Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, January 26, 2024

Katja Keul kutoka Ujerumani kuhudhuria maadhimisho ya miaka 122 ya Mangi Meli Makindara

Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kutoka nchini Ujerumani Katja Keul, kutoka nchini Ujerumani, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 122 ya shujaa wa Wachagga Mangi Meli Makindara, aliyeuawa kwa kunyongwa na Wakoloni...

Wakandarasi watakiwa kuzingatia mikataba ya miradi ya Maendeleo

Wakandarasi wa miradi mbalimbali nchini wametakiwa kuzingatia mikataba waliyowekeana saini na serikali katika kuhakikisha miradi inamalizika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa kwa manufaa ya wananchi na taifa kwa ujumla. Akizungumza katika hafla ya kushuhudia utilianaji...

Thursday, January 25, 2024

Taifa Stars yatolewa, yapata funzo Afcon 2023

TIMU ya Soka ya Tanzania "Taifa Stars" imeshindwa kuendelea na michuano ya 34 ya Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya sare dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo hivyo kuvuna alama mbili tu. Matokeo hayo yaliinyima Taifa Stars kuingia katika hatua ya 16 Bora baada ya kufungwa...

Wednesday, January 24, 2024

Wafanyabiashara Kilimanjaro waonywa kuficha sukari, Wananchi kilio kizito bei ya sukari

Sukari ipo na sisi kama serikali ya mkoa tukimkamata mfanyabiashara yeyote ameficha sukari, tutachukua sukari yake, huwezi kuwaonea wananchi. Tutapita kwenye maduka kukagua wanaojipangia bei yao na kuwaumiza wananchi."- NURDIN BABU, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Wakazi wa...

Monday, January 22, 2024

Makonda: CCM sio Chama cha kusubiri Uchaguzi

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda amewataka wananchi kutambua kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) sio Chama kinachosubiri kuzungumza na wananchi wakati wa Uchaguzi.Komredi Makonda amesema CCM Iko katika ziara ya mikoa 20 huku mkoa wa Kilimanjaro ukiwa wa Nne katika...

Tuesday, January 16, 2024

Pandashuka Mirathi ya Paul Kyauka Njau, zamrudisha tena Catherine Kyauka mahakamani ili kupata haki yake

Pandashuka za kesi ya Mirathi Na.5 ya mwaka 2002 zimesababisha mrithi wa Mirathi hiyo kupambana kupata haki yake kwa mwaka wa 20 sasa.Mrithi wa Mirathi ya Marehemu Paul Kyauka Njau, Bi. Catherine Kyauka amejikuta katika sintofahamu ya kupata haki yake huku akitakiwa kuondoka...

Monday, January 15, 2024

Dkt. Emmanuel Nchimbi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CCM Taifa, aziba nafasi iliyoachwa na Chongolo

 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa imemteua Dkt.Emmanuel Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).  Dkt. Nchimbi anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Daniel Chongolo ambaye alijiuzulu.   Desemba 3, 2016, Nchimbi...

JAIZMELA yazindua LOGO ya mwaka 2024

 LOGO ni nembo. ni kitu cha muhimu sana katika biashara yako, watu wengi hawajui maana ya kuwa na logo. Logo ni utambulisho wa brand yako au ni utambulisho wa kile unachokifanya. Nembo au logo ni picha ya msingi ya bidhaa na kampuni yako. Utambulisho wa biashara, kampuni...

Thursday, January 4, 2024