Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Saturday, February 27, 2021

MAKTABA YA JAIZMELA: Paul Rusesabagina ni nani?

 .........Safari ya Paul Rusesabagina hadi mikononi mwa KagameMwishoni mwa mwezi Agosti mwaka huu nchini Rwanda na ulimwengu kote kuliibuka taarifa za kustaajabisha zilizoihusu serikali ya Rwanda iliyo mikononi mwa Paul Kagame baada ya kukamatwa kwa mwanaharakati Paul Rusesabagina. Rusesabagina...

Rwanda yakubali kuilipa ndege iliyombeba Rusesabagina

  Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Wahandisi isaidieni Tanzania

Januari 20, 1961 mwanasiasa wa zamani wa Marekani aliyefahamika kwa jina la John F. Kennedy aliapishwa kuwa rais wa 35 wa taifa hilo kubwa duniani. JFK kama wengi walivyokuwa wakimwita alikuwa miongoni mwa marais waliopendwa na watu wa taifa lake. Aliuawa Novemba 22, 1963,...

Kocha wa Gymnastic John Geddert ajiua baada ya kushtakiwa kwa unyanyasaji

  Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Black Satelaite yatinga nusu fainali AFCON U-20 kibishi

Michuano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 barani Afrika imeendelea tena jana jijini Nouakchott katika viwanja mbalimbali kukishuhudiwa Ghana na Uganda zikitinga hatua ya nusu fainali. Mlinda mlango wa Ghana Danlad Ibrahim alikuwa shujaa wa mchezo dhidi ya Simba...

Friday, February 26, 2021

Thierry Henry abwaga manyanga CF Montreal

  Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

MAKTABA YA JAIZMELA: Roberto Carlos aitwa timu ya taifa

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...