
Tuesday, June 3, 2025
Sakata la Askofu Gwajima

Jeshi la Polisi limezua gumzo usiku wa kuamkia leo baada ya kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wakati wa ibada ya maombi ya usiku maarufu kama mkesha.Tukio hilo lililotokea majira ya saa nne za usiku, wa tarehe 2 Juni 2025...
Monday, May 19, 2025
KESI YA TUNDU LISSU: Bashasha, Nderemo, Vifijo vyatawala Mahakama ya Kisutu

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu muda mchache kabla ya kesi kuanza mnamo tarehe 19 Mei 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. (Picha na; MTANDAO)Bashasha, nderemo, na vifijo vimedhihirika kwa maelfu...
Sunday, May 18, 2025
Papa Leo XIV achagua kuishi Vatican Apostolic Palace, aikacha Santa Marta Motel

Baada ya kuchaguliwa kuliongoza Kanisa Katoliki duniani Papa
Leo XIV ameanza rasmi kuishi katika nyumba ya kipapa iliyopo Vatican.
Wengi walikuwa na maswali kuhusu suala hilo kama atafuata
nyayo za mtangulizi wake Papa Francis aliyekuwa akiishi pasipo anasa katika
Nyumba za...
Saturday, May 10, 2025
Ifahamu Historia ya Mwanaharakati wa Tanzania; Mdude Nyagali

Mdude NyagaliDoB: 25 Agosti 1987PoB: Isongole, IlejeKatika historia ya mataifa mbalimbali duniani, huwa kuna watu wanaojitokeza kama mashujaa wa fikra mbadala, wakijitoa kwa ajili ya kuhimiza haki, uwajibikaji, na demokrasia. Nchini Tanzania, jina la Mdude Nyagali, maarufu kama...
Monday, April 28, 2025
PAPA FRANCIS (1936-2025): Papa wa Kwanza, nje ya Ulaya tangu Karne ya 8; azikwa...R.I.P

Papa Francis (jina la kuzaliwa: Jorge Mario Bergoglio) alizaliwa tarehe 17 Desemba 1936 huko Buenos Aires, Argentina. Alikuwa Papa wa 266 wa Kanisa Katoliki, na alichaguliwa kuwa Papa tarehe 13 Machi 2013.Papa Francis alifariki dunia tarehe 21 Aprili 2025 (Jumatatu ya Pasaka)...
Wednesday, April 23, 2025
Camerlengo Kadinali Kelvin Farrell ni nani?

Wakati dunia ikitoa machozi kwa kuondokewa na Papa Francis mnamo Jumatatu ya Aprili 21, 2025; kuna mtu asiyefahamika sana na maelfu ya wafuatiliaji wa masuala ya dini ya Katoliki mwenye asili ya Ireland aliyeishi muda mwingi nchini Marekani kabla ya kurudishwa makao makuu ya...
Sunday, April 20, 2025
LILIAN KITHEE: Mwanamke Shujaa wa Gurudumu kutoka Kili Red Bikers, Kilimanjaro
By JAIZMELAApril 20, 2025AFRIKA, BURUDANI, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABA, MICHEZONo comments

TASNIA YA UJASIRI NA UZALENDO: MWANAMKE AENDESHAE BAISKELI ZAIDI YA KILOMITA 1000 KUHAMASISHA MASUALA YA RED CROSS.
Katika jamii ya sasa inayokumbwa na changamoto mbalimbali za kijamii, kiuchumi na kiafya, kuna haja ya kuwa na watu wanaojitolea kwa hali na mali ili kuleta...
Tuesday, April 15, 2025
MMFA yapokea marekebisho ya Uwanja wa Railway Moshi; Meya Kidumo apewa maua yake

Marekebisho ya Uwanja wa Railway uliopo Njoro katika Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi ukifanyiwa marekebishwa kwa makatapira ikiwa ni mwendelezo wa kuinua vipaji vya soka kwa kuboresha miundombinu ikiwamo maeneo ya kuchezea yaani pitch. Meya wa Manispaa ya Moshi Injinia...
Sunday, April 13, 2025
Freeman Mbowe: Usiangalie siasa kama burudani; Siasa ni Maisha yako...

“Safari ya Ukombozi wa Nchi yetu imekuwa ngumu, kwasababu
watu hamko SERIOUS..Siasa imekuwa kama kitu cha mlipuko wakati wa Kampeni;
kampeni zikiisha watu wanalegea, wanadhirika…tumekuwa na tabia kuhusudu na
kuwaabudu viongozi, tunawasujudu viongozi; tunasahau sana watu wa Tanzania...
Thursday, April 3, 2025
KIBONG’OTO: Kutoka kituo cha Utafiti wa Kahawa hadi Hospitali Maalum ya Taifa ya Magonjwa Ambukizi
By JAIZMELAApril 03, 2025AFRIKA, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABANo comments

Mpaka mwaka 1882 katika bara la Ulaya mtu mmoja
kati ya watu saba alikuwa anakufa kwa ajili ya ugonjwa wa Kifua Kikuu ambapo
tarehe 4 Machi 1882 Mjerumani wa Chuo Kikuu cha Gottingen Dkt. Robert Koch
alitangaza kugundua kimelea kinachosababisha ugonjwa huo na kukipa jina...
Monday, March 17, 2025
Godbless Lema: Wafanyabiashara wa Kichina wameleta ugumu kwa Wafanyabiashara Wazawa
By JAIZMELAMarch 17, 2025AFRIKA, KIMATAIFA, KIONJO, KITAIFA, MAKALA, MAKALA NA SIMULIZI, MAKTABANo comments

Godbless Lema, mbunge wa zamani Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema; mnamo tarehe 21 Januari 2025 aliteuliwa rasmi kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho cha upinzani nchini Tanzania; baada ya Tundu Lissu kushika nafasi ya Uenyekiti. (Picha na MAKTABA/Jaizmela)Chama...