Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, March 17, 2025

Godbless Lema: Wafanyabiashara wa Kichina wameleta ugumu kwa Wafanyabiashara Wazawa

 Godbless Lema, mbunge wa zamani Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema; mnamo tarehe 21 Januari 2025 aliteuliwa rasmi kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho cha upinzani nchini Tanzania; baada ya Tundu Lissu kushika nafasi ya Uenyekiti. (Picha na MAKTABA/Jaizmela)Chama...

Saturday, March 8, 2025

Unywaji wa Soda watia fora wanawake Moshi DC

 Mashindano ya unywaji wa soda, ingawa yanaonekana kuwa ya kufurahisha na ya kuburudisha, yana manufaa machache katika muktadha wa afya na ustawi. Hata hivyo, kuna baadhi ya faida zinazoweza kupatikana kutokana na mashindano haya: Burudani na furaha: Mashindano haya hutoa...

Mchezo wa Mayai unatoa Taswira gani Moshi DC

Michezo kama kukimbia na yai katika kijiko mdomoni hutoa taswira ya michezo ya kufurahisha na ya kuburudisha. Inaonekana kama mchezo wa kijamii unaolenga kushirikisha watu kwa furaha na shindano la kirafiki. Huu ni mchezo ambao hufanya washiriki kuwa na umakini wa juu na udhibiti,...

Mbio za Magunia kivutio Siku ya Wanawake Moshi DC 2025

 Michezo kama hii inaweza kuonekana kama sehemu ya shughuli zinazohusiana na majukumu ya kijinsia, ambapo wanawake wanaweza kutazamwa kama wahusika wa kufanya kazi au majukumu ya familia na jamii. Hata hivyo, baadhi ya wanawake wanaweza kuona michezo ya aina hii kama njia...

Wanawake Moshi DC watoana Jasho kukimbiza kuku

 Kama michezo mingine, kukimbiza kuku kunaweza pia kuwa na ushindani na kutoa nafasi kwa wanawake kuonyesha umakini, ustadi, na ari ya kushinda. Hii inaweza kuleta taswira ya nguvu, juhudi, na kujitol...

Mo Dewji bilionea wa 1588 duniani 2025, Tajiri pekee Orodha ya Forbes kutoka Tanzania

Kwa mujibu wa Forbes inasema tajiri namba moja nchini Tanzania Mohammed Dewji (49) maarufu Mo katika nafasi za mabilionea mwaka 2025 ni 1588. Mo ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa METL amekuwa akifanya kazi Afrika Mashariki na Kati katika nchi za Kenya, Ethiopia, Uganda na Tanzania. Hadi...

Thursday, March 6, 2025

Wanawake Moshi DC wazuru Gereza la Karanga; Wabubujikwa na machozi…

 Baadhi ya wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi wakikabidhi mahitaji kwa ajili ya Wafungwa na Mahabusu wa Gereza la Karanga, Moshi katika ziara mnamo tarehe 6 Machi 2025. Msaada huo wa Hali na Mali ulipokelewa na SSP Rehema J. Okello kwa niaba ya Mkuu wa Gereza hilo....

Jamii yatakiwa kutofumbia macho Ukatili wa Kijinsia; Moshi DC yashughulikia kesi 16 ndani ya miezi sita

Baadhi ya wanawake katika Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wakionyesha nyuso za furaha kudhihirisha uwepo wao na matamkombalimbali kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika kila mwaka Machi 8. Mnamo Machi 5, 2025 wanawake wa Halmshauri ya Wilaya ya Moshi walikusanyika...

Wednesday, February 26, 2025

Kwanini Filbert Bayi bado yu vinywani mwa Wanigeria?

 Mvuto wa riadha si kwamba ni mchezo pekee wenye usafi, haki, usahihi na uzuri; haiba yake halisi ni kwamba ni binadamu sana. Wakati wanariadha wanashindana dhidi ya wengine, kila mmoja anapigania kufanya bora kabisa dhidi ya udhaifu wao wenyewe. Baada ya kushinda basi...

Tuesday, February 4, 2025

Bweni la wanafunzi Kaloleni Islamic Seminary laungua moto

Chumba cha tatu cha Bweni la Makka katika shule ya Kaloleni Islamic Smeinary baada ya kuzimwa kwa moto. Picha na Jabir Johnson/JAIZMELA correspondentZaidi ya wanafunzi 50 wa kike, Shule ya Sekondari ya Kaloleni Islamic ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika kuungua na...

Saturday, February 1, 2025

Watatu wafariki dunia papo hapo kwa ajali mjini Moshi

 Watu watatu wamefariki dunia kutokana na ajali iliyohusisha gari dogo na mabasi mawili ya Abiria mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, kwa kile kinasadikika ni mwendokasi na kuovertake. Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro lilifika eneo la Kaanan, mjini hapa ilipotokea ajali hiyo...

Thursday, January 30, 2025

MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN 2025: Kushindwa kuandika Wosia kumetajwa chanzo cha migogoro ya ardhi na mirathi

Wakili Boniface MwabukusiRais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)Kushindwa kuandika wosia kumetajwa kama chanzo cha migogoro ya ardhi na mirathiAkizungumza katika uzinduzi wa wiki ya sheria mnamo Januari 29, 2025 mkoani Kilimanjaro Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika...

Monday, January 27, 2025

Yuji ‘Gump’ Suzuki awasili Cape Town (SA) kwa mguu, baada ya siku 210

Yuji "Gump" Suzuki mnamo Januari 26, 2025 jijini Cape Town baada ya kuwasili akihitimisha safari yake ya kilometa 6,000 kutoka Nairobi, Kenya. Yuji alitumia miezi saba kutoka Juni 2024 hadi Januari 26, 2025.“Hayo ni Maisha Yangu”; alisikika Mjapan mmoja akitamka mnamo Januari...