Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Monday, August 29, 2022

Ngumi kufufuliwa upya Kilimanjaro

 Chama cha mchezo wa ngumi, Kanda ya Kaskazini (KBA),umepania kuurejesha mchezo huo baada ya kipindi kirefu kupotea  kutokana na vijana wengi kutokujitokeza kushiriki pambano hilo. Katibu wa mchezo wa Ngumi mkoa wa Arusha na Mjumbe wa Taifa wa maandalizi Ngumi...

Tuesday, August 16, 2022

Uwekezaji wa bilioni 429.1 kuboresha Bandari ya Tanga waanza kuzaa matunda

 Afisa Uhusiano wa Bandari ya Tanga Peter Milanzi akizungumza na waandishi wa habari mjini Moshi kuhusu maboresho yaliyofanyika tangu mwaka 2019 hadi sasa Uwekezaji wa bilioni 429.1 kwa ajili ya uboreshaji wa bandari ya Tanga umeanza kuzaa matunda baada ya mkandarasi kukabidhi...

William Ruto, Rais Mteule wa Kenya, amshinda Odinga kwa asilimia mbili

Rais mteule wa Kenya William Ruto ameshinda uchaguzi ambao ulikuwa na ushindani mkali katika historia ya Kenya. William Ruto alimshinda mpinzani wake aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga ambaye alikuwa anawania urais kwa mara ya tano. Ruto alishinda kwa asilimia 50.49 ya kura...

Saturday, August 13, 2022

Chongolo atimiza ahadi ya mabati 70 Kaloleni Moshi

 Katibu wa CCM Manispaa ya Moshi Ibrahimu Mjanakheri na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kaloleni Joshua Kojo katika kukabidhi mabati 70 kwenye kata ya Kaloleni, Manispaa ya Moshi kwa niaba ya Katibu wa CCM Taifa Daniel Chongolo.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel...

Mwandishi wa ‘Aya za Shetani’ Salman Rushdie achomwa kisu New York

 Mwandishi wa vitabu Salman Rushdie, ambaye amekuwa mafichoni baada kuamuliwa kuuawa na hukumu ya sheria ya dini ya Kiislamu Fatwa ya Iran, anapumulia mashine hospitalini na anaweza kupoteza jicho moja baada ya kushambuliwa jana jijini New York, Marekani. Mwandishi huyo...

Katibu Mkuu CCM Taifa aipongeza halmashauri ya Mwanga

Daniel Chongolo, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) TaifaChama cha Mapinduzi (CCM), kimeipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga kwa kushika nafasi ya Nne na kufanikisha kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato na matumizi, utoaji wa mikopo ya asililimia 10%, ujibuji wa hoja...

Wednesday, August 10, 2022

Benedict Haule ailisha Moshi Veterans Club

 Harusi ni jambo linalopendeza kwa kila mmoja pindi inapotokea anafanya hivyo katika maisha yake hapa ulimwenguni.  Pia ndugu, jamaa na marafiki hufurahia pindi inapotokea mpendwa wao anafikia hatua ya kufunga pingu za maisha. Benedict Haule ni miongoni mwa wachezaji...