
Wednesday, June 28, 2017
Machinjio ya punda yafunguliwa Kenya

Nyama ikiwa katika machinjio
Machinjio ya tatu punda nchini Kenya imefunguliwa katika eneo la
Nakwaalele mjini Lodwar,katika kaunti ya Turkana. Machinjio hiyo ya kampuni ya
Zilzha kutoka China itasindika
nyama ya punda pamoja na ngozi kwa ajili ya usafirishaji hadi...
Sunday, June 25, 2017
Dereva bodaboda agongwa na gari afariki dunia
Mwili wa dereva bodaboda ambao haukutambulika mara moja ukiwa umelazwa pembezoni mwa barabara mita chache kutoka kituo cha Mabasi yaendayo kwa haraka cha Morocco jijini Dar es Salaam Juni 25, 2017
Dereva wa bodaboda
ambaye hajafahamika jina lake na mahali anapotoka amefariki...
Monday, June 19, 2017
SAA yaisaidia familia ya Mzee Sixtus Mhagama
Wanachama wa Chama cha Washehereshaji Tanzania (SAA) katika picha ya pamoja na familia ya Mzee Sixtus Mhagama Juni 19, 2017 maeneo ya Boko inapoishi familia hiyo inayougua ugonjwa wa ajabu.
Wanachama wa SAA katika kuwatia moyo familia ya Mzee Sixtus Mhagama.
Mzee...
Tuesday, June 13, 2017
Korea Kaskazini yamwachilia Otto Warmbier

Otto Warmbier
Korea Kaskazini imemwachilia huru mwanafunzi Mmarekani Otto
Warmbier ambaye alikuwa amefungwa jela katika taifa hilo
la bara Asia. Warmbier, 22, alihukumiwa
kufungwa jela miaka 15 na kazi ngumu Machi 2016 baada ya kupatikana na hatia ya
kujaribu kuiba bango...
Rais Magufuli awafunda wakuu wa mikoa

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na wakuu wa mikoa yote katika Ikulu jijini Dar es Salaam Juni 13, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli amewaagiza Wakuu wa Mikoa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa mpango
wa ujenzi wa viwanda katika...
Ndugai atishia kuwaongezea adhabu Mdee na Bulaya

Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai
Spika wa Bunge Job Ndugai amewapa onyo
tena wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya akisema kuwa wanapaswa kutambua kuwa
Bunge bado lina uwezo wa kuwaita na kuwahoji na kuwapa adhabu kali zaidi ya
hiyo walionayo...
Monday, June 12, 2017
Acacia yamjibu JPM

Mgodi wa North Mara
Kampuni ya Madini ya Acacia imeona matokeo ya
kushtua ikiwa ni saa chache baada ya Kamati ya Pili ya Rais iliyoundwa na Rais
John Pombe Magufuli kuwasilisha ripoti ambayo imeangazia nyanja za historia ya
kiuchumi na kisheria ya mauzo ya nje ya makanikia...
Tanzania yapoteza Trilioni 188 makanikia dhahabu na shaba

Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha Ripoti hiyo ya Kamati ya pili ya
Uchunguzi wa Madini yaliyo kwenye makontena yenye mchanga unaosafirishwa nje ya
nchi kutoka kwenye machimbo ya madini sehemu mbalimbali hapa nchini mara baada
ya kukabidhiwa...
Tuesday, June 6, 2017
Mama Mghwira rasmi mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, ala kiapo Ikulu

Mama Anna Mghwira Juni 6, 2017 katika Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli amemwapisha Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro
leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mama Anna Mghwira akila kiapo cha Uadilifu...
Sudan yataka kuwa msuluhishi mgogoro wa Qatar

Muonekano wa Qatar kutoka mbali
Sudan imejitolea
kuchukua nafasi kama mpatanishi katika kutatua mgogoro unaoendelea, kati ya Qatar na
mataifa mengine ya Kiarabu. Wizara ya mambo ya nje ya Sudan imetoa pendekezo hilo,
baada Saudi Arabia, Misri,
Umoja wa Falme za Kiarabu,...
Monday, June 5, 2017
Cisco Mtiro is no more

Cisco Mtiro enzi za uhai wake
Mkuu wa Itifaki mstaafu Balozi Cisco Mtiro amefariki.Taarifa ya familia
imesema Mtiro amefariki dunia katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam alikokuwa
anapatiwa matibabu. Aidha msiba upo nyumbani kwa marehemu Mikocheni B. Enzi za
uhai...