
Monday, August 29, 2022
Ngumi kufufuliwa upya Kilimanjaro

Chama cha mchezo wa ngumi, Kanda ya Kaskazini (KBA),umepania
kuurejesha mchezo huo baada ya kipindi kirefu kupotea kutokana na
vijana wengi kutokujitokeza kushiriki pambano hilo.
Katibu wa mchezo wa Ngumi mkoa wa Arusha na Mjumbe wa Taifa wa
maandalizi Ngumi...
Tuesday, August 16, 2022
Uwekezaji wa bilioni 429.1 kuboresha Bandari ya Tanga waanza kuzaa matunda
Afisa Uhusiano wa Bandari ya Tanga Peter Milanzi akizungumza na waandishi wa habari mjini Moshi kuhusu maboresho yaliyofanyika tangu mwaka 2019 hadi sasa
Uwekezaji wa bilioni 429.1 kwa ajili ya uboreshaji
wa bandari ya Tanga umeanza kuzaa matunda baada ya mkandarasi kukabidhi...
William Ruto, Rais Mteule wa Kenya, amshinda Odinga kwa asilimia mbili

Rais
mteule wa Kenya William Ruto ameshinda uchaguzi ambao ulikuwa na ushindani
mkali katika historia ya Kenya.
William Ruto alimshinda mpinzani wake aliyekuwa waziri mkuu
Raila Odinga ambaye alikuwa anawania urais kwa mara ya tano.
Ruto
alishinda kwa asilimia 50.49 ya kura...
Saturday, August 13, 2022
Chongolo atimiza ahadi ya mabati 70 Kaloleni Moshi

Katibu wa CCM Manispaa ya Moshi Ibrahimu Mjanakheri na Mwenyekiti
wa CCM Kata ya Kaloleni Joshua Kojo katika kukabidhi mabati 70 kwenye kata ya
Kaloleni, Manispaa ya Moshi kwa niaba ya Katibu wa CCM Taifa Daniel Chongolo.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel...
Mwandishi wa ‘Aya za Shetani’ Salman Rushdie achomwa kisu New York

Mwandishi wa vitabu Salman Rushdie, ambaye amekuwa mafichoni baada
kuamuliwa kuuawa na hukumu ya sheria ya dini ya Kiislamu Fatwa ya Iran,
anapumulia mashine hospitalini na anaweza kupoteza jicho moja baada ya
kushambuliwa jana jijini New York, Marekani.
Mwandishi huyo...
Katibu Mkuu CCM Taifa aipongeza halmashauri ya Mwanga

Daniel Chongolo, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) TaifaChama cha Mapinduzi
(CCM), kimeipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga kwa kushika nafasi ya Nne
na kufanikisha kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato na matumizi, utoaji wa
mikopo ya asililimia 10%, ujibuji wa hoja...
Wednesday, August 10, 2022
Benedict Haule ailisha Moshi Veterans Club

Harusi ni jambo linalopendeza kwa kila mmoja pindi inapotokea
anafanya hivyo katika maisha yake hapa ulimwenguni.
Pia ndugu, jamaa na
marafiki hufurahia pindi inapotokea mpendwa wao anafikia hatua ya kufunga pingu
za maisha.
Benedict Haule ni miongoni mwa wachezaji...