
Wednesday, August 31, 2016
16 kortini kwa kukutwa na gongo

NA MWANDISHI WETU
Pombe haramu ya Gongo katika hatua za awali
WATU 15 wamepandishwa katika mahakama ya mwanzo ya Ilala jijini Dar es
Salaam kwa kukutwa na pombe haramu ya gongo kinyume na sheria za nchi.
Wakisomewa mashtaka na Karani Blanka Shayo mbele ya Hakimu Mkazi
Matrona...
Tuesday, August 30, 2016
Kondakta kortini kwa kutukana Mwalimu
NA JABIR JOHNSON
Mwalimu akifundisha darasani (Picha ya Mtandao)
KONDAKTA wa daladala mkazi wa Vingunguti Kiwalani Nuhu Omary (32),
jijini Dar es Salaam amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Ilala kwa kosa la
kuwatukana walimu.
Akisomewa mashtaka na Karani Blanka...
Wizi wa madini wawafikisha kortini

ILALA, DAR ES SALAAM
Madini aina ya Natural Opal
WAKAZI watatu wa Buguruni jijini Dar es Salaam akiwamo mganga wa
kienyeji wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa kujipatia madini yenye
thamani ya Sh. Milioni 500 kwa udanganyifu.
Mwendesha Mashtaka Sylivia...
Matusi yampandisha kizimbani

NA MWANDISHI WETU
MKAZI wa Sikukuu
jijini Dar es Salaam Athuman Iddi (24) amepandishwa katika mahakama ya mwanzo Ilala
kwa kosa la kumtukana matusi ya nguoni Askari wa Jeshi la Polisi.
Akisomewa mashtaka
na karani Blanka Shayo mbele ya Hakimu Mkazi Matrona Luanda ilidaiwa...
Monday, August 29, 2016
Fundi seremala kizimbani kwa wizi

NA DIANA JOACHIM, TUDARCO
FUNDI seremala aliyefahamika kwa jina la Mrisho Iddi (29) mkazi wa
Mchikichini amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa
kosa la kuiba pochi iliyokuwa na dola 3000.
Akisomewa mashtaka na karani Blanka Shayo mbele ya Hakimu...
Kortini kwa kukutwa na Heroine

ILALA, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Buguruni kwa Mnyamani jijini Dar es Salaam Mbaraka Ndambwe
(22) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Ilala kwa kukutwa na
dawa za kulevya aina ya heroine.
Mwendesha mashtaka Chesensi Gavyole mbele ya Hakimu Mkazi Flora Haule
alidai...
Friday, August 26, 2016
Kortini kwa wizi kontena la Mil. 160

NA JABIR JOHNSON
WATU
watatu wamepandishwa kortini katika mahakama ya wilaya ya Ilala jijini hapa
wakikabiliwa na makosa ya kula njama na kujipatia mali kwa udanganyifu ikiwamo
wizi wa kontena lenye thamani ya Sh. Milioni 160
Wakisomewa
mashtaka na Mwendesha Mashtaka Sylivia...
Kizimbani kwa kuvuruga ibada

ILALA, DAR ES SALAAM
WATU 10 wamepandishwa kizimbani kwa kuvuruga ibada ya waumini wa Kanisa
la Moravian Parishi ya Kitunda jijini hapa.
Wakisomewa mashtaka na Mwendesha Mashtaka Sylivia Mitanto mbele ya Hakimu Wilberforce Luhwago ilidaiwa
washtakiwa walitenda...
Thursday, August 25, 2016
Wizi wa Sh. Milioni 13 wamtupa jela miaka 4

NA DIANA JOACHIM, TUDARCO
MKAZI wa Lumo, Ilala jijini hapa Ally Juma (25) ametupwa jela miaka minne baada ya
kukutwa na kosa la wizi wa Sh. 13,500,000 mali ya Come and Call Co. Ltd
Akisomewa mashtaka na Mwendesha Mashtaka Florida Wenceslaus mbele ya Hakimu
Mkazi...
Wednesday, August 24, 2016
Wembe wampeleka kortini, sahani zamtupa jela miezi minane

NA JEMA MAKAMBA
KIJANA
aliyefahamika kwa jina la Chande Rashid (20) amepandishwa kortini katika
Mahakama ya Mwanzo Ilala jijini Dar es Salaam kwa kosa la wizi na kudhuru
mwili.
Akisomewa mashtaka
na karani Lucy Lutabazi mbele ya Hakimu Asha Mpunga ilidaiwa mshtakiwa alitenda
kosa...
Kortini kwa ubakaji mtoto miaka 5

ILALA, DAR ES SALAAM
MKAZI
wa Kitunda jijini Dar es Salaam Damian Leonard (18) amepandishwa kizimbani
katika mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa kosa la ubakaji.
Akisomewa
makosa na Mwendesha Mashtaka Sylivia Mitanto mbele ya Hakimu Mkazi Wilberforce
Luhwago ilidaiwa Mei...
Monday, August 22, 2016
Kortini kwa kuchomoa Sh.200,000/-

NA MAGRETH MTAFI
MKAZI wa Magomeni Thadei Agostino(35) amefikishwa mahakama ya mwanzo
Ilala kwa kukabiliwa na mashtaka ya kumchomolea Seif Mohamed kiasi cha shilingi
200,000.
Akisomewa mashtaka hayo mbele ya Hakimu mkazi ya mahakama hiyo, Asha Mpunga ,Karani wa...
Jela miaka 3 kwa Wizi

ILALA, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Unguja Migombani Said Rashid Said (26) amehukumiwa kwenda jela
miaka mitatu na mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam baada ya kukutwa na
hatia ya wizi wa gari mali ya Mohamed
Ibrahim Ismail.
Mwendesha mashtaka mahakamani...
Saturday, August 20, 2016
Abaka mwanafunzi darasa la pili Bagamoyo

BAGAMOYO, PWANI
Binti aliyebakwa na mtuhumiwa Umbuje
MWANAJESHI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Ramadhani
Kimweri ‘Umbuje’ anatuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka tisa wa darasa la pili
katika Shule ya Msingi Mtambani wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
Uchunguzi...
Friday, August 19, 2016
Ang’atwa na bosi akidai Sh. 250,000/-

Ilala, Dar es Salaam
MFANYABIASHARA aliyefahamika kwa jina la Kalunde Waijuba mwenye miaka
42 mkazi wa Kisota, Kigamboni jijini Dar es Salaam amepandishwa kortini katika
mahakama ya Hakimu Mkazi Ilala akituhumiwa kufanya shambulio la kudhuru mwili.
Akisoma mashtaka Karani...