Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Wednesday, June 28, 2017

Machinjio ya punda yafunguliwa Kenya

Nyama ikiwa katika machinjio  Machinjio ya tatu punda nchini Kenya imefunguliwa katika eneo la Nakwaalele mjini Lodwar,katika kaunti ya Turkana. Machinjio hiyo ya kampuni ya Zilzha kutoka China itasindika nyama ya punda pamoja na ngozi kwa ajili ya usafirishaji hadi...

Sunday, June 25, 2017

Dereva bodaboda agongwa na gari afariki dunia

Mwili wa dereva bodaboda ambao haukutambulika mara moja ukiwa umelazwa pembezoni mwa barabara mita chache kutoka kituo cha Mabasi yaendayo kwa haraka cha Morocco jijini Dar es Salaam Juni 25, 2017 Dereva wa bodaboda ambaye hajafahamika jina lake na mahali anapotoka amefariki...

Monday, June 19, 2017

SAA yaisaidia familia ya Mzee Sixtus Mhagama

Wanachama wa Chama cha Washehereshaji Tanzania (SAA) katika picha ya pamoja na familia ya Mzee Sixtus Mhagama Juni 19, 2017 maeneo ya Boko inapoishi familia hiyo inayougua ugonjwa wa ajabu. Wanachama wa SAA katika kuwatia moyo familia ya Mzee Sixtus Mhagama. Mzee...

Tuesday, June 13, 2017

Korea Kaskazini yamwachilia Otto Warmbier

Otto Warmbier Korea Kaskazini imemwachilia huru mwanafunzi Mmarekani Otto Warmbier ambaye alikuwa amefungwa jela katika taifa hilo la bara Asia. Warmbier, 22, alihukumiwa kufungwa jela miaka 15 na kazi ngumu Machi 2016 baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kuiba bango...

Rais Magufuli awafunda wakuu wa mikoa

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na wakuu wa mikoa yote katika Ikulu jijini Dar es Salaam Juni 13, 2017. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza Wakuu wa Mikoa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa viwanda katika...

Ndugai atishia kuwaongezea adhabu Mdee na Bulaya

Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai Spika wa Bunge Job Ndugai amewapa onyo tena wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya akisema kuwa wanapaswa kutambua kuwa Bunge bado lina uwezo wa kuwaita na kuwahoji na kuwapa adhabu kali zaidi ya hiyo walionayo...

Monday, June 12, 2017

Acacia yamjibu JPM

Mgodi wa North Mara Kampuni ya Madini ya Acacia imeona matokeo ya kushtua ikiwa ni saa chache baada ya Kamati ya Pili ya Rais iliyoundwa na Rais John Pombe Magufuli kuwasilisha ripoti ambayo imeangazia nyanja za historia ya kiuchumi na kisheria ya mauzo ya nje ya makanikia...

Tanzania yapoteza Trilioni 188 makanikia dhahabu na shaba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha Ripoti hiyo ya Kamati ya pili ya Uchunguzi wa Madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga unaosafirishwa nje ya nchi kutoka kwenye machimbo ya madini sehemu mbalimbali hapa nchini mara baada ya kukabidhiwa...

Tuesday, June 6, 2017

Mama Mghwira rasmi mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, ala kiapo Ikulu

Mama Anna Mghwira Juni 6, 2017 katika Ikulu jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemwapisha Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Ikulu jijini Dar es Salaam.  Mama Anna Mghwira akila kiapo cha Uadilifu...

Sudan yataka kuwa msuluhishi mgogoro wa Qatar

Muonekano wa Qatar kutoka mbali Sudan imejitolea kuchukua nafasi kama mpatanishi katika kutatua mgogoro unaoendelea, kati ya Qatar na mataifa mengine ya Kiarabu. Wizara ya mambo ya nje ya Sudan imetoa pendekezo hilo, baada Saudi Arabia, Misri, Umoja wa Falme za Kiarabu,...

Monday, June 5, 2017

Cisco Mtiro is no more

Cisco Mtiro enzi za uhai wake Mkuu wa Itifaki mstaafu Balozi Cisco Mtiro amefariki.Taarifa ya familia imesema Mtiro amefariki dunia katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam alikokuwa anapatiwa matibabu. Aidha msiba upo nyumbani kwa marehemu Mikocheni B. Enzi za uhai...