtaka na Mwendesha Mashtaka Sylivia Mitanto  mbele ya Hakimu Wilberforce Luhwago ilidaiwa washtakiwa walitenda...

Thursday, August 25, 2016

Wizi wa Sh. Milioni 13 wamtupa jela miaka 4

NA DIANA JOACHIM, TUDARCO MKAZI wa Lumo, Ilala jijini hapa Ally Juma  (25) ametupwa jela miaka minne baada ya kukutwa na kosa la wizi wa Sh. 13,500,000 mali ya Come and Call Co. Ltd Akisomewa mashtaka na Mwendesha Mashtaka Florida Wenceslaus mbele ya Hakimu Mkazi...

Wednesday, August 24, 2016

Wembe wampeleka kortini, sahani zamtupa jela miezi minane

NA JEMA MAKAMBA KIJANA aliyefahamika kwa jina la Chande Rashid (20) amepandishwa kortini katika Mahakama ya Mwanzo Ilala jijini Dar es Salaam kwa kosa la wizi na kudhuru mwili. Akisomewa mashtaka na karani Lucy Lutabazi mbele ya Hakimu Asha Mpunga ilidaiwa mshtakiwa alitenda kosa...

Kortini kwa ubakaji mtoto miaka 5

ILALA, DAR ES SALAAM MKAZI wa Kitunda jijini Dar es Salaam Damian Leonard (18) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa kosa la ubakaji. Akisomewa makosa na Mwendesha Mashtaka Sylivia Mitanto mbele ya Hakimu Mkazi Wilberforce Luhwago ilidaiwa Mei...

Monday, August 22, 2016

Kortini kwa kuchomoa Sh.200,000/-

NA MAGRETH MTAFI MKAZI wa Magomeni Thadei Agostino(35) amefikishwa mahakama ya mwanzo Ilala kwa kukabiliwa na mashtaka ya kumchomolea Seif Mohamed kiasi cha shilingi 200,000. Akisomewa mashtaka hayo mbele ya Hakimu mkazi ya mahakama  hiyo, Asha Mpunga ,Karani wa...

Jela miaka 3 kwa Wizi

ILALA, DAR ES SALAAM MKAZI wa Unguja Migombani Said Rashid Said (26) amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu na mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam baada ya kukutwa na hatia ya wizi  wa gari mali ya Mohamed Ibrahim Ismail.    Mwendesha mashtaka mahakamani...

Saturday, August 20, 2016

Abaka mwanafunzi darasa la pili Bagamoyo

BAGAMOYO, PWANI Binti aliyebakwa na mtuhumiwa Umbuje MWANAJESHI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Ramadhani Kimweri ‘Umbuje’ anatuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka tisa wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Mtambani wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Uchunguzi...

Friday, August 19, 2016

Ang’atwa na bosi akidai Sh. 250,000/-

Ilala, Dar es Salaam MFANYABIASHARA aliyefahamika kwa jina la Kalunde Waijuba mwenye miaka 42 mkazi wa Kisota, Kigamboni jijini Dar es Salaam amepandishwa kortini katika mahakama ya Hakimu Mkazi Ilala akituhumiwa kufanya shambulio la kudhuru mwili. Akisoma mashtaka Karani...