Sunday, April 13, 2025

Freeman Mbowe: Usiangalie siasa kama burudani; Siasa ni Maisha yako...


Safari ya Ukombozi wa Nchi yetu imekuwa ngumu, kwasababu watu hamko SERIOUS..Siasa imekuwa kama kitu cha mlipuko wakati wa Kampeni; kampeni zikiisha watu wanalegea, wanadhirika…tumekuwa na tabia kuhusudu na kuwaabudu viongozi, tunawasujudu viongozi; tunasahau sana watu wa Tanzania kuwa siasa ni maisha; Usiangalie siasa kama burudani…Siasa ni maisha yako; Viongozi wakeo ndio wanasababisha maisha uliyoko nayo leo…Sio Mungu; Wanasiasa na siasa wanaamua elimu yako leo; wanasiasa na siasa ndiyo imeamua ukaishia darasa la saba..

Freeman Mbowe; M/KITI Mstaafu wa Chadema.

Related Posts:

0 Comments:

Post a Comment