Ukweli na Kuheshimiana ni kiini ujenzi wa jamii zetu

Ulimwenguni kwa sasa kumejaa habari potofu na upotoshaji, ni muhimu kuhakikisha kwamba ukweli na kuheshimiana vinakuwa kiini kwa ujenzi wa jamii zetu.

Friday, July 28, 2023

Watanzania watakiwa kuitunza Benki ya Ushirika

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Nurdin Babu muda mchache baada ya ufunguzi wa mkutano wa 26 wa KCBL uliopitisha mageuzi ya benki hiyo na kuwa Beki ya Ushirika Tanzania (CBT).   Watanzania nchini wametakiwa kuitunza Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) kwa kujiepusha na mikopo...

Wednesday, July 26, 2023

Diwani Abuu Shayo atimuliwa kikaoni Baraza la Madiwani Manispaa ya Moshi

 MSTAHIKI Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mhandisi Zubery Abdallah Kidumo, amelazimika kumtoa nje ya kikao cha Baraza la Madiwani, diwani wa kata ya Mjimpya Abuu Shayo, kwa kile kilichoelezwa ni kutaka kuvuruga kikao cha baraza hilo.   Kisa cha diwani Abuu...

Tuesday, July 25, 2023

Siku ya Mashujaa Julai 25: Mkoani Kilimanjaro

 Tanzania huadhimisha Siku ya Kuwakumbuka Mashujaa waliopoteza maisha yao wakiutetea, kuupigania na kuulinda uhuru wa Tanzania kila ifikapo Julai 25 ya kila mwaka. Siku hii ya kuwakumbuka mashujaa huambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo dua na sala maalum ya kuwaombea...

Dereva bajaj auwa mgambo Kwa Mtei-Moshi

Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Michael Ngilizu (1967-2023) mnamo Julai 24, 2023 kwa ajili ya Ibada ya kumuaga iliyofanyika nyumbani kwake Kwa Mtei-Mji Mpya.Mgambo kata wa anayefahamika kwa jina la Michael Ngilizu (54) ameuawa mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro kwa kuchomwa...

Saturday, July 8, 2023

Hospitali ya Kibong’oto yapongezwa matumizi Teknolojia Masafa ufuatiliaji Kifua Kikuu Sugu

Makatibu Wakuu kutoka nchi 12 barani Afrika zinazopambana dhidi ya Kifua Kikuu wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya gari ambalo limekuwa likitumika kuifikia jamii; wakati wa ziara yao kutembelea Hospitali ya Afya ya Jamii na Magonjwa Ambukizi ya Kibong'oto nchini Tanzania...

Friday, July 7, 2023

Tembo wazururaji kurudishwa hifadhini

Waziri wa Maliasili na Utalii Mohammed Mchengerwa amewahakikishia wananchi wa wilaya Same mkoani Kilimanjaro tembo wote wanaozurura nje ya hifadhi ya Wanyamapori Mkomazi wataanza kurudishwa tena hifadhini humo. Akizungumza na wakazi wa kata ya Kalimawe  wilayani Same;...

Wednesday, July 5, 2023

Muuguzi wa Hospitali ya Rufaa KCMC auawa.

KHUDHEIFA CHANGA (26), ENZI ZA UHAI WAKEJeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watuhumiwa watano kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Muuguzi wa hospitali ya KCMC Moshi.Wamekamatwa watuhumiwa watatu wanaume na wanawake wawili (majina yao yamehifadhiwa kwa sababu wengine...