Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, April 28, 2025

PAPA FRANCIS (1936-2025): Papa wa Kwanza, nje ya Ulaya tangu Karne ya 8; azikwa...R.I.P

Papa Francis (jina la kuzaliwa: Jorge Mario Bergoglio) alizaliwa tarehe 17 Desemba 1936 huko Buenos Aires, Argentina. Alikuwa Papa wa 266 wa Kanisa Katoliki, na alichaguliwa kuwa Papa tarehe 13 Machi 2013.Papa Francis alifariki dunia tarehe 21 Aprili 2025 (Jumatatu ya Pasaka)...

Wednesday, April 23, 2025

Camerlengo Kadinali Kelvin Farrell ni nani?

Wakati dunia ikitoa machozi kwa kuondokewa na Papa Francis mnamo Jumatatu ya Aprili 21, 2025; kuna mtu asiyefahamika sana na maelfu ya wafuatiliaji wa masuala ya dini ya Katoliki mwenye asili ya Ireland aliyeishi muda mwingi nchini Marekani kabla ya kurudishwa makao makuu ya...

Sunday, April 20, 2025

LILIAN KITHEE: Mwanamke Shujaa wa Gurudumu kutoka Kili Red Bikers, Kilimanjaro

 TASNIA YA UJASIRI NA UZALENDO: MWANAMKE AENDESHAE BAISKELI ZAIDI YA KILOMITA 1000 KUHAMASISHA MASUALA YA RED CROSS. Katika jamii ya sasa inayokumbwa na changamoto mbalimbali za kijamii, kiuchumi na kiafya, kuna haja ya kuwa na watu wanaojitolea kwa hali na mali ili kuleta...

Tuesday, April 15, 2025

MMFA yapokea marekebisho ya Uwanja wa Railway Moshi; Meya Kidumo apewa maua yake

 Marekebisho ya Uwanja wa Railway uliopo Njoro katika Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi ukifanyiwa marekebishwa kwa makatapira ikiwa ni mwendelezo wa kuinua vipaji vya soka kwa kuboresha miundombinu ikiwamo maeneo ya kuchezea yaani pitch. Meya wa Manispaa ya Moshi Injinia...

Sunday, April 13, 2025

Freeman Mbowe: Usiangalie siasa kama burudani; Siasa ni Maisha yako...

“Safari ya Ukombozi wa Nchi yetu imekuwa ngumu, kwasababu watu hamko SERIOUS..Siasa imekuwa kama kitu cha mlipuko wakati wa Kampeni; kampeni zikiisha watu wanalegea, wanadhirika…tumekuwa na tabia kuhusudu na kuwaabudu viongozi, tunawasujudu viongozi; tunasahau sana watu wa Tanzania...

Thursday, April 3, 2025

KIBONG’OTO: Kutoka kituo cha Utafiti wa Kahawa hadi Hospitali Maalum ya Taifa ya Magonjwa Ambukizi

Mpaka mwaka 1882 katika bara la Ulaya mtu mmoja kati ya watu saba alikuwa anakufa kwa ajili ya ugonjwa wa Kifua Kikuu ambapo tarehe 4 Machi 1882 Mjerumani wa Chuo Kikuu cha Gottingen Dkt. Robert Koch alitangaza kugundua kimelea kinachosababisha ugonjwa huo  na kukipa jina...

Monday, March 17, 2025

Godbless Lema: Wafanyabiashara wa Kichina wameleta ugumu kwa Wafanyabiashara Wazawa

 Godbless Lema, mbunge wa zamani Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chadema; mnamo tarehe 21 Januari 2025 aliteuliwa rasmi kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho cha upinzani nchini Tanzania; baada ya Tundu Lissu kushika nafasi ya Uenyekiti. (Picha na MAKTABA/Jaizmela)Chama...

Saturday, March 8, 2025

Unywaji wa Soda watia fora wanawake Moshi DC

 Mashindano ya unywaji wa soda, ingawa yanaonekana kuwa ya kufurahisha na ya kuburudisha, yana manufaa machache katika muktadha wa afya na ustawi. Hata hivyo, kuna baadhi ya faida zinazoweza kupatikana kutokana na mashindano haya: Burudani na furaha: Mashindano haya hutoa...

Mchezo wa Mayai unatoa Taswira gani Moshi DC

Michezo kama kukimbia na yai katika kijiko mdomoni hutoa taswira ya michezo ya kufurahisha na ya kuburudisha. Inaonekana kama mchezo wa kijamii unaolenga kushirikisha watu kwa furaha na shindano la kirafiki. Huu ni mchezo ambao hufanya washiriki kuwa na umakini wa juu na udhibiti,...

Mbio za Magunia kivutio Siku ya Wanawake Moshi DC 2025

 Michezo kama hii inaweza kuonekana kama sehemu ya shughuli zinazohusiana na majukumu ya kijinsia, ambapo wanawake wanaweza kutazamwa kama wahusika wa kufanya kazi au majukumu ya familia na jamii. Hata hivyo, baadhi ya wanawake wanaweza kuona michezo ya aina hii kama njia...

Wanawake Moshi DC watoana Jasho kukimbiza kuku

 Kama michezo mingine, kukimbiza kuku kunaweza pia kuwa na ushindani na kutoa nafasi kwa wanawake kuonyesha umakini, ustadi, na ari ya kushinda. Hii inaweza kuleta taswira ya nguvu, juhudi, na kujitol...

Mo Dewji bilionea wa 1588 duniani 2025, Tajiri pekee Orodha ya Forbes kutoka Tanzania

Kwa mujibu wa Forbes inasema tajiri namba moja nchini Tanzania Mohammed Dewji (49) maarufu Mo katika nafasi za mabilionea mwaka 2025 ni 1588. Mo ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa METL amekuwa akifanya kazi Afrika Mashariki na Kati katika nchi za Kenya, Ethiopia, Uganda na Tanzania. Hadi...

Thursday, March 6, 2025

Wanawake Moshi DC wazuru Gereza la Karanga; Wabubujikwa na machozi…

 Baadhi ya wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi wakikabidhi mahitaji kwa ajili ya Wafungwa na Mahabusu wa Gereza la Karanga, Moshi katika ziara mnamo tarehe 6 Machi 2025. Msaada huo wa Hali na Mali ulipokelewa na SSP Rehema J. Okello kwa niaba ya Mkuu wa Gereza hilo....