
Wednesday, December 28, 2016
Dk. Guydon Makulila na salamu za Mwaka Mpya 2017

ZIMEBAKI siku chache kumaliza majuma 52 ya mwaka 2016. Katika mwaka huu kuna mengi yametokea ya kuudhi,
kuhuzunisha na kufurahisha. Licha ya changamoto zote bado kuna baadhi ya watu
wamekuwa wakitambua kuwa hayo yote ni maisha.
Dk. Guydon Makulila
Kwani maisha ni
mchanganyiko...
Thursday, December 22, 2016
Happy Birthday Brayan Kuzenza
NA MWANDISHI WETU
Brayan Kuzenza
Brian Kuzenza amesheherekea miaka mitatu (3) ya kuzaliwa kwake.
Hafla hiyo ilifanyika katika nyumba ya bibi yake Magdalene Mdai katika kitongoji cha Mpakani, Kibondeni-Mbagala jijini Dar es Salaam. Ndugu, jamaa, marafiki walihudhuria...
Tuesday, December 20, 2016
‘Rushwa ya ngono sasa basi’
NA JEMAH MAKAMBA
Afisa Maendeleo ya Jamii wa wilaya ya Chalinze Anthony Nyange (aliyesimama) akizungumza katika semina hiyo
JAMII imetakiwa kuungana na
taasisi zisizo za kiserikali katika vita dhidi ya rushwa ya ngono katika maeneo
ya kazi ili kuiweka nchi katika nafasi...
Sunday, November 20, 2016
Guninita atoa rai Chadema
NA
MWANDISHI WETU
John Guninita
MAKATIBU wa Wilaya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wametakiwa kujenga utaratibu wa kuwaita makatibu wakuu wa kata katika wilaya zao na kuwapa taarifa za mapato na matumizi ili kurahisisha utendaji wa chama bila manung’uniko.
Katika...
Tuesday, October 25, 2016
Kizimbani kwa wizi wa magodoro Aga Khan

NA JABIR JOHNSON
WATU wawili wamepandishwa kortini katika mahakama ya Wilaya ya
Ilala jijini Dar es Salaam kujibu mashtaka kwa kosa la wizi wa vitu mbalimbali
vya Hospitali ya Aga Khan yakiwamo magodoro 20.
Wakisomewa mashtaka yao jana na Mwendesha Mashtaka Grace Mwanga
mbele...
Kizimbani kwa kubaka

ILALA, DAR ES
SALAAM
MKAZI wa Majohe Plaza jijini Dar es Salaam Ally Ramadhani
(23) amepandishwa kizimbani kwa kosa la kumbaka msichana wa miaka 17.
Akisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Flora Mjaya,
mwendesha mashtaka Ashura Mnzava alidai Mei 5 mwaka huu eneo la Kinyerezi
mshtakiwa...
Monday, October 24, 2016
Dk. Mashinji Oktoba 23

Alichokisema Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA), Dk.Vincent Mashinji baada ya uchaguzi wa meya wa Kinondoni,
Oktoba 23, 2016 kuhusu kufungua kesi mahakamani.
“Chadema hakitakuwa
chama cha kulalamika…hatutakuwa walalamishi tena tutakusanya ushahidi…Hii...
Sunday, October 23, 2016
Sita kortini kwa unyang’anyi
NA MWANDISHI WETU
WATU sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya
Ilala jijini Dar es Salaam kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha.
Mbele ya Hakimu Mkazi John Msafiri, Mwendesha Mashtaka
Sylivia Mitanto alidai Ramadhani Athumani (18), Jabil Muhando (17), Khalifan
Humba (16), Nurdin Muhando (17), Abdul Omary (15) na Hamad Mohamed...
Friday, October 21, 2016
Dereva wa daladala jela miaka 7

ILALA, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam imemhukumu dereva wa
daladala mkazi wa Ubungo wa External Mohamed Amir Ramadhani kwa wizi wa Sh.
6,700,000.
Akisoma hukumu hiyo jana Hakimu Mkazi Catherine Kiyoja alisema ushahidi
wa mahakama umethibitisha...
Thursday, October 20, 2016
‘Scorpion’ afunguliwa upya mashtaka, abadilishiwa hakimu
NA
JABIR JOHNSON
Salum Njewete 'Scorpion' akitolewa nje ya ukumbi wa mahakama ya Wilaya ya Ilalajijini Dar es Salaam jana chini ya ulinzi mkali baada ya kusomewa mashtaka upya.
MSHTAKIWA
wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha Salum Njwete (34) ‘Scorpion’ amefutiwa...
Wednesday, October 19, 2016
‘Panya Road’ afufuka mochwari

TEMEKE, DAR ES
SALAAM
MKAZI wa Buza wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Isaack
Ernest (16), miongoni mwa wahalifu wa kundi la ‘Panya Road’ amefufuka katika
Chumba cha Kuhifadhi Maiti cha Hospitali ya Temeke siku chache baada ya
kufikishwa hapo kama maiti.
Tukio hilo...
‘Scorpion’ kupandishwa korti leo

NA MWANDISHI WETU
Salum Njewete
MSHTAKIWA wa unyang’anyi wa kutumia silaha Salum Njwete (34) maarufu
Scorpion anatarajiwa kupandishwa tena katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini
Dar es Salaam leo.
Scorpion anapandishwa kortini kwa mara ya tatu baada ya kesi yake
kuahirishwa...
Tuesday, October 18, 2016
Jela miaka 30 kwa kubaka mlemavu
ILALA, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Wilaya Ilala jijini hapa imemhukumu kifungo cha miaka 30
jela mkazi wa Pugu Bangulo Mathayo Mtanga (20) kwa kosa la kumbaka binti wa
miaka 14.
Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu Mkazi Florah Haule alisema kesi hiyo
ilifika mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Julai 21, 2015 na mshtakiwa alitenda
kosa hilo Mei 28, 2015...
Monday, October 17, 2016
Shahidi wa tukio la wizi Tabata Bima asimulia

ILALA, DAR ES SALAAM
SHAHIDI namba moja wa tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha
lililotokea Tabata Bima jijini Dar es Salaam Antimi Kimati ameiambia Mahakama ya
Wilaya ya Ilala kuwa alimwona mtuhumiwa namba moja Amir Mohamed ‘Songambele’
akiwa na bunduki siku ya tukio.
Kesi...
Thursday, October 13, 2016
Dk. Didas Masaburi is no more

CHANIKA, DAR ES SALAAM
Meya wa zamani wa Jiji
la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi amefikwa na umauti jana majira ya saa tatu
na nusu usiku katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa.
Taarifa za kifo chake
zimethibitishwa na ndugu yake, Dk. Makongoro Mahanga...